Sosinsa Unswe
Member
- Oct 30, 2016
- 91
- 76
Yeah pia kuna centers za kilimo na ufugaji kama Ukiliguru Mwanza,Mwabuki,Tengeru Arusha na maeneo kibao.ila pia ufugaji wa ng'ombe wa maziwa unategemea na hali ya hewa ya wewe ulipo,kama ni eneo lina joto basi ni lazima upate breed inayofanya vyema ktk halijoto,mfano wa Mwanza wanakufaa,ila kama uko ktk hali ya baridi baridi wa Tengeru wanakufaa.ukimchukua wa Tengeru ukaja kumfugia Dar hato perform vizuri likewise wa Mwanza kumpeleka Arusha.ni hayo tu mkuu