Uchaguzi 2020 Mr. Much know na Kachero waamsha wenge upinzani: Vurugu zimeanza tayari

Uchaguzi 2020 Mr. Much know na Kachero waamsha wenge upinzani: Vurugu zimeanza tayari

Senior Inteligency officer gani anapigwa pesheni mchana kweupe? Mwepesi kashavuta kibunda wanataka ku mdump mzee wa watu, hahaha
 
Ila wabongomnapenda umbeya kuliko hata maji ya kunywa aisee.

Siyo mwanaume siyo mwanamke- mnapepeta midomo kama mapangaboi
 
Kwa hiyo mbogamboga mmefilisika kisiasa mpaka ponapona na ahueni yenu imebakia kusubiria mitifuano ya upinzani?Uko wapi ushawishi wenu kwa wananchi miaka 10 iliyopita?
 
Baadhi ya binadamu wa JF wabaya sana....!Nikikumbuka namna hao binadamu walivyokuwa wana'mpaka mafuta kwa mgongo wa chupa' ndugu Membe hapa jukwaani yaani hata siamini ninachokisoma hapa jukwaani. Wengine, walibadiri hadi Avatars zao hapa JF na kuweka avatar za picha za ndugu B. 'Camillus', huku wakikoleza na hash-tags za #Twende na 'Jamaa' 2020. Hizo avatar sioni hata moja!...
Hio ya kuandaa Cabinet ilitolewa na MSAGA SUMU nyuzi za msaga sumu hazina ukweli wowote zaidi ya kufurahisha watu
 
Nakahurumia ka Pension ka Mwembe kanavyoteketezwa na kina Mzito Kabwela.. Mpaka kampeni ziishe ile Range Rover ya Mwembe itakuwa imeshawekwa sokoni kumnusuru Mwembe na ukata!
 
Nakumbuka wadau mlimpa Sana BM sifa mitandaoni hasa JF nayeye aliwaamini, Sasa niyeye nae mmempa airtime jukwaani nae kalewa km ilivyokuwa kwa B.M.

wale mliokuwa mnamsapot B.M endeleeni nae acheni "umalaya wakisiasa"
[emoji23][emoji23][emoji23] unatufokea Sasa..BM alitudanganya kwamba yeye Ni mtu makini..kumbe si kweli..tumemkimbia tukiongozwa na Zitto
 
Kweli. Nadhani dhambi ya kula mafao ya mtu inakaribiana kwa uzito na ile ya kunywa uji wa mgonjwa.
Wacha wale. Hiyo pesa inayohifadhiwa ughaibuni yaweza kuwa sehemu ya yale mapesa ya escrow yaliyobebwa kwenye sandarusi.
 
Nimekakuta mahali
Screenshot_20200923-103547.jpg
 
Back
Top Bottom