Hivi hujatembea nchi za watu uyajue maisha mkuu. Naweza nikawa naongea na mtu aliyejifungia uzio like of wallstreet.
Unaeelewa suala la ajira linapokuja suala mwenye nchi.
Yaani Basi baba yako ampe kijana mmoja ardhi alime huku nyie akiwaambia waacheni walime tu tuache roho mbaya.
Hivi Kama huelewi yaani Kama sikusomi,
Nenda nchi za watu uone Kama watakupa kazi kizembezembe na kwenye miradi ya serikali husika