Mradi wa Bwawa la Stigler's George ndiyo mradi bora wa wakati wote Tanzania?

Nmejiridhisha pasipo na shaka lolote kua akili yako si timamu
umeonaee,china anayekimbilia new tech Bado anajenga mabwawa tena ni makubwa hasa Kwani yana faida kubwa.magu was very genius nchi hii haijawahi kupata na huenda asipatikane tena.
 
umeonaee,china anayekimbilia new tech Bado anajenga mabwawa tena ni makubwa hasa Kwani yana faida kubwa.magu was very genius nchi hii haijawahi kupata na huenda asipatikane tena.
Kuna vitu tumekaririshwa kua n lazima tupinge kila jambo hapa hata ukimtajia SGR atapinga tena sasa unajiuliza huyu ni mtu au panzi🤔
 
Hiyo hydro technology ilisha pitwa na wakati ni gharama kumantain huo mradi, bora mara 100 hizo pesa zinge elekezwa kwenye solar energy tunge pata maggawatt nyingi zaidi......case study ona solar projects za Qatar, Brazil Botswana nk.

Napingana kabisa na wewe. Hydro power generation is one of the renewable sources of energy like solar, wind, geothermal, ocean waves etc.

Tanzania, if the environment is kept maintained, has got a potential of producing 4 GW of power from hydro sources. The hydro power plants can be from small size/micro powerplants to larger or much larger than Nyerere Hydro Power Plant.

The use of fossils is the one that is outdated and must be discarded, including the use of natural gas. However, the powerful people in the fossil fuels, for decades have been working hard to frustrate the investment in technologies that pave a way to use other power generation sources.
 

Acha kunywa pombe chafu. Zinasababisha ukichaa...Miradi unayoisema imeshushaje dola kwa mfano? Mbona sasa hivi dola zipo, shiling zinalia? Uhujumu uchumi ndio sababu. Haya mengine tunayaeleza kama walevi wa Konyagi feki
 
Acha kunywa pombe chafu. Zinasababisha ukichaa...Miradi unayoisema imeshushaje dola kwa mfano? Mbona sasa hivi dola zipo, shiling zinalia? Uhujumu uchumi ndio sababu. Haya mengine tunayaeleza kama walevi wa Konyagi feki
HOJA yake Kwa upande wa Dolla yupo sahihi, Miradi mikubwa ndo imekunywa Dolla asilimia kubwa, kwasababu vitu vingi vipo imported ambayo ni dolla inatumika, hasa mradi wa Reli na Stiglers, nenda Hazina watakuambia hii kitu
 
Hiyo hydro technology ilisha pitwa na wakati ni gharama kumantain huo mradi, bora mara 100 hizo pesa zinge elekezwa kwenye solar energy tunge pata maggawatt nyingi zaidi......case study ona solar projects za Qatar, Brazil Botswana nk.
UONGOOOOOOOO
 
JPM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…