We mfia dini Jina baya uliloona ni maushungi tu ila la jiwe halina shida kwa vile ni mgalatia eeh?Kuwa na heshima mtoto wa kiume kusema maushungi. Ukitaja jina lake kuna shida kwani! Angelikua wa imani yako ungesema bichwa wazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mfia dini Jina baya uliloona ni maushungi tu ila la jiwe halina shida kwa vile ni mgalatia eeh?Kuwa na heshima mtoto wa kiume kusema maushungi. Ukitaja jina lake kuna shida kwani! Angelikua wa imani yako ungesema bichwa wazi?
Kuna amani kwenye kichuguu mkuuApumzike kwa amani JPM
We mfia dini Jina baya uliloona ni maushungi tu ila la jiwe halina shida kwa vile ni mgalatia eeh?
Ni Magufuli aiseee hata mkopo alitafuta yeye rejea ziara ya waziri wa mambo ya nje wa china kule chatoHongera Mama Samia, umeonyesha wewe ni kiongozi hutetereki. Kipande hiki Ni credit kwako
Hongera JPM kwa kuanza na kipande Cha Dar - Moro+ Makutopola, mama anamalizia hivi Bila kutetereka.
Hongera Jakaya kwa maono,upembuzi yakinifu na kuandaa mpango mkakati.
Mkakati wa kutaka kutuingiza mkenge kwa Mchina yatupate ya Wakenya na Wazambia?Hongera Jakaya kwa maono,upembuzi yakinifu na kuandaa mpango mkakati.
Umelichukulia positively jina jiwe ndio maana huoni tatizo. Ungechukulia positively maushungi usingeona tatizo.Navyojua mimi, Wengi hulitamka neno "jiwe" kwa maana ni jiwe haswaa hakuwa anapelekeshwa wala kuendeshwa kama gari bovu, kama siko sahihi waje wadau wanisahihishe.
Sasa wewe unavyosema maushungi huoni kuwa unamkosea heshima na kumdhalilisha mama huyu!!!! Kubali umekosea kijana, hata kama ni muisilamu but jaribu kuheshimu imani yake. Utakuwa umenielewa.
[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Admin haulali au unapiga extra duty?
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28]dahCredit tumpe jiwe au maushungi?
Umelichukulia positively jina jiwe ndio maana huoni tatizo. Ungechukulia positively maushungi usingeona tatizo.
Kuwa baya au zuri ni wewe umelichukuliaje.Nieleweshe jina la jiwe mkuu lina maana mbaya or zuri? Hapa tuko kuelimishana inapotokea mtu amikosea.
Kuwa baya au zuri ni wewe umelichukuliaje.
Shule au vituo vya afyahivi kazi zikiisha hzi kambi zinafanyiwa/matumizi gan tena
Kwa hiyo neno maushungi ni tusi mzee?Navyojua mimi, Wengi hulitamka neno "jiwe" kwa maana ni jiwe haswaa hakuwa anapelekeshwa wala kuendeshwa kama gari bovu, kama siko sahihi waje wadau wanisahihishe.
Sasa wewe unavyosema maushungi huoni kuwa unamkosea heshima na kumdhalilisha mama huyu!!!! Kubali umekosea kijana, hata kama ni muisilamu but jaribu kuheshimu imani yake. Utakuwa umenielewa.
Hata wewe utueleweshe neno maushungi lina ubaya gani? Mie maushungi nalichukulia positive kama ni mwanamke mwenye maadili asiyekaukiwa na ushungi kichwani mwake everyday!Nieleweshe jina la jiwe mkuu lina maana mbaya or zuri? Hapa tuko kuelimishana inapotokea mtu amikosea.
Kwa hiyo neno maushungi ni tusi mzee?
Hata wewe utueleweshe neno maushungi lina ubaya gani? Mie maushungi nalichukulia positive kama ni mwanamke mwenye maadili asiyekaukiwa na ushungi kichwani mwake everyday!