Mradi wa Bwawa la Stigler's George ndiyo mradi bora wa wakati wote Tanzania?

Mradi wa Bwawa la Stigler's George ndiyo mradi bora wa wakati wote Tanzania?

Hiyo ni hoja nyingine, cost ya kununua na cost ya kuzalisha ni vitu viwili tofauti kabisa. Mbona Nigeria wanazalisha mafuta tena yenye ubora ila lita ya mafuta kwao ni ghali kuliko nchi nyingi za Kiarabu. Kuna subsidy na kiasi cha faida.

Alafu Qatar ni jangwa kila kitu pale ni man made hata shamba, sehemu ya ufugaji, bustani, hata wakitaka msitu. Sasa Tanzania tuna misitu, eneo la kilimo, hifadhi, malisho, makazi, mito na maziwa utafunga wapi solar farms za kutoshea nchi nzima.

Bado hii hoja yako haina mashiko. Qatar 99.7% ya umeme wake ni mafuta na gesi. Hakuna mwarabu mpumbavu ataacha kutumia fossils eti afurahishe kina Covax kutumia solar. Hiyo solar, wind na tidal wameweka kuchangamsha genge hivyo 0.3% haiwezi kuwa determinant wa bei ya umeme mpaka useme wana bei ndogo.

Narudia, hydroelectric isilinganishwe na vitu vya kipumbavu.
Sawa nakuomba urudi kwenye cost ya unit katika final consumer ili tuweze kupata relevacy ha huo mradi really uko cheap kiasi hicho, kama solar in ghari, kwani hamna vyanzo vigine ambavyo ni relatively cheaper.......huo mradi usiwe White elephant tunahitaji kuona matunda in terms of cost, fanya feasobility study ya comparison umeme wa Tanzania na nchi jirani uone kama mradi wetu unasaidia mwananchi wakawaida.
 
Hiyo hydro technology ilisha pitwa na wakati ni gharama kumantain huo mradi, bora mara 100 hizo pesa zinge elekezwa kwenye solar energy tunge pata maggawatt nyingi zaidi......case study ona solar projects za Qatar, Brazil Botswana nk.
Hydroelectric haijapitwa na wakati na Zina ufanisi mkubwa, kwanza unapata umeme, pili una unayahifadhi maji na kupunguza upotevu wa maji mengi kumwagika baharini wakati wa msimu wa mvua tatu unakua na ziwa ambalo litawezesha shughuli za utalii, uvuvi, kilimo na mazingira ya ustawi wa wanyama na ndege.
Solar energy ni complentary au saidizi sababu Ina faa zaidi mchana kwanza Kuna changamoto ya kuhifadhi umeme Ili utumike usiku au siku za mvua. Hapa tunazungumzia umeme mkubwa wa grid sio mdogo wa nyumba binafsi yenye matumizi ya watts kidogo ambako unaweza kuweka storage batteries kwa akili ya usiku.
Hata hivyo Tanzania inahitaji zaidi ya 10,000 Mw Ili ianze kujikwamua kiuchumi ,hili bwawa litachangia kupunguza mgao wa wa matumizi ya binafsi na huduma za jamii lakini sio viwanda vya maana.
 
Hydroelectric haijapitwa na wakati na Zina ufanisi mkubwa, kwanza unapata umeme, pili una unayahifadhi maji na kupunguza upotevu wa maji mengi kumwagika baharini wakati wa msimu wa mvua tatu unakua na ziwa ambalo litawezesha shughuli za utalii, uvuvi, kilimo na mazingira ya ustawi wa wanyama na ndege.
Solar energy ni complentary au saidizi sababu Ina faa zaidi mchana kwanza Kuna changamoto ya kuhifadhi umeme Ili utumike usiku au siku za mvua. Hapa tunazungumzia umeme mkubwa wa grid sio mdogo wa nyumba binafsi yenye matumizi ya watts kidogo ambako unaweza kuweka storage batteries kwa akili ya usiku.
Hata hivyo Tanzania inahitaji zaidi ya 10,000 Mw Ili ianze kujikwamua kiuchumi ,hili bwawa litachangia kupunguza mgao wa wa matumizi ya binafsi na huduma za jamii lakini sio viwanda vya maana.
China ina mrad moja wa solar wanazalisha 5000mgw at the cost of $3m wakati sisi cost ya huo mradi ni karibu $5m unategemea kuzalisha 2200mw....mkuu hapo tafakari. Tutakua tuna chimba hizo damu ngapi kufikisha 10000mw, wakati kwa solar tugeweka mbili tu.....hiyo technology ya HEP ni out dated tabia nchi imefanya mvua hutotabilika tena.
 
