Uchaguzi 2020 Mr. Much know na Kachero waamsha wenge upinzani: Vurugu zimeanza tayari

Uchaguzi 2020 Mr. Much know na Kachero waamsha wenge upinzani: Vurugu zimeanza tayari

Wanabodi,

Tujiandae kusikia chochote kutoka kwenye viunga vya siasa za Upinzani. Bundi ametua kwenye mti wa mzambarau halafu akaruka na kwenda kutua mti wa msumbawanga (taja kabila).

Kule kwenye mti wa mzambarau, kachero hashikiki hatamaniki. Unaambiwa amevimba Kama koboko. Kasema Kama mbwai na iwe mbwai yeye ndie mpeperusha fulagi. Nyepesi anahahasa kutaka suluhu ila kachero hataki kusikia ukizingatia keshaingiza pensheni yake huko kununua mbolea na viatilifu vingine vya kuukuza mti wa mzambarau.

Kule kwenye mti wa msumbawanga, unaambiwa Mr. Know Ol hafuati maelekezo Wala utaratibu. Amesema yeye ni alwatan almaarufu. Yeye ndio kajiweka juu ya kila kitu na ndio maana inasemekana cheamani na KM wamesusa kimtindo. Mr No Everithingi anaonekana kuwa mzoefu wa mapambano ya kipontio Pilato ila n mwepesi mithili ya unyoya wa kuku yanapokuka masuala ya kikaisari. Cheamani alisikika akisema "mwaka huu Kama nitapata wabunge 20 itakuwa muujiza".

Haya jogoo ameshawika, upande wa pili wazee wa mchicha, matembele, sukumawiki na spinachi nasikia mambo yao kwatu. Wanateleza Kama wako kwenye mgongo wa ngisi. Sasa hivi wamekodisha mwewe wanampanda na amewaongezea umaarufu.

Tusubiri
Wadokeze kuna fursa huku >> 😅 Fursa ya ufugaji wa nyoka
 
Basi nchi hii kuna "Mr I know it all" wengi sana. Wengine wanasema sio hapa duniani tu hata kule mbinguni watakua pamoja na malaika

Na wengine wanadhani Mungu ni mwanachama mwenzao.

Mungu hoyeeeee!!!!!
 
Upinzani walishindwa nini kuungana mapema? Ubinafsi unawagharimu
 
Huyo atakuwa ni bundi wa kichina, huku kwetu ni yeye tu. Kampeni zinazidi kupamba moto mpaka yule fisadi wa ndege bp imepanda
Cheamani na KM wanajuta kumfahamu Bwana Mjua Vyote vya chini na juu, kushoto na kulia
 
mambo mengi miezi michache
Screenshot_20200922-171321.jpg
 
Wamuache aendelee na kampeni zake atavuna alichopanda
Umeona eehh! Mtu kajipanga mara baada ya kupigwa mwereka anakuja huko wanataka tena kumpiga kwa stress kipandauso. Jamani, hamna hata huruma na wazee? Mwacheni tuu atengeneze CV ya kuwa aliwahi kugombea.
 
Wanabodi,

Tujiandae kusikia chochote kutoka kwenye viunga vya siasa za Upinzani. Bundi ametua kwenye mti wa mzambarau halafu akaruka na kwenda kutua mti wa msumbawanga (taja kabila).

Kule kwenye mti wa mzambarau, kachero hashikiki hatamaniki. Unaambiwa amevimba Kama koboko. Kasema Kama mbwai na iwe mbwai yeye ndie mpeperusha fulagi. Nyepesi anahahasa kutaka suluhu ila kachero hataki kusikia ukizingatia keshaingiza pensheni yake huko kununua mbolea na viatilifu vingine vya kuukuza mti wa mzambarau.

Kule kwenye mti wa msumbawanga, unaambiwa Mr. Know Ol hafuati maelekezo Wala utaratibu. Amesema yeye ni alwatan almaarufu. Yeye ndio kajiweka juu ya kila kitu na ndio maana inasemekana cheamani na KM wamesusa kimtindo. Mr No Everithingi anaonekana kuwa mzoefu wa mapambano ya kipontio Pilato ila n mwepesi mithili ya unyoya wa kuku yanapokuka masuala ya kikaisari. Cheamani alisikika akisema "mwaka huu Kama nitapata wabunge 20 itakuwa muujiza".

Haya jogoo ameshawika, upande wa pili wazee wa mchicha, matembele, sukumawiki na spinachi nasikia mambo yao kwatu. Wanateleza Kama wako kwenye mgongo wa ngisi. Sasa hivi wamekodisha mwewe wanampanda na amewaongezea umaarufu.

Tusubiri
Mwepes km unyoya wa kuku yanapokuja mambo ya kikaisari" [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Umeona eehh! Mtu kajipanga mara baada ya kupigwa mwereka anakuja huko wanataka tena kumpiga kwa stress kipandauso. Jamani, hamna hata huruma na wazee? Mwacheni tuu atengeneze CV ya kuwa aliwahi kugombea.
Mm nakosa imani na watu wa upinzani kabisa.Tumekubaliana ,kwenye mkutano mkuu kwamba mm nigombee .Leo ukiwa barabarani tu,unasema unamuunga mkono Lissu.Yaani unafanya chama ni chako binafsi.Vyama hivi vinadai kuwa ,ni vya watanzania lakini ukweli ni vya watu binafsi. Vyama hivi vinadai katiba mpya.He ,katiba zao zimeshabadilishwa na kuwa ,vyama vya umma?Vyama hivi vimekuwa vyama vya ruzuku.
 
Siku mbili zijazo tegemea kumwonaTundu na Kachelo jukwaani wakifanya mambo ndio utajua kuwa hujui
 
Umelipwa hapa tayari..?! CCM acheni kuchezea kodi zetu.
 
Back
Top Bottom