Mradi wa Bwawa la Stigler's George ndiyo mradi bora wa wakati wote Tanzania?

Mradi wa Bwawa la Stigler's George ndiyo mradi bora wa wakati wote Tanzania?

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2010
Posts
938
Reaction score
1,540
Toka nchi hii uanze kutekeleza miradi ya Maendeleo ni muda mrefu na miradi mingi ya kimkakati imetekelezwa ,ikiwemo pamoja iliyotekelezwa na wakoloni mfano mradi wa Reli ya Kati.

Ukiachana na miradi iliyotekelezwa na wakoloni, nimejaribu kupima na kuangalia ukubwa na umuhimu wa miradi iliyowahi kutekelezwa nchini, kipindi nchi ikijiongoza yenyewe na c wakoloni.

Nimeangalia na kujiridhisha kwamba ni kweli miradi imefanyika mingi, ikiwemo Bomba la Gesi kutoka mtwara, Daraja la busisi, mradi wa Reli ya SGR, unaoendelea, Chuo cha UDOM.

Kutokana na sababu hapa chini pamoja impact na changamoto iliyotatua nadhani Mradi wa Stiglers George, uliotekelezwa na "MAGUFULI PEKE YAKE" ndio mradi Bora wa muda wote kuwahi kufanywa nchini na hivyo namuweka kuwa mradi wa Karne.

1. Mradi huu ulikuwa na Vikwazo vingi, kutoka watu wa Ndani Chadema baadhi na CCM baadhi, watu wa mazingira. Lakini pia MABEBERU USA, UMOJA WA ULAYA, serikali ya Ujerumani walipinga mradi huu Kwa nguvu , na kama asingekuwepo Magufuli mradi huu ungebaki kwenye makaratasi.

2. Mradi huu umekuwa mgumu pia kwasababu ya Gharama za utekelezaji wake, Mradi umegharimu Tsh Trilioni 6.5 + Variation (+40%) ambayo imehitaji uthubutu mkubwa kuutekeleza.

3. Katika miradi iliyoleta na itakayoleta impact kwenye maendeleo basi ni huu.

Kwanza Mgao wa Umeme Umekwisha japo tatizo la kukatika Umeme lipo kutokana na uchakavu wa miundombinu. Mradii huu unamwaga MW 940 kwenye Gridi ya Taifa na huku mashine 4 ziliwa zimeingia, Sasa nawaambia zikifika mashine 5, basi Stiglers itakuwa na uwezo wa kuhudumia nchi nzima peke yake.

Pili mradi huu unachochea miradi mingine mikubwa kama Mradi wa Migodini inayotumia Umeme mwingi sana, SGR, Bomba la Mafuta.

Namalizia kwakusema, Mradi wa Bwawa la Stiglers George utakaozalisha MW 2115, ndio mradi Bora wa muda wote kuwahi kutekelezwa na Watanzania wote wakiongozwa na Magufuli.
 
Toka nchi hii uanze kutekeleza miradi ya Maendeleo ni muda mrefu na miradi mingi ya kimkakati imetekelezwa ,ikiwemo pamoja iliyotekelezwa na wakoloni mfano mradi wa Reli ya Kati.

Ukiachana na miradi iliyotekelezwa na wakoloni , nimejaribu kupima na kuangalia ukubwa na umuhimu wa miradi iliyowahi kutekelezwa nchini ,kipindi nchi ikijiongoza yenyewe na c wakoloni.
Nimeangalia na kujiridhisha kwamba ni kweli miradi imefanyika mingi, ikiwemo Bomba la Gesi kutoka mtwara, Daraja la busisi, mradi wa Reli ya SGR, unaoendelea, chuo Cha UDOM.