Sawa nakuomba urudi kwenye cost ya unit katika final consumer ili tuweze kupata relevacy ha huo mradi really uko cheap kiasi hicho, kama solar in ghari, kwani hamna vyanzo vigine ambavyo ni relatively cheaper.......huo mradi usiwe White elephant tunahitaji kuona matunda in terms of cost, fanya feasobility study ya comparison umeme wa Tanzania na nchi jirani uone kama mradi wetu unasaidia mwananchi wakawaida.
Umeme wa TANESCO ukiachana na uzalishaji pia una usambazaji unaoongeza gharama, na pia kuna upotevu mkubwa, bado kuna wizi, kuna uchakavu wa miundombinu na kuna kodi ambayo hata wewe hapo unalipia unajua.

Hayo yote hayawezi kwepeka kwa kuachana na umeme wenye gharama ndogo za uzalishaji kwenda kwenye wenye gharama kubwa. Ukipewa bodaboda ukashindwa gharama za mafuta ukapendekeza upewe gari la 3000cc tukakuona zimekuruka.
 
China ina mrad moja wa solar wanazalisha 5000mgw at the cost of $3m wakati sisi cost ya huo mradi ni karibu $5m unategemea kuzalisha 2200mw....mkuu hapo tafakari. Tutakua tuna chimba hizo damu ngapi kufikisha 10000mw, wakati kwa solar tugeweka mbili tu.....hiyo technology ya HEP ni out dated tabia nchi imefanya mvua hutotabilika tena.
China na Tanzania kwenye solar hatufanani kwa namna yoyote.

China kila kitu kwenye solar anatoa hapo hapo kwake.
 
Mkuu hilo bwawa lina tegemea kiwango cha mvua kwa mwaka kuna kipindi mvua zitakosana kabisa. Ulaya au Asia hiyo miradi ya hydro power imesha kua ignored sio economic, ni huyu JPM kukurupuka kutuingiza kyaka,.....mbona gharama za umeme bado ziko ju kama ni cost- effective schem
China ndo kwanza kajenga na anazidi kujenga mengine makubwa zaidi
 
Ni kweli ametumwa na anatumika na makampuni ya solar, haelewi miradi ya solar mikubwa ni complex na inahitaji running cost mingi na initial investment kubwa, Hii nchi vilaza hawapo CCM na Chadema tu hata huku mtaani
 
China ina mrad moja wa solar wanazalisha 5000mgw at the cost of $3m wakati sisi cost ya huo mradi ni karibu $5m unategemea kuzalisha 2200mw....mkuu hapo tafakari. Tutakua tuna chimba hizo damu ngapi kufikisha 10000mw, wakati kwa solar tugeweka mbili tu.....hiyo technology ya HEP ni out dated tabia nchi imefanya mvua hutotabilika tena.
Mkuu hata hiyo China bado wanategemea umeme wa kufuliwa na maji.

China wana bwawa kubwa la HEP ambalo linazalisha karibu MW 22,000. Hivyo kusema uzalishaji huu umepitwa na wakati si sawa.
 
Mkuu hata hiyo China bado wanategemea umeme wa kufuliwa na maji.

China wana bwawa kubwa la HEP ambalo linazalisha karibu MW 22,000. Hivyo kusema uzalishaji huu umepitwa na wakati si sawa.
Hilo bwawa sio la leo lomejengwa 70yrs nyuma hawawezi kujenga jingine kwasbb hiyo technology imeshakua outdated......wamejikita kwenye solar power 5000mw mradi moja tu.
 
Hilo bwawa sio la leo lomejengwa 70yrs nyuma hawawezi kujenga jingine kwasbb hiyo technology imeshakua outdated......wamejikita kwenye solar power 5000mw mradi moja tu.
We jamaa ni muongo sana ase... unazungumzia bwawa lipi?

Three Gorges imejengwa miaka 70 nyuma una uhakika?

Cha muhimu ni nchi kuwa na energy mix, kwa hali ya sasa ya mabadiliko ya tabianchi huwezi tegemea chanzo kimoja cha nishati. Hivyo, kuwepo kwa Stieglers Gorge ni mojawapo ya juhudi za kupongezwa wakati tunaendela kuanzisha vyanzo mbadala vya nishati.
 
