Mrakibu Msaidizi wa Polisi Fatuma Kigondo afunguliwa shtaka la kutuma vijana kufanya ukatili kwa binti wa Yombo

Unajua namna Kombe alivyouawa?

Alikuwa amenyoosha Mikono Juu kujisalimisha

Bongo hakunaga kisichowezekana 🐼
Risasi zote ziliingilia kifuani kutokea mgongoni at a very close range hii ndiyo kimarekani tunaita kumkoma nyani .
 
Ni nadra sana kutekeleza uhalifu wa kutumwa pasipo kushirikisha mawasiliano ya simu kwa kuwa hawakufikiria itasanuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…