Mr Rocky, Utafiti na Kiwatengu wapo salama? Mwenye taarifa plz

Mr Rocky, Utafiti na Kiwatengu wapo salama? Mwenye taarifa plz

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,277
Reaction score
8,860
Hawa ni jamaa zangu na ni ndugu zangu hapa JF Long time sijawaona kabisa wakipita njia hii.

Sio wengine bali ni maswaiba zangu Mr Rocky na utafiti mara ya mwisho niligongana nao kule jukwaa la picha about four month ago kama kuna mtu mwenye taarifa kuhusu afya za hawa ndugu zetu atujuze hapa. kiwatengu ni mpwa wake na Mr Rocky naye kapotea kabisa

Nimekuwa na wasiwasi na hawa ndugu zetu maana miezi kadhaa iliyopita hii nchi ilikumbwa na majinamizi ya ajali za ovyo ovyo sana,walinusirika?napenda kujuwa kwa mwenye taarifa

Au nao ni wagombea wamerudi majimboni kujiimarisha?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kibo10 nipo salama kabisa aise ni mapambano tuu yametufanya tupotee ila kiafya tuko salama kabisa kiwatengu sijamsikia kabisa wala mkuu utafiti wala Tized na mwenzake Mndengereko sijui wameibiwa password zao za simu na kuna huyu Erickb52 nae sijui kapotelea wapi
Ukija upande mwingine Watu8 nae na Preta sijui wamepotelea wapi na huku kabanga na MO11 sijui wamefichwa wapi ICHANA na Honey Faith na Heaven on Earth pia sijui wako wapi miss chagga mambo yako mwambie Kisambo aje humu

ha ha nipo mkuu, aisee nimebanana kupita kiasi
mkuu utafiti sijui atakuwa mitaa ipi.
Tokea ampe miss neddy ujauzito hataki kujionyesha ..

kuna huyu mpango wake wa kando Honey Faith jana tulikutana sehemu.

Pokeeni salamu za wife wangu shansarie.
 
Last edited by a moderator:
ha ha nipo mkuu, aisee nimebanana kupita kiasi
mkuu utafiti sijui atakuwa mitaa ipi.
Tokea ampe miss neddy ujauzito hataki kujionyesha ..

kuna huyu mpango wake wa kando Honey Faith jana tulikutana sehemu.

Pokeeni salamu za wife wangu shansarie.

Yani nimekumiss sana.Mie mwenyewe namtafuta utafiti yani sijamuona siku nyingi sana sijui nani tu kanipokonya tonge mdomoni
 
Last edited by a moderator:
mpigie tu! na huwezi jua leo kalala kwa nani...
kama ni kwa Nyani Ngabu!! siyo rahisi simu yako ipokelewe
kama ni kwa Eiyer, tegemea voicemail..

Hawezi acha nipokelea maana hilo varangati nitakalomfanyia hawezi thubutu kuacha kupokea
 
Last edited by a moderator:
Miss neddy jamani huwa nampendaje! Acha nifunguke waziwazi hapa,
 
Mkuu Kibo10 nipo salama kabisa aise ni mapambano tuu yametufanya tupotee ila kiafya tuko salama kabisa kiwatengu sijamsikia kabisa wala mkuu utafiti wala Tized na mwenzake Mndengereko sijui wameibiwa password zao za simu na kuna huyu Erickb52 nae sijui kapotelea wapi
Ukija upande mwingine Watu8 nae na Preta sijui wamepotelea wapi na huku kabanga na MO11 sijui wamefichwa wapi ICHANA na Honey Faith na Heaven on Earth pia sijui wako wapi miss chagga mambo yako mwambie Kisambo aje humu
Mr Rocky, usalama upo wa affya na kila kitu, sema majukumu ndio yanabana mbaya, hakuna mfanowe.....
na si unajua tena na mambo haya ya kutangaza nia....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom