Mkuu naomba nishirikishe fursa hizi kama upo songea /njombeMim nlinunua 20 last year natarj kuuza mwez wa saba baada y hapo nahamisha mrad songea vijjin nishike por la Bei nafuu niingize mifugo weng sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba nishirikishe fursa hizi kama upo songea /njombeMim nlinunua 20 last year natarj kuuza mwez wa saba baada y hapo nahamisha mrad songea vijjin nishike por la Bei nafuu niingize mifugo weng sana
mpaka urudishe hela utakuwa umechoka sanaSoma vizuri post yangu..Maziwa, Nyama na Mbolea.
mpaka urudishe hela utakuwa umechoka sanaSoma vizuri post yangu..Maziwa, Nyama na Mbolea.
Ni angalizo jema Mkuu; lakini ujue huyu jamaa kwa kufanya hivyo i.e. kununua ng'ombe wengi ana-spread risk kwani ikiwa ni ng'ombe mmoja akitetereka Afya(au kufa) ni mradi umeyumba 100%. Kumbe wakiwa ni wengi tuseme 10 na akafa mmoja ni 10% tu ya Mradi. Hivyo bado ataweza kuendelea na Tisa waliobaki na isiwe ni issue kubwa kwake.Sahihi kabisa though kufuga ng'ombe wa kienyeji kwa project ya maziwa uwezi kutoka kirahisi awali ya yote kumbuka ng'ombe atazalisha lita mbili ambazo pia ndama anategemea kunyonya hapo hapo na ng'ombe wa kienyeji wanachukua mda mrefu kua matured hivo project itachukua mda mrefu kumpa faida issue za changamoto ya malisho pia utapapambanazo vipi kimsingi hapo mfugaji atafaidikiza kwenye issue ya disease resistant lakini kiuhalisia sio mradi wenye tija.
Ushauri wangu achukue ng'ombe wa maziwa tu ni heri kua na ng'ombe mmoja anaekupa lita 20 au 15 maziwa kuliko kua na ng'ombe 10 wanakupa same amount maana hao kumi watahitaji nguvu kazi kubwa chakula cha kutosha space n.k
🙏Idea nzuri mno
Jikite kwenye Unenepeshaji (Feedlot). Mzunguko wake ni miezi 6 - 8 tu.Uzi mzuri sana, binafsi niko kwenye mpango wa kufanya project hiyo kabla huu mwaka haujaisha, nataka kufuga ng'ombe wa asili kwa ajili ya kuwaza pindi wakiwa wakubwa... natamani sana watu waendelee kuweka uzoefu wao hapa juu ya ufugaji wa ng'ombe na mimi niongeze maarifa
NimehamasikaMim nlinunua 20 last year natarj kuuza mwez wa saba baada y hapo nahamisha mrad songea vijjin nishike por la Bei nafuu niingize mifugo weng sana
Hii ndio deal la maana Mambo ya maziwa ni pasua kichwa nenepesha upge pesa,Jikite kwenye Unenepeshaji (Feedlot). Mzunguko wake ni miezi 6 - 8 tu.
Huku umasaini kipindi cha kiangazi/ukame (August - November) vile vidume vya ng'ombe (2-3 yrs. old) ambavyo ndo vinafaa sana kwa unenepeshaji, vinakuwa vimekonda sana na kwa hali hiyo bei yake ni chini sana 50,000/= - 80,000/=. Lakini baada ya miezi 6 chini ya uangalizi na ulishaji maalum i.e. hadi February - April bei yake ni 200,000 /= - 300,000/= 😂Hii ndio deal la maana Mambo ya maziwa ni pasua kichwa nenepesha upge pesa,
Tofaut y ng'ombe na kondoo ni kwamb ng'ombe mmoja atazalisha faida kuanzia 250000-300000 kw muda wa miez minne wakat kondoo atakupa 20,000 hapo kajitahd sanaMwenzenu nafikiria kufunga kondoo Tu lakini kunenepesha ng'ombe NI kama kunanivutia. Wazoefu twambie kondoo Vs kunenepesha ng'ombe?
Tofaut y ng'ombe na kondoo ni kwamb ng'ombe mmoja atazalisha faida kuanzia 250000-300000 kw muda wa miez minne wakat kondoo atakupa 20,000 hapo kajitahd sana
Mkuu unaifanyia wapi hii project ....walau nipate kujifunza kitu ...Huku umasaini kipindi cha kiangazi/ukame (August - November) vile vidume vya ng'ombe (2-3 yrs. old) ambavyo ndo vinafaa sana kwa unenepeshaji, vinakuwa vimekonda sana na kwa hali hiyo bei yake ni chini sana 50,000/= - 80,000/=. Lakini baada ya miezi 6 chini ya uangalizi na ulishaji maalum i.e. hadi February - April bei yake ni 200,000 /= - 300,000/= 😂
Mkuu; Siifanyi hii project mimi, ila ninao ufahamu na uzoefu wa kutosha kitaaluma. Karibu sana kiongozi.Mkuu unaifanyia wapi hii project ....walau nipate kujifunza kitu ...
Unataka fursa gani huku Songea/Njombe?Mkuu naomba nishirikishe fursa hizi kama upo songea /njombe
kilimo (maharage, alizeti , kunde nk ) ,ununuaji na usafirishaji wa mazao kama maharage nk Inc upatikanaji ,gharama nkUnataka fursa gani huku Songea/Njombe?
Nilinunua Hawa wachache mwez Dec mwaka jana 250000 kila mmoja saiv nitauza Kati ya laki 6 had 7Tofaut y ng'ombe na kondoo ni kwamb ng'ombe mmoja atazalisha faida kuanzia 250000-300000 kw muda wa miez minne wakat kondoo atakupa 20,000 hapo kajitahd sana