Mradi wa Igoma 2 Buhongwa na Wakenya

Mradi wa Igoma 2 Buhongwa na Wakenya

Wakulaumiwa hapo ni serikali kwani hao watu hawatakuwa na work permit kwani uhamiaji wawazi toa work permit kwa unskilled (mshika kibendela). Serikali ndiyo yenye jukumu la kudhibit idadi ya foreigners kwenye kila mradi.
Kwenye mikataba kuna maelekezo ya idadi ya wafanyakazi wageni Ila baadhi ya watendaji uona ni opportunity ya kupigia mpunga.
Hapo hakutakiwi hata kuwa na kibarua informer bali serikali inatakiwa ichomeke vibarua wake(UT) ili kufanikisha monitoring ya hao China.
Kuna watu wenye akili na sio wote wanatumia hisia.
Nashukuru mno na sio kuwa kila mtu Ana disi nchi yangu na watu wangu.
Kila watu duniani Wana madhaifu yao na wanapenda nchi zao
 
Hapa vijaza wengi wa tz wanawaza kupakana mkongo na kufi***na Bora hao wakenyawapate riziki
 
Nikuambie tu mie Ni tajiri. Sihitaji mpaka Forbes waniweke kwa list
ninaipenda nchi yangu nishaishi nchi za watu nikaona watu wanavyopenda na kutetea nchi zao na maslahi ya watu wake. Jaribu kuvuka uingie nchi za watu uone watu wanavyonyanyasika hata kusoma kwao tu unaulizwa kuwa kwani kwenu hakuna masomo ama shule.
Wewe utakuwa hujawahi pata amshamasha ukiwa nchi za watu, ndio wale mzungu akija mnashobokaje. Sasa nenda kwao uone.
Wakiwa hapa wanajifanya wanawapenda kumbe mnaibiwa madini baadaye mnapewa vyandarua na mkopo kwa pesa za madini zenu.wanakuja kwa mgongo wa upendo na kuwapenyezea dini ili iwalainishe wakati hii Ni dunia ya one dog eats another dog
Hamna tajiri mwenyo roho ya kimasikini kama wewe unaonea wivu ata washika kibendera......
 
Hamna tajiri mwenyo roho ya kimasikini kama wewe unaonea wivu ata washika kibendera......
Kuna dada kibao wa kitanzania wanaoweza kuifanya hii kazi na wakapata ridhiki yao. Hii Ni nchi yao mkuu. Ama upo tayari baba yako awape ardhi wageni walime huku nyie hamna pa kulima.

Ila sema wewe huelewi maisha ndio mana
 
Acha roho mbaya wewe Tanzania sio kisiwa,kiasi kwamba wageni hawatakiwi.

Kumbuka hata huko Kenya kuna watanzania wengi tu wana tafta riziki zao huko,pia dunia nzima kuna watanzania wengi.

Wewe kama akili yako haina ufahamu au upeo mpana wa kujitafta tulia hivyo hivyo, unataka serikali iwafukuze ili iweje sasa.

Una maanisha hata watanzania waliopo inje wafukuzwe,au hujui kuna watanzania wamezagaa dunia nzima wana jitaftia riziki kwenye inchi za wenzetu acha hizo.

Wewe kaombe kazi ukikizi vigezo watakuchukua tu,halafu huo ni ubaguzi kitu ambacho hakitakiwi kabisa.

Kuna watu wana zamia kwenye inchi za watu kujitafta wewe unaona ni zambi nakushauli tu achana na hizo mambo.
mkuu unaongea hivi ukiwa na ndugu zako watanzania hawana ajira? au wewe nae ni 254?
you witch
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mradi huu inajengwa na mkandarasi mchina aliyetokea Kenya.

Sasa huyu mchina amekuja na wakenya hapa mpaka wadada washika vibendera uelewe.
Alikuwepo jamaa mmoja alikuwa akitoa taarif uhamiaji wakija wanapewa sabuni ya roho baadaye wanamchomesha kuwa ndiye aliyewapa taarifa mpaka wakamfukuza kazi Mana alikuwa anawachomesha.

