Mr Rocky, Utafiti na Kiwatengu wapo salama? Mwenye taarifa plz

Mr Rocky, Utafiti na Kiwatengu wapo salama? Mwenye taarifa plz

tuko poa sana mkuu Judgement ulipotelea Goma nini karibu tena mkuu

Mdogo wangu ni kupotea basii ! Ni mihangaiko tushughulishwayo na hii Planet ndiyo itupotezayo kiwatengu ! Btw niwape a huge Congra wewe na my wife wako shansarie kwa kukomaa kisawasawa na hii forum ! Mna mfano wa kuigwa! Majority tulishatepeta mjue !
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom