Mrakibu Msaidizi wa Polisi Fatuma Kigondo afunguliwa shtaka la kutuma vijana kufanya ukatili kwa binti wa Yombo

Mrakibu Msaidizi wa Polisi Fatuma Kigondo afunguliwa shtaka la kutuma vijana kufanya ukatili kwa binti wa Yombo

Usha
ACP hana kinga ya kushtakiwa hivyo anashtakika vzuri sana.

Ubaya ni kwamba wanaotakiwa kumshtaki wapo chini yake ndo maana wao wanapata tabu kumshtaki mkubwa wao.

Ila katika sheria ana kesi ya kujibu kama kweli ni yeye amewatuma, kingine jamii inatakiwa kujua kuwa kuplan kutenda kosa au kusaidia kosa kutendeka nako ni kosa.

ALL IN ALL katika Jicho la Sheria, NYUNDO NA WENZAKE WATAACHIWA HURU KWANI USHAHIDI UNA CHANGAMOTO NA HII KESI KAMWE JAMHURI HAIWEZI SHINDA.

Niko Paleeee...
Ushahidi una changamoto gani?

Au watamuogopa tu Nyundo kwa vile ni mwanajeshi.
 
Bwashee kuna Vyeo vingine vimejificha 😂😂
Nishakuelewa.
Kuna ile mikwara ya chinichini ya kimyakimya.
"Oya mwanangu kausha huyo mtu kaa naye mbali mkaushie sasa wewe jifanye kimbelembele nikutoe kwenye hicho kitengo chako,baadae unakuwa mpole"😀😀😀
 
Leo, 20.08.2024 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imesajili (Admission No. 000058901) malalamiko (complaint) ya Wakili Kisabo dhidi ya Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP) FATUMA KIGONDO ambaye ndiye “afande” aliyetuma genge lake la uhalifu kumbaka na kumlawiti JM.

Pia soma: 'Afande' aliyeagiza binti wa Yombo abakwe pamoja na mtuhumiwa wa 5 wako wapi? Kwanini wanamlinda kiasi hiki?


Pia soma
mtuhumiwa wa 5 kati ya 4 waliofikishwa mahakami kayeyukia wapi?
 
Back
Top Bottom