Kuna madereva ambao Ni wakenya mpaka saveya Ni mkenya.
Mpaka Engineer Ni mkenya.
Mie nakuuliza kuwa Hakuna watanzania ambao wanaweza wakazifanya hizi kazi.
Na mradi ulipoanza mamia ya watanzania walisotea kazi ,wakaambulia na wapo ambao hawakuambulia kitu.

Kitu mie naumia Ni kuwa huyo mchina wakija uhamiaji kuwacheki hao jamaa wanapigwa something wanasepa.

Ninaomba hili suala liweze kuwafikia
DC,diwani, RC, mbunge mabula pia na waziri wa kazi kuwa hili suala walijue na wapo kwa ajili ya watanzania naombeni muwatumikieni watanzania kwa moyo mmoja.

Tembeleeni huo mradi na muongee na wafanyakazi ambao Ni wa kitanzania watawaambia Mana kuna hii Hali ndio huwa inapelekea machafuko wakati mwingine.
Mradi unafanyika nchini kwetu na utalipwa kwa Kodi za watanzania Mana Ni mkopo kutoka WB.

Naumia tunavyodharaulika watanzania.
Nina Imani Ni nchi yenye utaratibu sio lazima vurugu ifanyike Mana saivi tuna vijana kibao wamesoma wapo mtaani Kuna kazi ikitangazwa elimu kunzia diploma hata nafasi 10 tunaweza kupata maombi milioni moja ni kidogo.

Mradi huu uwanuifaishe watanzania wote.

Mie Ni mtanzania na mwananchi mwenye moyo na mapenzi ya dhati kabisa na Tanzania na watanzania.

Nina Imani na viongozi wetu hili suala watalishughulikia sio lazima Raisi Samia ahusike Mana anao wasaidizi wake wanaomsaidia kazi.

Ahsanteni.
Well said bro...Asante kwa taarifa
 
Afadhali wangekua raia wa kutokea nchi nyingine sio hao wapumbavu wa Kenya wanao tutakia mabaya Kila siku, japo sikubaliani na kuajili raia wa kigeni kufanya kazi ambazo watanzania wanaweza kuzifanya tena kwa kipindi hiki ambacho wenye Elimu na sifa za kufanya kazi ni wengi
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mradi huu inajengwa na mkandarasi mchina aliyetokea Kenya.

Sasa huyu mchina amekuja na wakenya hapa mpaka wadada washika vibendera uelewe.
Alikuwepo jamaa mmoja alikuwa akitoa taarif uhamiaji wakija wanapewa sabuni ya roho baadaye wanamchomesha kuwa ndiye aliyewapa taarifa mpaka wakamfukuza kazi Mana alikuwa anawachomesha.

Kuna madereva ambao Ni wakenya mpaka saveya Ni mkenya.
Mpaka Engineer Ni mkenya.
Mie nakuuliza kuwa Hakuna watanzania ambao wanaweza wakazifanya hizi kazi.
Na mradi ulipoanza mamia ya watanzania walisotea kazi ,wakaambulia na wapo ambao hawakuambulia kitu.

Kitu mie naumia Ni kuwa huyo mchina wakija uhamiaji kuwacheki hao jamaa wanapigwa something wanasepa.

Ninaomba hili suala liweze kuwafikia
DC,diwani, RC, mbunge mabula pia na waziri wa kazi kuwa hili suala walijue na wapo kwa ajili ya watanzania naombeni muwatumikieni watanzania kwa moyo mmoja.

Tembeleeni huo mradi na muongee na wafanyakazi ambao Ni wa kitanzania watawaambia Mana kuna hii Hali ndio huwa inapelekea machafuko wakati mwingine.
Mradi unafanyika nchini kwetu na utalipwa kwa Kodi za watanzania Mana Ni mkopo kutoka WB.

