Mr Rocky, Utafiti na Kiwatengu wapo salama? Mwenye taarifa plz

Mr Rocky, Utafiti na Kiwatengu wapo salama? Mwenye taarifa plz

Mdogo wangu ni kupotea basii ! Ni mihangaiko tushughulishwayo na hii Planet ndiyo itupotezayo kiwatengu ! Btw niwape a huge Congra wewe na my wife wako shansarie kwa kukomaa kisawasawa na hii forum ! Mna mfano wa kuigwa! Majority tulishatepeta mjue !

ha ha ha ha...
asante mkuu!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom