Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,151
Hello Wana Forum Habarini za Asubuhi
Nafikiri kuanzisha Mradi wa kuuza kuku wa Kienyeji ambao nitawafuga kijijini na kisha kuwaleta hapa jijini Dar! Ningependa mtu mwenye uzoefu na biashara hii tubadilishane uzoefu, Do's and Don'ts
Masoko yanatafutwaje, Worst case scenarios....! Profit margin nk...nk...
Nafahamu hapa ni kisima cha Maarifa and I hope nitapata mawazo mazuri ya kuendeleza shughuli hiii!
Nafikiri kuanzisha Mradi wa kuuza kuku wa Kienyeji ambao nitawafuga kijijini na kisha kuwaleta hapa jijini Dar! Ningependa mtu mwenye uzoefu na biashara hii tubadilishane uzoefu, Do's and Don'ts
Masoko yanatafutwaje, Worst case scenarios....! Profit margin nk...nk...
Nafahamu hapa ni kisima cha Maarifa and I hope nitapata mawazo mazuri ya kuendeleza shughuli hiii!