Valuhwanoswela
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 1,229
- 1,125
Mtera imejengwa na Italia, Ujerumani, Merkel alipiga simu labda kuomba hiyo tenda lakini walipewa Waarabu wa jangwani kujenga Bwawa.
Wakongwe wa hii kazi Ni wajerumani na mchina anachipukia sijui aliye mpa muarabu hii kazi aliwaza nini, nilitaka nisahau Mrusi angefanya better pia mkorea sio muarabu