Mradi wa Ujenzi wa Mji wa Kigamboni ulioanzishwa na NSSF (Dege Eco Village) unapigwa mnada

Mradi wa Ujenzi wa Mji wa Kigamboni ulioanzishwa na NSSF (Dege Eco Village) unapigwa mnada

Yono watafute mtu wa mzuri wa PR,huyo shangazi afanye kazi nyengine
 
Duh bonge la hasara aiseee pesa za pension za watu hizo na wanaishi kwa tabu hao wastaafu
 
Mie niliwahi kuwa na Vijana wawili kwny Duka langu la dawa 'Pharmacy '

1) Mmoja alikuwa anauza Mpaka dawa za laki 3 kwa Siku lakin nikapewa taarifa za Siri na mtu Mmoja kuwa huwa ananiibia kwa kupandiaha bei sana na cha juu anachukua

Akaniletea Kijana Mmoja Mlokole Fulani hivi haibi ni Mtu wa Maadili sana lakin mauzo yalishuka mpaka karibu na elf 60 kwa Siku akiuza sana,

Baada ya kutafakari mustakbali wa Biashara yangu nilimrudisha Yule 'Mwizi' aendelee kuniibia lakin Bishara yangu nami iende vizuri.
Kwa mfano wako huo, una mshauri nini raisi wetu mtukufu?
 
Nakubaliana inabidi tujisahihishe kama taifa ,kutoendeleza Ni Sawa nakufunga kiwanda , kilikuwa kichocheo muhimu kwakukuza mji wa Kigamboni, lazima mashirika yawe Huru kusimamia maamuzi yake.
 
Mie niliwahi kuwa na Vijana wawili kwny Duka langu la dawa 'Pharmacy '

1) Mmoja alikuwa anauza Mpaka dawa za laki 3 kwa Siku lakin nikapewa taarifa za Siri na mtu Mmoja kuwa huwa ananiibia kwa kupandiaha bei sana na cha juu anachukua

Akaniletea Kijana Mmoja Mlokole Fulani hivi haibi ni Mtu wa Maadili sana lakin mauzo yalishuka mpaka karibu na elf 60 kwa Siku akiuza sana,

Baada ya kutafakari mustakbali wa Biashara yangu nilimrudisha Yule 'Mwizi' aendelee kuniibia lakin Bishara yangu nami iende vizuri.

Basi mulokole ndiyo ilikuwa serikali ya Kikwete. Mtu anahongwa pick up anaachia mali za mabilioni, ufisadi wa kijinga na wakukosa elimu
 
Huu mradi ili uwe na tija kwa taifa badae nadhani serikali ingefanya utaratibu wa kuhamisha umiliki kutoka NSSF kwenda NHC.

Wangeangalia stahiki za NSSF na kuwalipa kabla ya kukabidhiwa NHC kuliko huu udalali unaotaka kufanyika chini ya usimamizi wa kampuni ya udalali YONO.

Nina imani sana na utendaji wa ndugu Nehemiah Mchechu ambaye ni mkurugenzi mkuu wa NHC.

NHC wanauzoefu wa miradi mikubwa kama hii kwa hiyo chini ya ndugu Nehemiah Mchechu sina shaka mpango wa ule mji wa kisasa ECCO DEGE VILLAGE mambo yatakaa sawa
Mkuu hapo umenena aiseee,
the project should be transfered to NHC to recouple the inflated Investment money (if sold today).......
Properties like this their values always appriciate with time
Wasifiwanye kama walivyo uza nyumba za serikali zizokuwa prime area mkoa yote tz kwa bei karibu na buree,then leo serikari inapangishia mawaziri na maofisa wengine kwenye nyumba hizo hizo kwa malipo ya dolo
 
Huyo Mama wa Yono wa pili kama akili zake sio nzuri kidogo anataka diaspora wa Kitanzania wanunue Nyumba ni kama mtu asiyesikiliza habari za nchi hii... Akamuulize kwanza Lukuvi alisema nini kuhusu hao Diaspora... Walivyokuwa navyo mwanzo wamenyang'anywa sasa anawaambia wanunue ili wanyang'anywe tena? ni uchizi kabisa huu...
Umeongea point,ndio akili ya serikali yetu zero kabisa
 
Sioni mantiki ya kusitisha mradi kisa ufisadi,wameshindwa kukamata waliofisadi mradi uendelee? Miradi mingi iliyoanza awamu iliyopita imevurugwa kisingizio ufisadi,ko kusitisha mradi wa bagamoyo port na kujenga international airport huko cattle ndio maendeleo mnayotuletea? Pambio nyingi za viwanda,generalization policy wapi na wapi
 
Hivi kweli project kubwa kiasi hicho ndiyo udalali wake wanapewa kampuni ya kisanii kama Yono? Kuthibitisha usanii anza kwa kutathimini kilicho kwenye hiyo video clip iliyowekwa. Kwa anaewafahamu Yono hatapinga nilichokiandika.
 
Leo jamaa pale magomeni nusura aropoke akipokuwa anatoa tathmini ya kilichokwamisha ujenzi.............Mara paaaaaaaapp akataja bilioni kumi hazijatosha mara ujenzi huu ulikuwa sambamba na kule ambako watu walihoji .........,mara ghafla nondo zimeshoot toka milioni moja mpaka milioni mbili ndani ya miezi michache kwa tani moja ileile.

Dunia simama kidogo nichimbe dawa.
 
Back
Top Bottom