Kutokana na sababu hapa chini pamoja impact na changamoto iliyotatua nadhani Mradi wa Stiglers George, uliotekelezwa na "MAGUFULI PEKE YAKE" ndio mradi Bora wa muda wote kuwahi kufanywa nchini na hivyo namuweka kuwa mradi wa Karne.
1. Mradi huu ulikuwa na Vikwazo vingi, kutoka watu wa Ndani Chadema baadhi na CCM baadhi, watu wa mazingira. Lakini pia MABEBERU USA, UMOJA WA ULAYA, serikali ya Ujerumani walipinga mradi huu Kwa nguvu , na kama asingekuwepo MAGUFULI mradi huu ungebaki kwenye makaratasi.

2. Mradi huu umekuwa mgumu pia kwasababu ya Gharama za utekelezaji wake , Mradi umegharimu Tsh Trilioni 6.5 + Variation(+40%) ambayo imehitaji uthubutu mkubwa kuutekeleza.

3. Katika miradi iliyoleta na itakayoleta impact kwenye maendeleo basi ni huu.

Kwanza Mgao wa Umeme Umekwisha japo tatizo la kukatika Umeme lipo kutokana na uchakavu wa miundombinu. Mradii huu unamwaga MW 940 kwenye Gridi ya Taifa na huku mashine 4 ziliwa zimeingia, Sasa nawaambia zikifika mashine 5, basi Stiglers itakuwa na uwezo wa kuhudumia nchi nzima peke ake.

Pili mradi huu unachochea miradi mingine mikubwa kama Mradi wa Migodini inayotumia Umeme mwingi sana, SGR, Bomba la Mafuta.

Namalizia kwakusema, Mradi wa Bwawa la Stiglers George utakaozalisha MW 2115, ndio mradi Bora wa muda wote kuwahi kutekelezwa na Watanzania wote wakiongozwa na MAGUFULI
Hiyo hydro technology ilisha pitwa na wakati ni gharama kumantain huo mradi, bora mara 100 hizo pesa zinge elekezwa kwenye solar energy tunge pata maggawatt nyingi zaidi......case study ona solar projects za Qatar, Brazil Botswana nk.
 
Hiyo hydro technology ilisha pitwa na wakati ni gharama kumantain huo mradi, bora mara 100 hizo pesa zinge elekezwa kwenye solar energy tunge pata maggawatt nyingi zaidi......case study ona solar projects za Qatar, Brazil Botswana nk.
Ila watanzania 😂🙌
Yani unaanzaje kufananisha Hydropower na Solar power

Maintainability ya Solar power ni gharama mara 100 ya Hydropower, fanya utafiti

Tanzania haina uwezo wa kutekeleza wala kusimamia mradi wa solar power wenye uwezo wa kuzalisha 2215 MW kama zinazozalishwa na lile bwawa

Kingine Solar ni limited, ufanisi mkubwa uko kipindi cha jua, jua likizama na uzalishaji unapungua, wakati huo bwawa linafanya kazi 24/7 na uzalishaji ni constant

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Magufuli katuachia urithi kwa hiki kizazi...... Ule mgao wa umeme ndo ulikuwa unarudisha nchi miaka 20 nyuma
 
Ila watanzania [emoji23][emoji119]
Yani unaanzaje kufananisha Hydropower na Solar power

Maintainability ya Solar power ni gharama mara 100 ya Hydropower, fanya utafiti

Tanzania haina uwezo wa kutekeleza wala kusimamia mradi wa solar power wenye uwezo wa kuzalisha 2215 MW kama zinazozalishwa na lile bwawa

Kingine Solar ni limited, ufanisi mkubwa uko kipindi cha jua, jua likizama na uzalishaji unapungua, wakati huo bwawa linafanya kazi 24/7 na uzalishaji ni constant

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Magufuli katuachia urithi kwa hiki kizazi...... Ule mgao wa umeme ndo ulikuwa unarudisha nchi miaka 20 nyuma
Mkuu hilo bwawa lina tegemea kiwango cha mvua kwa mwaka kuna kipindi mvua zitakosana kabisa. Ulaya au Asia hiyo miradi ya hydro power imesha kua ignored sio economic, ni huyu JPM kukurupuka kutuingiza kyaka,.....mbona gharama za umeme bado ziko ju kama ni cost- effective schem
 
Hiyo hydro technology ilisha pitwa na wakati ni gharama kumantain huo mradi, bora mara 100 hizo pesa zinge elekezwa kwenye solar energy tunge pata maggawatt nyingi zaidi......case study ona solar projects za Qatar, Brazil Botswana nk.
Solar energy ndio gharama kubwa maradufu kuliko hydro. Miundombinu gani ya solar inaweza dumu miaka 49 kama bwawa la Kidatu?

