Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Jitu nafiki linamlilia marehemu liliemuua lenyewe .Uasi uliopo ndani ya ccm ni mkubwa kuliko tunavyoaminishwa...!!
Hadi imfikie hatua mgombea anamlilia marehemu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitu nafiki linamlilia marehemu liliemuua lenyewe .Uasi uliopo ndani ya ccm ni mkubwa kuliko tunavyoaminishwa...!!
Hadi imfikie hatua mgombea anamlilia marehemu...
TLTundu aache kugombea ntaongea na Magufuli ampe hata uanashelia mkuu wa selikali
Hataamini macho yakeMr. No everithingi atajua kilichomtoa kanga manyoya hiyo 0ct 28.Jpm tano tena.
Kwaiyo baada ya kuvuna pesa za kachero wanamchinjia baharini [emoji28][emoji28][emoji28]
Mzee kasema atamtafutia kaziTL
Siyo wajalalani,Hana tabia za kimalaya Malaya kama mwita
Alitaka kumuingiza mjini pale ikungi singida,Mzee akala za uso! Mpaka akapagawaMzee kasema atamtafutia kazi
Haya, tayari! wahi kapokeee buk 7 yako.Wakija hapa utasikia haya kapokee buku saba yako
CCM ukileta uasi unaletewa nyasi. Nadhani wote tunajua jinsi nyasi zilivyo "good conductor" wa moto. Kuungua, utaungua tuuUasi uliopo ndani ya ccm ni mkubwa kuliko tunavyoaminishwa...!!
Hadi imfikie hatua mgombea anamlilia marehemu...
Magufuli yuko fuli Kama nguli au mvua za vuli.Alitaka kumuingiza mjini pale ikungi singida,Mzee akala za uso! Mpaka akapagawa
Marehemu yupi huyo tena?Uasi uliopo ndani ya ccm ni mkubwa kuliko tunavyoaminishwa...!!
Hadi imfikie hatua mgombea anamlilia marehemu...
Mie mgeni yakhe. Khabari hizi ndio nazipata kwako zikiwa za moooto kabisa. Basi sawaHivi hujui kuwa Mwenyekiti wako wa Ccm ameandika barua ya kuomba suluhu
Aisee umesema. Au Nikimbilie gamboshi kujikinga nini?Mr No everything mwache apambane na hali yake ila kumbuka wasumbawanga wakija hapa watakupiga juju, spinach tembele na nsasa tunapeleka ulaya mambo si mabaya.
[emoji23][emoji23][emoji23]huu uandishi ni burudaniWanabodi,
Tujiandae kusikia chochote kutoka kwenye viunga vya siasa za Upinzani. Bundi ametua kwenye mti wa mzambarau halafu akaruka na kwenda kutua mti wa msumbawanga (taja kabila).
Kule kwenye mti wa mzambarau, kachero hashikiki hatamaniki. Unaambiwa amevimba Kama koboko. Kasema Kama mbwai na iwe mbwai yeye ndie mpeperusha fulagi. Nyepesi anahahasa kutaka suluhu ila kachero hataki kusikia ukizingatia keshaingiza pensheni yake huko kununua mbolea na viatilifu vingine vya kuukuza mti wa mzambarau.
Kule kwenye mti wa msumbawanga, unaambiwa Mr. Know Ol hafuati maelekezo Wala utaratibu. Amesema yeye ni alwatan almaarufu. Yeye ndio kajiweka juu ya kila kitu na ndio maana inasemekana cheamani na KM wamesusa kimtindo. Mr No Everithingi anaonekana kuwa mzoefu wa mapambano ya kipontio Pilato ila n mwepesi mithili ya unyoya wa kuku yanapokuja masuala ya kikaisari. Cheamani alisikika akisema "mwaka huu Kama nitapata wabunge 20 itakuwa muujiza".
Haya jogoo ameshawika, upande wa pili wazee wa mchicha, matembele, sukumawiki na spinachi nasikia mambo yao kwatu. Wanateleza Kama wako kwenye mgongo wa ngisi. Sasa hivi wamekodisha mwewe wanampanda na amewaongezea umaarufu.
Tusubiri
Kachero amechachamaa anasema hawezi kupandishwa presha, kishuga na kiwedingi kwa wakati mmoja. Amesema yeye atachanja mbuga na kimbunga kumba kumbamuda si mrefu watu wanagawana mbao pale mzambarauni!! 🤣
Fungua pm kuna bahasha yako.