Hilo bwawa sio la leo lomejengwa 70yrs nyuma hawawezi kujenga jingine kwasbb hiyo technology imeshakua outdated......wamejikita kwenye solar power 5000mw mradi moja tu.
Hilo bwawa sio la leo lomejengwa 70yrs nyuma hawawezi kujenga jingine kwasbb hiyo technology imeshakua outdated......wamejikita kwenye solar power 5000mw mradi moja tu.
Three gorge ni post
Hilo bwawa sio la leo lomejengwa 70yrs nyuma hawawezi kujenga jingine kwasbb hiyo technology imeshakua outdated......wamejikita kwenye solar power 5000mw mradi moja tu.
Hapana. Hili ni la 1994 Hadi 2006, na wanaendelea na miradi mingine mingi ya maji, ni cheap Chadema wewe
 
Tunahitaji kuona ubora wa HEP kwenye cost ya unit ya umeme, Qatar, umeme wao uko cheap mara mbili ya umeme wa Tz wakat i Qatar ni technology ya solar.......
Ila wabongo sisi sijui tulirogwa na mkoloni gani kati ya mwingereza na mjerumani. Yaani kwa akili zako zoote unadhani haiwezekani kushusha bei ya umeme kwa uniti kwasababu eti uendeshaji wa HEP ni gharama?
 
Toka nchi hii uanze kutekeleza miradi ya Maendeleo ni muda mrefu na miradi mingi ya kimkakati imetekelezwa ,ikiwemo pamoja iliyotekelezwa na wakoloni mfano mradi wa Reli ya Kati.

Ukiachana na miradi iliyotekelezwa na wakoloni, nimejaribu kupima na kuangalia ukubwa na umuhimu wa miradi iliyowahi kutekelezwa nchini, kipindi nchi ikijiongoza yenyewe na c wakoloni.

Nimeangalia na kujiridhisha kwamba ni kweli miradi imefanyika mingi, ikiwemo Bomba la Gesi kutoka mtwara, Daraja la busisi, mradi wa Reli ya SGR, unaoendelea, Chuo cha UDOM.

Kutokana na sababu hapa chini pamoja impact na changamoto iliyotatua nadhani Mradi wa Stiglers George, uliotekelezwa na "MAGUFULI PEKE YAKE" ndio mradi Bora wa muda wote kuwahi kufanywa nchini na hivyo namuweka kuwa mradi wa Karne.

1. Mradi huu ulikuwa na Vikwazo vingi, kutoka watu wa Ndani Chadema baadhi na CCM baadhi, watu wa mazingira. Lakini pia MABEBERU USA, UMOJA WA ULAYA, serikali ya Ujerumani walipinga mradi huu Kwa nguvu , na kama asingekuwepo Magufuli mradi huu ungebaki kwenye makaratasi.

2. Mradi huu umekuwa mgumu pia kwasababu ya Gharama za utekelezaji wake, Mradi umegharimu Tsh Trilioni 6.5 + Variation (+40%) ambayo imehitaji uthubutu mkubwa kuutekeleza.

3. Katika miradi iliyoleta na itakayoleta impact kwenye maendeleo basi ni huu.

Kwanza Mgao wa Umeme Umekwisha japo tatizo la kukatika Umeme lipo kutokana na uchakavu wa miundombinu. Mradii huu unamwaga MW 940 kwenye Gridi ya Taifa na huku mashine 4 ziliwa zimeingia, Sasa nawaambia zikifika mashine 5, basi Stiglers itakuwa na uwezo wa kuhudumia nchi nzima peke yake.

Pili mradi huu unachochea miradi mingine mikubwa kama Mradi wa Migodini inayotumia Umeme mwingi sana, SGR, Bomba la Mafuta.

Namalizia kwakusema, Mradi wa Bwawa la Stiglers George utakaozalisha MW 2115, ndio mradi Bora wa muda wote kuwahi kutekelezwa na Watanzania wote wakiongozwa na Magufuli.

Ni kweli kabisa na tumeambiwa ni mradi wa kutosheleza Nchi nzima kwa umeme na Ziada ya kuuza.
Kinachonishangaza ni kwa nini kila kukicha unasikia TANESCO wameanzisha miradi mingine ya mabilioni kila kona?
Sio kwamba TANESCO wanatengeza Matumizi ili kila siku waonekane hawana pesa?

