Mkuu Kibo10 nipo salama kabisa aise ni mapambano tuu yametufanya tupotee ila kiafya tuko salama kabisa kiwatengu sijamsikia kabisa wala mkuu utafiti wala Tized na mwenzake Mndengereko sijui wameibiwa password zao za simu na kuna huyu Erickb52 nae sijui kapotelea wapi
Ukija upande mwingine Watu8 nae na Preta sijui wamepotelea wapi na huku kabanga na MO11 sijui wamefichwa wapi ICHANA na Honey Faith na Heaven on Earth pia sijui wako wapi miss chagga mambo yako mwambie Kisambo aje humu
ha ha nipo mkuu, aisee nimebanana kupita kiasi
mkuu utafiti sijui atakuwa mitaa ipi.
Tokea ampe miss neddy ujauzito hataki kujionyesha ..
kuna huyu mpango wake wa kando Honey Faith jana tulikutana sehemu.
Pokeeni salamu za wife wangu shansarie.
Yani nimekumiss sana.Mie mwenyewe namtafuta utafiti yani sijamuona siku nyingi sana sijui nani tu kanipokonya tonge mdomoni
una namba ya 'Valentina'? mpigie...
kuna kitu nimekikumbuka sana kwako!!
mi sijasema haya lakini, umeyapata wapi?
Kipi hicho hebu nieleze
Si unanijua mie mgomvi?Naenda kuweka vocha nimpigie sasa hivi
mpigie tu! na huwezi jua leo kalala kwa nani...
kama ni kwa Nyani Ngabu!! siyo rahisi simu yako ipokelewe
kama ni kwa Eiyer, tegemea voicemail..
Hawezi acha nipokelea maana hilo varangati nitakalomfanyia hawezi thubutu kuacha kupokea
Mr Rocky, usalama upo wa affya na kila kitu, sema majukumu ndio yanabana mbaya, hakuna mfanowe.....Mkuu Kibo10 nipo salama kabisa aise ni mapambano tuu yametufanya tupotee ila kiafya tuko salama kabisa kiwatengu sijamsikia kabisa wala mkuu utafiti wala Tized na mwenzake Mndengereko sijui wameibiwa password zao za simu na kuna huyu Erickb52 nae sijui kapotelea wapi
Ukija upande mwingine Watu8 nae na Preta sijui wamepotelea wapi na huku kabanga na MO11 sijui wamefichwa wapi ICHANA na Honey Faith na Heaven on Earth pia sijui wako wapi miss chagga mambo yako mwambie Kisambo aje humu
huwa uoni au unafanya kusudi kupotezea...?Hawezi acha nipokelea maana hilo varangati nitakalomfanyia hawezi thubutu kuacha kupokea