Naumia tunavyodharaulika watanzania.
Nina Imani Ni nchi yenye utaratibu sio lazima vurugu ifanyike Mana saivi tuna vijana kibao wamesoma wapo mtaani Kuna kazi ikitangazwa elimu kunzia diploma hata nafasi 10 tunaweza kupata maombi milioni moja ni kidogo.

Mradi huu uwanuifaishe watanzania wote.

Mie Ni mtanzania na mwananchi mwenye moyo na mapenzi ya dhati kabisa na Tanzania na watanzania.

Nina Imani na viongozi wetu hili suala watalishughulikia sio lazima Raisi Samia ahusike Mana anao wasaidizi wake wanaomsaidia kazi.

Ahsanteni.
Mmezidi kuwa wapole na mtakufa bila kelele kama alivyokufa mfuas wa kibwetere
 
Afadhali wangekua raia wa kutokea nchi nyingine sio hao wapumbavu wa Kenya wanao tutakia mabaya Kila siku, japo sikubaliani na kuajili raia wa kigeni kufanya kazi ambazo watanzania wanaweza kuzifanya tena kwa kipindi hiki ambacho wenye Elimu na sifa za kufanya kazi ni wengi
Kabisa mkuu,na hakuna watu wanatuombea mabaya kama wakenya.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mradi huu inajengwa na mkandarasi mchina aliyetokea Kenya.

Sasa huyu mchina amekuja na wakenya hapa mpaka wadada washika vibendera uelewe.
Alikuwepo jamaa mmoja alikuwa akitoa taarif uhamiaji wakija wanapewa sabuni ya roho baadaye wanamchomesha kuwa ndiye aliyewapa taarifa mpaka wakamfukuza kazi Mana alikuwa anawachomesha.

Kuna madereva ambao Ni wakenya mpaka saveya Ni mkenya.
Mpaka Engineer Ni mkenya.
Mie nakuuliza kuwa Hakuna watanzania ambao wanaweza wakazifanya hizi kazi.
Na mradi ulipoanza mamia ya watanzania walisotea kazi ,wakaambulia na wapo ambao hawakuambulia kitu.

Kitu mie naumia Ni kuwa huyo mchina wakija uhamiaji kuwacheki hao jamaa wanapigwa something wanasepa.

Ninaomba hili suala liweze kuwafikia
DC,diwani, RC, mbunge mabula pia na waziri wa kazi kuwa hili suala walijue na wapo kwa ajili ya watanzania naombeni muwatumikieni watanzania kwa moyo mmoja.

Tembeleeni huo mradi na muongee na wafanyakazi ambao Ni wa kitanzania watawaambia Mana kuna hii Hali ndio huwa inapelekea machafuko wakati mwingine.
Mradi unafanyika nchini kwetu na utalipwa kwa Kodi za watanzania Mana Ni mkopo kutoka WB.

Naumia tunavyodharaulika watanzania.
Nina Imani Ni nchi yenye utaratibu sio lazima vurugu ifanyike Mana saivi tuna vijana kibao wamesoma wapo mtaani Kuna kazi ikitangazwa elimu kunzia diploma hata nafasi 10 tunaweza kupata maombi milioni moja ni kidogo.

Mradi huu uwanuifaishe watanzania wote.

Mie Ni mtanzania na mwananchi mwenye moyo na mapenzi ya dhati kabisa na Tanzania na watanzania.

Nina Imani na viongozi wetu hili suala watalishughulikia sio lazima Raisi Samia ahusike Mana anao wasaidizi wake wanaomsaidia kazi.

Ahsanteni.
Mmmmm
 
Utaachaje kumshangaa wakati wewe ni 254!?
Ama dada zetu wakashike vibendera kwao tuone Kama wakenya hawatalivalia njuga mpaka iwe iwe ishu ya dunia nzima. Wameshindwa kuongea tu kuwa ramadhani brothers wanatokea kwao
 
Back
Top Bottom