Mradi wa AFCON City Arusha wapigwa na wajanja, viongozi na vigogo watajwa

Mradi wa AFCON City Arusha wapigwa na wajanja, viongozi na vigogo watajwa

Bhaghosha

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2010
Posts
234
Reaction score
183
Juzi tumeona maendeleo ya ujenzi wa kiwanja cha mpira cha AFCON kule arusha. Lakini, huwezi kuamini, hadi sasa serikali imeshindwa kuhitimisha michoro ya AFCON City kuuzunguka uwanja. Sababu zinatajwa, vigogo wanang'ang'ania maeneo yao yapangiwe vivutio vizuri zaidi tofauti na wataalaumu wa mipango miji wanavyoona inafaa. matokeo yake michoro na ramani zimeshindikana kupitishwa. Tatizo hili linasababisha uendelezwaji wa eneo sambamba na ujenzi wa kiwanja kukwama. Mkuu wa mkoa Makonda inaelezwa analijua tatizo na mkwamo huu.

Mheshimiwa Raisi ambaye ndiye mwenye mradi huu hajapewa update yake hata pale alipo kuwa Arusha majuzi.
inaombwa next time akija Arusha, ahitaji kuonyeshwa mpango wa AFCON City uliokamilika na kupitishwa na wizara ya Ardhi. Au la sivyo uwanja utakamilika ukiwa umezungukwa na squatters kama ilivyozoeleka hapa Arusha.​
 
Juzi tumeona maendeleo ya ujenzi wa kiwanja cha mpira cha AFCON kule arusha. Lakini, huwezi kuamini, hadi sasa serikali imeshindwa kuhitimisha michoro ya AFCON City kuuzunguka uwanja. Sababu zinatajwa, vigogo wanang'ang'ania maeneo yao yapangiwe vivutio vizuri zaidi tofauti na wataalaumu wa mipango miji wanavyoona inafaa. matokeo yake michoro na ramani zimeshindikana kupitishwa. Tatizo hili linasababisha uendelezwaji wa eneo sambamba na ujenzi wa kiwanja kukwama. Mkuu wa mkoa Makonda inaelezwa analijua tatizo na mkwamo huu.

Mheshimiwa Raisi ambaye ndiye mwenye mradi huu hajapewa update yake hata pale alipo kuwa Arusha majuzi.
inaombwa next time akija Arusha, ahitaji kuonyeshwa mpango wa AFCON City uliokamilika na kupitishwa na wizara ya Ardhi. Au la sivyo uwanja utakamilika ukiwa umezungukwa na squatters kama ilivyozoeleka hapa Arusha.​
Makonda ahakikishe AFCON CITY inajengwa tena kwa viwango vya hali ya juu la sivyo atabakia kuchoma nyama na kuongoza misafara ya ma-landrover mabovu huko Arusha!
 
Makonda ahakikishe AFCON CITY inajengwa tena kwa viwango vya hali ya juu la sivyo atabakia kuchoma nyama na kuongoza misafara ya ma-landrover mabovu huko Arusha!
Kweli kabisa. Wasiwasi wangu, kama mpango miji wa AFCON City hautapitishwa mapema, 2027, tujiandae na kuwa na squatters zimezunguka uwanja. Na pia hao vigogo wanaokwamisha zoezi hilo ni kina nani hasa?
 
Back
Top Bottom