Duniani kote hakuna sehemu solar energy iliwahi kuwa efficient kuliko HEP. Hizo solar panels na miundombinu yake utaenda kuinunua China ambao karne hii ya 21 wamekamilisha Three Gorges Dam yenye kuzalisha 22,500 Megawatt. Wakati wind farm yao kubwa na ndio kubwa duniani ina eneo lina kilomita za mraba 809 inaambulia kuzalisha Megawatt 3,500.

Alafu bwawa la umeme halizalishi umeme tu. Linazuia mafuriko na linatumika kwenye umwagiliaji. Lina faida pia kwenye gharama ndogo za uendeshaji. Turbines zilizofungwa Mtera au Kidatu enzi za Nyerere ni zilezile zipo hadi leo. Ingekuwa solar hapo ushanunua panels mara kibao na uharibifu mkubwa tu. Acheni kulinganisha HEP na vitu vya kijinga.
 
Hiyo hydro technology ilisha pitwa na wakati ni gharama kumantain huo mradi, bora mara 100 hizo pesa zinge elekezwa kwenye solar energy tunge pata maggawatt nyingi zaidi......case study ona solar projects za Qatar, Brazil Botswana nk.
Ushasema Qatar sio Tanzania

Kila nchi ina mipango yake

We should solute our late presdant Jpm

Patriotic Man ever have in this country
 
Solar energy ndio gharama kubwa maradufu kuliko hydro. Miundombinu gani ya solar inaweza dumu miaka 49 kama bwawa la Kidatu?

Duniani kote hakuna sehemu solar energy iliwahi kuwa efficient kuliko HEP. Hizo solar panels na miundombinu yake utaenda kuinunua China ambao karne hii ya 21 wamekamilisha Three Gorges Dam yenye kuzalisha 22,500 Megawatt. Wakati wind farm yao kubwa na ndio kubwa duniani ina eneo lina kilomita za mraba 809 inaambulia kuzalisha Megawatt 3,500.

Alafu bwawa la umeme halizalishi umeme tu. Linazuia mafuriko na linatumika kwenye umwagiliaji. Lina faida pia kwenye gharama ndogo za uendeshaji. Turbines zilizofungwa Mtera au Kidatu enzi za Nyerere ni zilezile zipo hadi leo. Ingekuwa solar hapo ushanunua panels mara kibao na uharibifu mkubwa tu. Acheni kulinganisha HEP na vitu vya kijinga.
Huyo kilaza haelewi kitu Mhandisi Mkuu, Mpe shule
 
Toka nchi hii uanze kutekeleza miradi ya Maendeleo ni muda mrefu na miradi mingi ya kimkakati imetekelezwa ,ikiwemo pamoja iliyotekelezwa na wakoloni mfano mradi wa Reli ya Kati.

Ukiachana na miradi iliyotekelezwa na wakoloni, nimejaribu kupima na kuangalia ukubwa na umuhimu wa miradi iliyowahi kutekelezwa nchini, kipindi nchi ikijiongoza yenyewe na c wakoloni.

Nimeangalia na kujiridhisha kwamba ni kweli miradi imefanyika mingi, ikiwemo Bomba la Gesi kutoka mtwara, Daraja la busisi, mradi wa Reli ya SGR, unaoendelea, Chuo cha UDOM.

Kutokana na sababu hapa chini pamoja impact na changamoto iliyotatua nadhani Mradi wa Stiglers George, uliotekelezwa na "MAGUFULI PEKE YAKE" ndio mradi Bora wa muda wote kuwahi kufanywa nchini na hivyo namuweka kuwa mradi wa Karne.