Kwa nini wasitumie hizo pesa za kuanzisha miradi mipya kwa kufikishia watu nishati safi ya umeme kwa bei poa (shs27,000) na kuimarisha miundo mbinu kwanza kwa asilimia 90% halafu ndio waanze miradi mingine mipya?
Au basi kama TANESCO wapo vizuri hizo hela zipangiwe miradi mingine kwani Nchi hii bado ni masikini gap zipo kila mahala....mfano SGR ya kwenda KIGOMA, walimu wa sayansi na hesabu hakuna nk nk

Ukiangalia uwekezaji wa stiglers/deni tunalodaiwa na hela tunayo pata tuna buni tena vimiradi vipya vya mabilioni; unaona kama kuna kitu hakipo sawa....
 
Kiongozi unaijua solar vizuri au umesikia kwa wanasiasa tu. China wanazalisha kila kitu cha solar kwao na wewe je unamaterial hayo bila kuagiza? Iko hivi Solar ni spana mkononi na shida yake ni panel life span yake ni 25yrs na battery ni 5yrs baada ya life span hiyo ya kila kimoja hapo umeme wako unasuasua sana na inabidi ubadilisha kila kitu battery na panel, ukichelewa kufanya hivo utafumua wiring nzima kuondoa cabon. Unapobadili panel na battery ni unanaua tena sytem mpya. Wakati HEP unafanya service tu. HEP is best na inafaida zaidi kama ulivopewa na wataalam hapo nyuma.
 
Toka nchi hii uanze kutekeleza miradi ya Maendeleo ni muda mrefu na miradi mingi ya kimkakati imetekelezwa ,ikiwemo pamoja iliyotekelezwa na wakoloni mfano mradi wa Reli ya Kati.

Ukiachana na miradi iliyotekelezwa na wakoloni, nimejaribu kupima na kuangalia ukubwa na umuhimu wa miradi iliyowahi kutekelezwa nchini, kipindi nchi ikijiongoza yenyewe na c wakoloni.

Nimeangalia na kujiridhisha kwamba ni kweli miradi imefanyika mingi, ikiwemo Bomba la Gesi kutoka mtwara, Daraja la busisi, mradi wa Reli ya SGR, unaoendelea, Chuo cha UDOM.

Kutokana na sababu hapa chini pamoja impact na changamoto iliyotatua nadhani Mradi wa Stiglers George, uliotekelezwa na "MAGUFULI PEKE YAKE" ndio mradi Bora wa muda wote kuwahi kufanywa nchini na hivyo namuweka kuwa mradi wa Karne.

1. Mradi huu ulikuwa na Vikwazo vingi, kutoka watu wa Ndani Chadema baadhi na CCM baadhi, watu wa mazingira. Lakini pia MABEBERU USA, UMOJA WA ULAYA, serikali ya Ujerumani walipinga mradi huu Kwa nguvu , na kama asingekuwepo Magufuli mradi huu ungebaki kwenye makaratasi.

2. Mradi huu umekuwa mgumu pia kwasababu ya Gharama za utekelezaji wake, Mradi umegharimu Tsh Trilioni 6.5 + Variation (+40%) ambayo imehitaji uthubutu mkubwa kuutekeleza.

3. Katika miradi iliyoleta na itakayoleta impact kwenye maendeleo basi ni huu.

Kwanza Mgao wa Umeme Umekwisha japo tatizo la kukatika Umeme lipo kutokana na uchakavu wa miundombinu. Mradii huu unamwaga MW 940 kwenye Gridi ya Taifa na huku mashine 4 ziliwa zimeingia, Sasa nawaambia zikifika mashine 5, basi Stiglers itakuwa na uwezo wa kuhudumia nchi nzima peke yake.

Pili mradi huu unachochea miradi mingine mikubwa kama Mradi wa Migodini inayotumia Umeme mwingi sana, SGR, Bomba la Mafuta.

Namalizia kwakusema, Mradi wa Bwawa la Stiglers George utakaozalisha MW 2115, ndio mradi Bora wa muda wote kuwahi kutekelezwa na Watanzania wote wakiongozwa na Magufuli.
...Halafu mmempa Mhindi afanye Uwekezaji ! Bwawa mmejenga wenyewe Kwa Hela zenu, halafu mumpe Mhindi wa India afanye Uwekezaji ! Akili, Matope ?
Ndio maana Kenya walimtakaachape Lapa'...wakati sisi ni Shamba la Bibi !.
 
Back
Top Bottom