Mradi wa mabasi yaendayo kasi (BRT) na Dar es Salaam Rapid Transit (DART)

watu wamejawa mawazo negative matupu. mawazo kama haya yanaweza kudiscourage umma, ukawa mmojawapo wa watu wanaoangamiza hili taifa. pembua utaelewa ninachomaanisha.

Watu kama hao wasikukatishe tamaa kila mahali wapo, na mara nyingi ni walioshindwa na Maisha na wanaishia tu kulalamika na kulaumu CCM na Serkali kwa kila kitu, hata uwafanye nini watalaumu tu!
 
Wanasubiri wakimaliza DART warudi tena na mradi mwengine dah aisee wanatuchosha kwa kweli. Bora wangefanya vyote pamoja wakimaliza wamemaliza.

flyovers zinaweza kujengwa out of site....zikaletwa pale zikapachikwa kwa muda mfupi sana bila kuleta usumbufu mkubwa kwa watumiaji barabara....nimeshaona sehemu wanajenga intersections sehemu fulani zikabaki wazi nikawa najiuliza hapa watajenga vipi au wanataka kuja kufanya nn....kuja kesho yake asubuhi wameziba ile gap kama hapakuwa wazi......
 
Hivi sisi flyover walisema wanaweka ubungo, tazara na wapi vile?
 

mkuu daladala kama hatuchoki nazo basi tunalaana, magari hayatosho tunapumulina kaka ndege'/ hapana mkuu inatosha
 




Mkuu ukiangalia hizo kona kwenye upanuzi wa vituo ni kama angle za kwenye ujenzi wa nyumba. Tairi la gari linaweza kukata kona namna hiyo kweli?
 




Mkuu ukiangalia hizo kona kwenye upanuzi wa vituo ni kama angle za kwenye ujenzi wa nyumba. Tairi la gari linaweza kukata kona namna hiyo kweli?
usijali mkuu , hivi ni kwa kua unaona kwenye render na katika angle tofauti, hawawezi kujenga wakati wote huo halafu isipitike, wana vipimo mkuu, kwa hiyo tulia mambo yatakua shwari
 
usijali mkuu , hivi ni kwa kua unaona kwenye render na katika angle tofauti, hawawezi kujenga wakati wote huo halafu isipitike, wana vipimo mkuu, kwa hiyo tulia mambo yatakua shwari

Mkuu sio kwa kuwa naona kwenye angle tofauti. Hizi barabara nazipita kila siku, angalia kwenye hizo corner tyre za magari zilivyokanyaga na kuharibu hizo kingo kabla hata barabara kuanza kutumika rasmi ndo utapata idea ya swali ninalouliza hapa.
 
THE PHOTOS ARE FROM TODAY TO THE LAST TWO MONTHS, FROM A PERSON ON SITE ON HIS INSTAGRAM













Marquinho74's Instagram photos | Webstagram - the best Instagram viewer
 
Last edited by a moderator:
UPDATES FROM millardayo.com


 
Hii Kitu haishi tu Kampuni ya Watu Magoigoi
 

DAR ES SALAAM INAWEZA KUPENDEZA by mjengwablog


Questions that I ask myself:
1. Was it that necessary kumwaga zege?
2. ikitokea daladala imeharibikia katikati ya barabara wa nyuma wataovertake vipi considering kizuizi
kilichowekwa kutenganisha
3. kama barabara ya kati ndo ya daladala watu wataifikiaje? itabidi wavuke barabara ya nje
ambayo ni risky na magari yatapoteza mda kusubiri watu wavuke
4. hivi vituo wajenga utafikiri nyumba was it necessary kutumia hela nyingi kujenga kubwa kiasi hiki?
alafu zingine ziko karibu chini ya mita 200!! what a waste
5. ingejengwa bypass toka mbezi kwenda hadi tazara ingepunguza foleni morogoro road na nelson mandela road
inayosababishwa na malori
 

1. zege ndio mwazno mwisho mkuu, jaribu ku google kwa nini wanajenga barabara za zege, utagundua ni smooth na imara
2. Nadhani kuna lane mbili mkuu, ila unaweza kutafuta ushauri zaidi kwa wahusika na wataalamu
3. ukirudi nyuma chapter kadhaa, utakua video jinsi BRT ina run, angalia watu wanafikaje kwenye vituo na wanatokaje. pia nenda yutube katafute video za BOGOTA TRANSMILLENIO BRT, mfumo ambao DART inaufuata kama ulivyo, hivyo basi, kazi bado inaendelea, vitu vingine ni vizuri vikiwa judged baada ya final product kupatikana
 
pata picha mkuu, hapa inaweza kusaidia kidogo
 
Hii yote inasababishwa na kuwa na maofisa wa mipango miji ambao hawaoni mbali. Mpaka sasa utashangaa kwenye miji ambaoyo bado michanga, hawafikirii kabisa kwamba ipo siku miji hiyo itakuwa majiji, sasa kaangalie mipango ya miji inachekesha sanaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1 Siku zijazo wataanza kubomoa majumba ya watu tena eti wanapanua barabara ajabu sanaA!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Pedestrian crossings; bila shaka hii itajibu baadhi ya maswali waliokuwa wanauliza wadau kwenye uzi huu.


Daraja la wavuka kwa miguu lililopo Kimara likiwa kati hatua za mwisho za ujenzi.



Daraja la wavuka kwa miguu linaloendelea kujengwa Kinondoni Morocco, likiendelea na ujenzi.

Picha kwa hisani ya SUFIANI MAFOTO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…