Mradi wa Bomba la Ges toka Nigeria- Ulaya unaenda kuikosti Niger?

Mradi wa Bomba la Ges toka Nigeria- Ulaya unaenda kuikosti Niger?

Mpaka leo hali imezidi kuwa tete, nchi zote zinazomzunguka Niger zimesema zitamuunga mkono Niger, mpaka Kiduku kasema anatia timu pale na anataka awe ndo mwenye shughuli Niger, Mungu aepushie mbali maana tunakoelekea siyo kuzuri.
 
Nigeria atafaidika vipi na hilo bomba akiingia vitani.

Niger ina vikundi luluki vya kigaidi na wengi ni ‘Songhai tribe’ militias, hasa maeneo ya west Niger hilo bomba litakapo pita.

Watalilinda vipi kwa kilometer zote hizo ukizingatia bomba lenyewe linapita ‘Tillaberi Region’ alipozaliwa general Tchiani. Si kila siku litakuwa linapasuliwa tu hilo bomba.

Mabomba ya mafuta tu ndani ya Nigeria kwa mwaka on average yanapasuliwa si chini ya mara kumi watu waibe mafuta; haya hilo bomba la kilometer 800 ndani ya Niger unalilinda vipi, wakati linapita eneo ambalo Tchiani amezaliwa, eneo ambalo ana support kubwa na kabila lake ndio linaongoza kuwa na vikundi vya ugaidi.

Hata huko Mali na Burkinafaso kabila kubwa ni hao hao Songhai kumbe, na ndio wanao support hiyo coup.

Nimeyapata katika kusikiliza mijadala ya wanai-generia; kuna political analyst katika mijadala yao balaa both ‘pro and against war’ wakianza kuchambua hoja huko unapata somo la bure la siasa za west africa.
 
Daa.. aisee hili bonge la muvi. Ila siasa za Ufaransa kwa waafrika magharibi ni mbaya sana; wamewanyonya sana waafrika kupitia ile mikataba yao ya benefits of colonization. This has to come to an end now… enough is enough
 
Kwani hiyo gesi wataichukua bure bila kulipia? Mleta mada unasema gesi kuachiwa ipitie Niger ni kuisaliti Afrika, kivipi kwani hao Niger itapita kwao bila kulipiwa? Acheni kujizima data waumini wa mtume Putin, mnatia huruma.
 
Sio nguo Ile useme unaazima mkuu
uko sawa, ni lugha tu mkuu. Lengo ni kuwa na umeme wao wa uhakika zaidi. Sasa unauza uranium ili mnunuzi azalishe umeme na wewe unanunua umeme kwa jirani, inafikirisha sana hii.
 
Sio wa kwetu wanavizia wakosoaji kwenye mikutano ya wapinzani[emoji28]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wapo sensitive na mambo ya siasa za majitaka lakini mambo ya uchumi hawana muda nayo tungekua vzr kariakoo tu ingekua na uwezo mkubwa wa kuchangia sehem kubwa sana ya budget
 
Daa.. aisee hili bonge la muvi. Ila siasa za Ufaransa kwa waafrika magharibi ni mbaya sana; wamewanyonya sana waafrika kupitia ile mikataba yao ya benefits of colonization. This has to come to an end now… enough is enough
Kweli kabisa hadi huruma.
 
Wachambuzi wa mambo wamejikita katika upatikanaji Uranium huko nchini Niger kwa kusema France atalazimika kuingiza jeshi kusuport ECOWAS kuipiga NIGER kama jeshi la nchi hiyo halitomrejesha Rais aliyepinduliwa.

Licha yakuwa Niger ni mzalishaji mkubwa mmojawapo wa Uranium dunian ila bado Ulaya na Marekani wanaingalia Niger kama mpango muhimu kwasababu zifuatazo.

1. Mara baada ya kulipuliwa kwa Nord Stream 1, 2 ambazo zikisambaza gas toka Urusi kwenda Ulaya kupitia Ujeruman, nchi za Ulaya zilianza kuangazisha mpango mwingine wa kupata Gas ili waachane na mashinikizo ya Putin na Urusi yake, haikuwa rahisi ila iliwalazimu kufanya hivo kwa kuunda plane B ambayo ni kutoa Gas toka Nigeria Km 1,037 kupitia Niger Km 847l1 na kisha litaingia Algeria Km 2,310.
View attachment 2709062

2. Ulaya hawana Option nyingine ya kupitisha bomba la Gas kutokana na raman ya eneo husika kwani kwa upande wa kushoto ni ngumu sana kuikwepa Bukina Faso ambayo pia ilishampindua Rais wake na Mkuu wa nchi kwasasa ni mshirika wa karibu wa Rais Putin, ila pia huwezi kuikwepa nchi ya Mali ambayo pia ilishampindua Rais wake na Jeshi likashika nchi.

Upande wa kulia kuna Chad ambayo tayari mapinduzi ya kijeshi na kuna Rais wa mpito, lakini juu ya Chad hapo kuna nchi ya Libya ambayo aoao NATO walienda kufanya uhalifu wa kivita.
View attachment 2709106
Ulaya watapata wapi Gas ikiwa Niger wataenda kuivamia? Watakubaliana na masharti ya Urusi?

Africa tuko tayari kujisaliti kwaajili ya maslah ya Ulaya?

Nigeria italazimika kuingiza jeshi ilimradi aweze kuuza Gas yake ulaya ajikomboe kiuchumi?
Mwafrika anakaa upande wa wazungu kumpiga mwafrika mwenzake, ili kulinda maslahi, ya mzungu!! Kwa hz, habari, Nyerere, Mandela, Kwameh Nkrumah, watakuwa wanapinduka pinduka huko kaburini kwa uchungu na hasira
 
wazungu walivyo wapumbavu, mbomba hili hawasemi kitu ila la uganda kupitia tz wanasema linaharibu mazingirak wasababu wanajua linaenda kulisha china na india.
Na kuna mazwazwa humu yalikua yanaunga mkono sijui haki za mazingira
Bullshit
 
Back
Top Bottom