1. Mradi huu ulikuwa na Vikwazo vingi, kutoka watu wa Ndani Chadema baadhi na CCM baadhi, watu wa mazingira. Lakini pia MABEBERU USA, UMOJA WA ULAYA, serikali ya Ujerumani walipinga mradi huu Kwa nguvu , na kama asingekuwepo Magufuli mradi huu ungebaki kwenye makaratasi.

2. Mradi huu umekuwa mgumu pia kwasababu ya Gharama za utekelezaji wake, Mradi umegharimu Tsh Trilioni 6.5 + Variation (+40%) ambayo imehitaji uthubutu mkubwa kuutekeleza.

3. Katika miradi iliyoleta na itakayoleta impact kwenye maendeleo basi ni huu.

Kwanza Mgao wa Umeme Umekwisha japo tatizo la kukatika Umeme lipo kutokana na uchakavu wa miundombinu. Mradii huu unamwaga MW 940 kwenye Gridi ya Taifa na huku mashine 4 ziliwa zimeingia, Sasa nawaambia zikifika mashine 5, basi Stiglers itakuwa na uwezo wa kuhudumia nchi nzima peke yake.

Pili mradi huu unachochea miradi mingine mikubwa kama Mradi wa Migodini inayotumia Umeme mwingi sana, SGR, Bomba la Mafuta.

Namalizia kwakusema, Mradi wa Bwawa la Stiglers George utakaozalisha MW 2115, ndio mradi Bora wa muda wote kuwahi kutekelezwa na Watanzania wote wakiongozwa na Magufuli.
Uko sahihi,miradi ya aina hii inahitaji uthubutu wa hali ya juu.Kila Raisi aliyepita ana yake aliyofanya ambayo ni unforgetable ila hili la Umeme,SGR na Ndege mpya kwa cash money lilihitaji mtu ajitoe ufahamu ili litekelezeke...
 
Toka nchi hii uanze kutekeleza miradi ya Maendeleo ni muda mrefu na miradi mingi ya kimkakati imetekelezwa ,ikiwemo pamoja iliyotekelezwa na wakoloni mfano mradi wa Reli ya Kati.

Ukiachana na miradi iliyotekelezwa na wakoloni, nimejaribu kupima na kuangalia ukubwa na umuhimu wa miradi iliyowahi kutekelezwa nchini, kipindi nchi ikijiongoza yenyewe na c wakoloni.

Nimeangalia na kujiridhisha kwamba ni kweli miradi imefanyika mingi, ikiwemo Bomba la Gesi kutoka mtwara, Daraja la busisi, mradi wa Reli ya SGR, unaoendelea, Chuo cha UDOM.

Kutokana na sababu hapa chini pamoja impact na changamoto iliyotatua nadhani Mradi wa Stiglers George, uliotekelezwa na "MAGUFULI PEKE YAKE" ndio mradi Bora wa muda wote kuwahi kufanywa nchini na hivyo namuweka kuwa mradi wa Karne.

1. Mradi huu ulikuwa na Vikwazo vingi, kutoka watu wa Ndani Chadema baadhi na CCM baadhi, watu wa mazingira. Lakini pia MABEBERU USA, UMOJA WA ULAYA, serikali ya Ujerumani walipinga mradi huu Kwa nguvu , na kama asingekuwepo Magufuli mradi huu ungebaki kwenye makaratasi.

2. Mradi huu umekuwa mgumu pia kwasababu ya Gharama za utekelezaji wake, Mradi umegharimu Tsh Trilioni 6.5 + Variation (+40%) ambayo imehitaji uthubutu mkubwa kuutekeleza.

3. Katika miradi iliyoleta na itakayoleta impact kwenye maendeleo basi ni huu.

Kwanza Mgao wa Umeme Umekwisha japo tatizo la kukatika Umeme lipo kutokana na uchakavu wa miundombinu. Mradii huu unamwaga MW 940 kwenye Gridi ya Taifa na huku mashine 4 ziliwa zimeingia, Sasa nawaambia zikifika mashine 5, basi Stiglers itakuwa na uwezo wa kuhudumia nchi nzima peke yake.

