Mradi wa kilimo cha biashara unaojumuisha wasomi wa kada mbali mbali

Mradi wa kilimo cha biashara unaojumuisha wasomi wa kada mbali mbali

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Kilimo cha biashara ni njia ya kujitoa katika umasikini. Mtaji katika kilimo hiki ni changamoto kubwa.

Wazo lililopo ni kuunganisha nguvu na ujuzi wa watu mbali mbali. Wahitimu wa kilimo, uhandisi, HR, accounts, marketing nk waungane na kuunda kampuni.

Eatafute eneo kuanzia heka 20, wa kilimo watasimamia field, marketing wanatafuta masoko ya ndani na ya nje, wahandisi watasimamia mashine, kuanzia za kilimo mpaka za kufungia bidhaa.

Hawa wasomi wakishakamilisha haya yote, waweke wazo hadharani na kutafuta wadau wa kuchangia. Ni kama kuuza hisa. Wanaotaka kujiunga wachangie kuanzia US $1,000.


HR watahudika na ajira za wafanyakazi. Kampuni inunue malori ya kusafirishia bidhaa na kuhakikisha kuna ghala la kujifadhia bidhaa Kibaha au Dar kabla hazijasafirishwa nje ya nchi.

Kwa utafiti wangu, maharage ni zao la chakula ambalo linauzika sana, hasa nchi za asia ambako matumizi ya nyama si makubwa.
 
Kilimo cha biashara ni njia ya kujitoa katika umasikini. Mtaji katika kilimo hiki ni changamoto kubwa.

Wazo lililopo ni kuunganisha nguvu na ujuzi wa watu mbali mbali. Wahitimu wa kilimo, uhandisi, HR, accounts, marketing nk waungane na kuunda kampuni.

Eatafute eneo kuanzia heka 20, wa kilimo watasimamia field, marketing wanatafuta masoko ya ndani na ya nje, wahandisi watasimamia mashine, kuanzia za kilimo mpaka za kufungia bidhaa.

Hawa wasomi wakishakamilisha haya yote, waweke wazo hadharani na kutafuta wadau wa kuchangia. Ni kama kuuza hisa. Wanaotaka kujiunga wachangie kuanzia US $1,000.


HR watahudika na ajira za wafanyakazi. Kampuni inunue malori ya kusafirishia bidhaa na kuhakikisha kuna ghala la kujifadhia bidhaa Kibaha au Dar kabla hazijasafirishwa nje ya nchi.

Kwa utafiti wangu, maharage ni zao la chakula ambalo linauzika sana, hasa nchi za asia ambako matumizi ya nyama si makubwa.
mihogo,maparachichi(hass),Mbogmboga nk ila heka ishirini ni chache kwa makundi yote hayo,zinafaa kuanzia heka 200 kww vile kuna wataalamu,itakuwa natija na kuinua uchumi kwa haraka.
 
mihogo,maparachichi(hass),Mbogmboga nk ila heka ishirini ni chache kwa makundi yote hayo,zinafaa kuanzia heka 200 kww vile kuna wataalamu,itakuwa natija na kuinua uchumi kwa haraka.
Ninakubaliana na wewe, kilimo cha mboga mboga kinafaida sana kama mazao yatamfikia mlaji katika muda muafaka yakiwa bado na hali ya ubora. Cha kuzingatia hapa ni usafiri. Je unaweza kulima Iringa na mchicha ufika Dar katika muda stahiki?
 
Back
Top Bottom