Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
Mradi wa SGR ya Tanzania wenye Kilomita zaidi ya elfu 2,000, ni Kati ya miradi mikubwa ya reli kuwaikufanyika Afrika.
Katika utafiti wangu, miradi mengine mikubwa inayoendelea barani Afrika ni ule wa Nigeria, ambao una lengo la kuunganisha miji mikubwa na bandari ya Lagos. Pamoja na wa Misri ambao ni wa kilometa 1,800.
Lakini ukilinganisha miradi hii na ule wa SGR Tanzania tofauti kuu ni mmoja, mradi wa Tanzania unaunganisha nchi 5 wakati ile ya Nigeria na Misri lengo ni kuunganisha miji ya ndani. Hivyo in terms of umuhimu na hadhi bado mradi wa Tanzania upo juu zaidi ya hii miwili, na unatazamiwa na wengi kama mradi wa reli wa mfano barani Afrika, kama ilivyokuwa mradi wa TAZARA katika miaka ya 70.
Jambo lakushanganza ni namna watanzania hatuna habari nao, vipi ni kukosa uzalendo ama wengi hawana taarifa??.
Na uhakika huu mradi ungekuwa hapo Kenya Dunia nzima lazma ingeutambua.
Katika tafiti yangu pia nimegundua hata video zinazo zungumzia mradi huu na miradi mengine ya Tanzania hazina watazamaji wengi ukilinganisha na miradi ya nchi nyengine za Afrika.
Hii inaonyesha watanzania bado hawana interest na taarifa za maendeleo ya nchi yao. Nini tatizo?
Katika utafiti wangu, miradi mengine mikubwa inayoendelea barani Afrika ni ule wa Nigeria, ambao una lengo la kuunganisha miji mikubwa na bandari ya Lagos. Pamoja na wa Misri ambao ni wa kilometa 1,800.
Lakini ukilinganisha miradi hii na ule wa SGR Tanzania tofauti kuu ni mmoja, mradi wa Tanzania unaunganisha nchi 5 wakati ile ya Nigeria na Misri lengo ni kuunganisha miji ya ndani. Hivyo in terms of umuhimu na hadhi bado mradi wa Tanzania upo juu zaidi ya hii miwili, na unatazamiwa na wengi kama mradi wa reli wa mfano barani Afrika, kama ilivyokuwa mradi wa TAZARA katika miaka ya 70.
Jambo lakushanganza ni namna watanzania hatuna habari nao, vipi ni kukosa uzalendo ama wengi hawana taarifa??.
Na uhakika huu mradi ungekuwa hapo Kenya Dunia nzima lazma ingeutambua.
Katika tafiti yangu pia nimegundua hata video zinazo zungumzia mradi huu na miradi mengine ya Tanzania hazina watazamaji wengi ukilinganisha na miradi ya nchi nyengine za Afrika.
Hii inaonyesha watanzania bado hawana interest na taarifa za maendeleo ya nchi yao. Nini tatizo?