Mradi wa bandari ya Tanga ulifia wapi?

Tanga ilikufa mwaka 90 na kitu kweny miaka 2000 na kitu wagosi wa kaya waliimba ile kunani pale tanga mbona kila kitu kimekufa

Baadhi ya viwanda na wawekezaji walikimbia kenya hata anjari aliambiwa ahame dar akakataa akasema bora asiwekeze izi zote ni juhudi na hujuma

Inashangaza barabara ya kwanza ya lami ,shule ya kwanza, mahakama ya kwanza kila kitu kule ila nyerere alikuja kuua kabisa sababu tunajua aliona kule ni waislamu wengi kama Zanzibar

Na kupandikiza propaganda za kuwaita wavivu tunajua sisi wa ukanda wa bara tuna imani zetu na tamaduni zetu ndo maana leo wengine hawamtaki rais samia kisa mzenji
 
Msimsingizie Nyerere watu wa Tanga uvivu umewazidi. Na kupenda fitina zaidi kuliko kutanguliza ubinadamu, nongwa nyingi sana Tanga mjini.
 
Mnataka bandari ili muende wap ,tutawakuta huko huko TANGA
 
Umeelezea habari muhimu sana,kwa uchumi wa Taifa.
 
Anamaanisha uvivu uliokithiri haongelei utamaduni.
Sio wavivu,sio ombaomba,watanga,wanalisha visiwa vya Unguja,Pemba,Komoro,Siyeshels,Madagascar na Mombasa,kwa kilimo cha viazi,nyanya,vitunguu maji,saumu,mbogamboga,nafaka aina zote,mahindi,maharage,nk
 
Msimsingizie Nyerere watu wa Tanga uvivu umewazidi. Na kupenda fitina zaidi kuliko kutanguliza ubinadamu, nongwa nyingi sana Tanga mjini.
we mshamba wa wapi🤣🤣🤣 unajiongelea tu kule watu wamestaarabika wakarimu hakuna tanzania bila ya watu wa pwani we na mzee wote mngekuwa na magovi the more unakaa far kutoka pwani the more unakuwa hauna ustaarabu ushawai kusikia ukeketaji tanga tangu uzaliwa na kizazi chako

hakuna mvivu kule watu wana dili na uvuvi wanaingia shift za usiku sasa we jaribu kuingia zile kazi kama hautokufa
kwanza mpaka unaongea ni chuki ebu wacha majungu na umbea tafuteni maji safi kwanza ndo maana meno ynaharibika
 
Msimsingizie Nyerere watu wa Tanga uvivu umewazidi. Na kupenda fitina zaidi kuliko kutanguliza ubinadamu, nongwa nyingi sana Tanga mjini.
Tanga sio wavivu,wanalisha visiwa vya Zanzibar,Pemba,Comoro,Siyeshels,Madagascar,Mombasa kwa viazi,vitunguu maji,vitunguu saumu,nyanya,mboga mboga,nafaka aina zote,maharage,mahindi,mpunga,nk.
 
Msimsingizie Nyerere watu wa Tanga uvivu umewazidi. Na kupenda fitina zaidi kuliko kutanguliza ubinadamu, nongwa nyingi sana Tanga mjini.
we hupajui ukisikia raha roho inakuuma jiangalie kama wakiume ukiwa na chuki za ivi utakuja kufa mapema na umaskini punguza ushamba kule ubaguzi no ,majungu huko kwenu tafuteni maji safi n salama muache kunywa maji yanawhaaribu meno milele unaleta shobo
 
Watu wa Tanga sio wavivu.Ni wakulima,Wafugaji,Wavuvi wa samaki.Tanga wanalisha visiwa vya Zanzibar a,Comoro,Siyeshels,Madagascar,Mombasa na Tanga yenyewe kwa Viazi,nyanya,vitunguu maji,vitunguu saumu,mbogamboga,Karoti,pilipili hoho,mihogo,nk na nafaka aina mbali mbali kuanzia mahindi,maharage,mahindi,mtama,mpunga,nk.Hakuna mtu wa Tanga,aliye ombaomba.Kativu uvuvi,wanavua samaki,wanauza na kusafirisha mikoani.Ufugaji wa ng'ombe,mbuzi,Kondoo,Kuku na samaki wa kufuga pia wanafuga.Mbali na kilimo cha mkonge,kilimo cha biashara.
 
Ni vile wametawaliwa kiujanja ujanja tu,
Siku akili zikiwakaa sawa, wataendelea kupitiliza, wana bandari, border, ardhi safi, madini, vyanzo vya utalii, mafuta na hata gas
Kwamba wewe sio Mtanzania na kwenda huko unahitaji Passport ?

Kwanini usiende ukafanye hayo yote ?
 
Nimeishi Tanga 2004- 2007 ninapajua sana na aina ya watu wake ninaifahamu pia. Nimeamua kuwa mkweli tu.
 
Tanga sio wavivu,wanalisha visiwa vya Zanzibar,Pemba,Comoro,Siyeshels,Madagascar,Mombasa kwa viazi,vitunguu maji,vitunguu saumu,nyanya,mboga mboga,nafaka aina zote,maharage,mahindi,mpunga,nk.
Unaongelea nje ya mji, wilaya zingine. Wapo Wasambaa ndio wanaoibeba heshima ya mkoa.
 
Tanga unakwenda dukani saa tano asubuhi kununua soda, unakuta mtoto mdogo anakwamba kaka Juma alalaaa.

Yaani Juma alivyokuwa mvivu kafungua tu duka halafu karudi kulala!. Unabaki kushangaa huyo mtu analalaje wakati muda huo ni joto kali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…