Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa Mwanza - Isaka waanza kwa kasi

Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa Mwanza - Isaka waanza kwa kasi

Kwangu mimi nalichukulia kama m2 shupavu asieyumbishwa.


Sasa kwa mama samia umuite "MAUSHUNGI" huoni kuwa ni kosa kumuita hivyo!!! Angemuita Jina lake kuna shida gani!!!! Au unamkingia kifua kwa kuwa wote wa imani moja!!! Kuweni serious bwana, Wako pia wakristo wanaojitambua.
Kumbe una tatizo na Imani za watu? Ni maoni yangu simkingii mtu kifua tena sehemu ambayo ni kama vivuli vinajadiliana.
 
Kumbe una tatizo na Imani za watu? Ni maoni yangu simkingii mtu kifua tena sehemu ambayo ni kama vivuli vinajadiliana.

لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ
Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.


Naheshimu imani ya mtu, hapo ilikuwa ni kuwekana sawa mzee.
 
Hata kama co tusi mkuu, but kwanini umuite ivyo wakat ana jina lake!!! Labda kwako unaona ni sawa pengine hujakubaliananae katika uongozi wake ama nini!
Ni kwel ktk uongozi wake sikubaliani na mengi lkn mbona husisitizi jiwe nimuite Jina lake ila huyo tu maushungi?
 
Kwa mtazamo wangu sioni umuhimu wowote wa Ujenzi wa kipande hicho cha reli cha kutoka Mwanza kwenda isaka.
Serikali ingemaliza kwanza kipande cha kutoka dar hadi rusumo ambacho kwa mtazamo wangu ikimalizika hiyo Njia itakuwa na mizigo mingi ya kusafirisha kulipo hiyo mwanza kwenda isaka.
Kwa mtazamo wangu ni Mara elfu kungetengenezwa reli ya sgr kuanzia mtwara kupitia rukwa hadi DRC Congo.
Kujenga reli kutoka mwanza hadi isaka ni mradi wa hovyo Kama ule Ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa chato.
It is going to be a white elephant project .
 
Kwa mtazamo wangu sioni umuhimu wowote wa Ujenzi wa kipande hicho cha reli cha kutoka Mwanza kwenda isaka.
Serikali ingemaliza kwanza kipande cha kutoka dar hadi rusumo ambacho kwa mtazamo wangu ikimalizika hiyo Njia itakuwa na mizigo mingi ya kusafirisha kulipo hiyo mwanza kwenda isaka.
Kwa mtazamo wangu ni Mara elfu kungetengenezwa reli ya sgr kuanzia mtwara kupitia rukwa hadi DRC Congo.
Kujenga reli kutoka mwanza hadi isaka ni mradi wa hovyo Kama ule Ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa chato.
It is going to be a white elephant project .
Ni sahihi kama ni mtazamo wako,
 
Tulia dawa ikuingie, kandarasi yupo site

Wewe utakuwa punguwani tambua pia kuna mkandarasi yupo site anajenga hoteli ya nyota 5 huko bugiri chato.
Tambua kwamba hayo ni matumizi mabaya ya fedha ya umma .
Pumbavu mkubwa wewe
 
Kwa mtazamo wangu sioni umuhimu wowote wa Ujenzi wa kipande hicho cha reli cha kutoka Mwanza kwenda isaka.
Serikali ingemaliza kwanza kipande cha kutoka dar hadi rusumo ambacho kwa mtazamo wangu ikimalizika hiyo Njia itakuwa na mizigo mingi ya kusafirisha kulipo hiyo mwanza kwenda isaka.
Kwa mtazamo wangu ni Mara elfu kungetengenezwa reli ya sgr kuanzia mtwara kupitia rukwa hadi DRC Congo.
Kujenga reli kutoka mwanza hadi isaka ni mradi wa hovyo Kama ule Ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa chato.
It is going to be a white elephant project .
Ni mtizamo wako kwa kweli, hatujabisha Boss
 
Kwa mtazamo wangu sioni umuhimu wowote wa Ujenzi wa kipande hicho cha reli cha kutoka Mwanza kwenda isaka.
Serikali ingemaliza kwanza kipande cha kutoka dar hadi rusumo ambacho kwa mtazamo wangu ikimalizika hiyo Njia itakuwa na mizigo mingi ya kusafirisha kulipo hiyo mwanza kwenda isaka.
Kwa mtazamo wangu ni Mara elfu kungetengenezwa reli ya sgr kuanzia mtwara kupitia rukwa hadi DRC Congo.
Kujenga reli kutoka mwanza hadi isaka ni mradi wa hovyo Kama ule Ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa chato.
It is going to be a white elephant project .
WEWE NDO UNAMAWAZO YA KISENGE..YAANI UNAZANI UTAKAMATA MIZIGO YA UGANDA BILA KUKENGA MWANZA..
 
Back
Top Bottom