Kumbe una tatizo na Imani za watu? Ni maoni yangu simkingii mtu kifua tena sehemu ambayo ni kama vivuli vinajadiliana.Kwangu mimi nalichukulia kama m2 shupavu asieyumbishwa.
Sasa kwa mama samia umuite "MAUSHUNGI" huoni kuwa ni kosa kumuita hivyo!!! Angemuita Jina lake kuna shida gani!!!! Au unamkingia kifua kwa kuwa wote wa imani moja!!! Kuweni serious bwana, Wako pia wakristo wanaojitambua.
Kumbe una tatizo na Imani za watu? Ni maoni yangu simkingii mtu kifua tena sehemu ambayo ni kama vivuli vinajadiliana.
Mtoa pesa ndiye alizinduaCredit tumpe jiwe au maushungi?
Machadema yatakwambia hayo ni maendeleo ya vitu
Ni kwel ktk uongozi wake sikubaliani na mengi lkn mbona husisitizi jiwe nimuite Jina lake ila huyo tu maushungi?Hata kama co tusi mkuu, but kwanini umuite ivyo wakat ana jina lake!!! Labda kwako unaona ni sawa pengine hujakubaliananae katika uongozi wake ama nini!
Ni kwel ktk uongozi wake sikubaliani na mengi lkn mbona husisitizi jiwe nimuite Jina lake ila huyo tu maushungi?
Kwa sababu 24 hours yupo na ushungi ndomana tunamuita maushungi.Nini sababu imepelekea wamuite JIWE?
Kwa sababu 24 hours yupo na ushungi ndomana tunamuita maushungi.
Unajua ni kwa sababu gani samia tunamuita maushungi? Magufuli kuitwa jiwe ni kwa sababu hakuwa muumini wa utawala wa sheria.Unajuwa unachojibu? Nimekuuliza Nini sababu imepelekea MAGUFULI wamuite JIWE?
wote.Credit tumpe jiwe au maushungi?
Unajua ni kwa sababu gani samia tunamuita maushungi? Magufuli kuitwa jiwe ni kwa sababu hakuwa muumini wa utawala wa sheria.
Sawa maushungiUmekoswa jibu,, ivyo heshimu imani za wengine. Huu ndiyo ushauri wangu.
Ucku mwema.
Ni sahihi kama ni mtazamo wako,Kwa mtazamo wangu sioni umuhimu wowote wa Ujenzi wa kipande hicho cha reli cha kutoka Mwanza kwenda isaka.
Serikali ingemaliza kwanza kipande cha kutoka dar hadi rusumo ambacho kwa mtazamo wangu ikimalizika hiyo Njia itakuwa na mizigo mingi ya kusafirisha kulipo hiyo mwanza kwenda isaka.
Kwa mtazamo wangu ni Mara elfu kungetengenezwa reli ya sgr kuanzia mtwara kupitia rukwa hadi DRC Congo.
Kujenga reli kutoka mwanza hadi isaka ni mradi wa hovyo Kama ule Ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa chato.
It is going to be a white elephant project .
Tulia dawa ikuingie, kandarasi yupo site
Ni mtizamo wako kwa kweli, hatujabisha BossKwa mtazamo wangu sioni umuhimu wowote wa Ujenzi wa kipande hicho cha reli cha kutoka Mwanza kwenda isaka.
Serikali ingemaliza kwanza kipande cha kutoka dar hadi rusumo ambacho kwa mtazamo wangu ikimalizika hiyo Njia itakuwa na mizigo mingi ya kusafirisha kulipo hiyo mwanza kwenda isaka.
Kwa mtazamo wangu ni Mara elfu kungetengenezwa reli ya sgr kuanzia mtwara kupitia rukwa hadi DRC Congo.
Kujenga reli kutoka mwanza hadi isaka ni mradi wa hovyo Kama ule Ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa chato.
It is going to be a white elephant project .
WEWE NDO UNAMAWAZO YA KISENGE..YAANI UNAZANI UTAKAMATA MIZIGO YA UGANDA BILA KUKENGA MWANZA..Kwa mtazamo wangu sioni umuhimu wowote wa Ujenzi wa kipande hicho cha reli cha kutoka Mwanza kwenda isaka.
Serikali ingemaliza kwanza kipande cha kutoka dar hadi rusumo ambacho kwa mtazamo wangu ikimalizika hiyo Njia itakuwa na mizigo mingi ya kusafirisha kulipo hiyo mwanza kwenda isaka.
Kwa mtazamo wangu ni Mara elfu kungetengenezwa reli ya sgr kuanzia mtwara kupitia rukwa hadi DRC Congo.
Kujenga reli kutoka mwanza hadi isaka ni mradi wa hovyo Kama ule Ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa chato.
It is going to be a white elephant project .
Sio Uganda tu mpaka Southern SudanWEWE NDO UNAMAWAZO YA KISENGE..YAANI UNAZANI UTAKAMATA MIZIGO YA UGANDA BILA KUKENGA MWANZA..