New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,880
- 3,794
YeahNa sisi tumejaa ujinga, kwani Lazima kila tunachokifanya tupate kibali za mzungu ?
Tunakuwa kama mafala bwana
Inakera Sana ,halafu tulivyo mafala tunakomoana wenyewe Kwa wenyewe
Mfano hili Suala la uharibifu wa mazingira , wakenya walikua wanalishupalia ,ila huwezi kusikia Wajerumani au Waitaliano wakiwasagia kunguni ufaransa au uingereza