mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
- Thread starter
- #41
Aliempa nani, Mimi sihusiki na ufisadi wa CCM...Halafu mmempa Mhindi afanye Uwekezaji ! Bwawa mmejenga wenyewe Kwa Hela zenu, halafu mumpe Mhindi wa India afanye Uwekezaji ! Akili, Matope ?
Ndio maana Kenya walimtakaachape Lapa'...wakati sisi ni Shamba la Bibi !.