Pili mradi huu unachochea miradi mingine mikubwa kama Mradi wa Migodini inayotumia Umeme mwingi sana, SGR, Bomba la Mafuta.

Namalizia kwakusema, Mradi wa Bwawa la Stiglers George utakaozalisha MW 2115, ndio mradi Bora wa muda wote kuwahi kutekelezwa na Watanzania wote wakiongozwa na Magufuli.
Hallafu pichha zake zinafichwa balaa
 
Solar energy ndio gharama kubwa maradufu kuliko hydro. Miundombinu gani ya solar inaweza dumu miaka 49 kama bwawa la Kidatu?

Duniani kote hakuna sehemu solar energy iliwahi kuwa efficient kuliko HEP. Hizo solar panels na miundombinu yake utaenda kuinunua China ambao karne hii ya 21 wamekamilisha Three Gorges Dam yenye kuzalisha 22,500 Megawatt. Wakati wind farm yao kubwa na ndio kubwa duniani ina eneo lina kilomita za mraba 809 inaambulia kuzalisha Megawatt 3,500.

Alafu bwawa la umeme halizalishi umeme tu. Linazuia mafuriko na linatumika kwenye umwagiliaji. Lina faida pia kwenye gharama ndogo za uendeshaji. Turbines zilizofungwa Mtera au Kidatu enzi za Nyerere ni zilezile zipo hadi leo. Ingekuwa solar hapo ushanunua panels mara kibao na uharibifu mkubwa tu. Acheni kulinganisha HEP na vitu vya kijinga.
Tunahitaji kuona ubora wa HEP kwenye cost ya unit ya umeme, Qatar, umeme wao uko cheap mara mbili ya umeme wa Tz wakat i Qatar ni technology ya solar.......
 
Uko sahihi,miradi ya aina hii inahitaji uthubutu wa hali ya juu.Kila Raisi aliyepita ana yake aliyofanya ambayo ni unforgetable ila hili la Umeme,SGR na Ndege mpya kwa cash money lilihitaji mtu ajitoe ufahamu ili litekelezeke...
Huo mzigo katuachia JPM ndo maana unaona shilling ya Tanzania inashuka kila siku dhidi ya dollar ya US, kwasbb ya debt service en payment. Watanzania tulihitaji mradi wa kubadili life style au maisha ya Watanzania holistic change ya maisha ila wapi......JPM alibugi sanaa.
 
Tunahitaji kuona ubora wa HEP kwenye cost ya unit ya umeme, Qatar, umeme wao uko cheap mara mbili ya umeme wa Tz wakat i Qatar ni technology ya solar.......
Hiyo ni hoja nyingine, cost ya kununua na cost ya kuzalisha ni vitu viwili tofauti kabisa. Mbona Nigeria wanazalisha mafuta tena yenye ubora ila lita ya mafuta kwao ni ghali kuliko nchi nyingi za Kiarabu. Kuna subsidy na kiasi cha faida.

Alafu Qatar ni jangwa kila kitu pale ni man made hata shamba, sehemu ya ufugaji, bustani, hata wakitaka msitu. Sasa Tanzania tuna misitu, eneo la kilimo, hifadhi, malisho, makazi, mito na maziwa utafunga wapi solar farms za kutoshea nchi nzima.

Bado hii hoja yako haina mashiko. Qatar 99.7% ya umeme wake ni mafuta na gesi. Hakuna mwarabu mpumbavu ataacha kutumia fossils eti afurahishe kina Covax kutumia solar. Hiyo solar, wind na tidal wameweka kuchangamsha genge hivyo 0.3% haiwezi kuwa determinant wa bei ya umeme mpaka useme wana bei ndogo.

Narudia, hydroelectric isilinganishwe na vitu vya kipumbavu.
 
Back
Top Bottom