Mratibu Simba SC Abbas na Msemaji nimeambiwa mnanisoma mno hapa haya nifikishieni Usiku huu Ujumbe wangu kwa Kocha Robertino

Mratibu Simba SC Abbas na Msemaji nimeambiwa mnanisoma mno hapa haya nifikishieni Usiku huu Ujumbe wangu kwa Kocha Robertino

Andunje mpenda attention. Wewe uliharibiwa utotoni ndo maana sasa unatafuta sana attention kwa watu uonekane mtu. Kamtu kafupi kana shida sana.
Bao lililokuleta duniani lingechepushwa kwa Nje leo hii Tanzania isingekuwepo na Uncircumcised Baboon Wewe.
 
Mwambieni GENTAMYCINE namkubali sana na mno ila kwa Umuhimu wa Tukio Takatifu la Kesho huko Morocco naomba aanze na Moses Phiri badala ya Saido Ntibanzonkiza.

Halafu ikimpendeza Kipindi cha Pili afungue Busta zote kwa Kuwaingiza Sakho Kulia na Okra kama yuko Fiti upande wa Kushoto ili Wawakimbize Waarabu na Waogope kupanda na tuweze Kufanikiwa kwa hili Goli letu Moja la Nguruwe la kwa Mkapa Stadium.

Kisha tuvunje Rekodi na Kuingia kwa mara ya Kwanza Nusu Fainali ya Kombe la Klabu Bingwa Afrika ( CAFCL )
Kama ulikuwepo, pale mbele kama hataanza na Phiri na Baleke basi aanze Phiri ili baadae afungue bosta ya Kibu D\Ntiba na Sakho at once. Tunapita
 
Bao lililokuleta duniani lingechepushwa kwa Nje leo hii Tanzania isingekuwepo na Uncircumcised Baboon Wewe.
Andunje mpenda wadudu. Mbilikimo una shida.... Mi nitakugonga tu kila ukileta upuuzi. Viandunje vina makelele sana na kupenda attention. Kiandunje boya
 
Bao lililokuleta duniani lingechepushwa kwa Nje leo hii Tanzania isingekuwepo na Uncircumcised Baboon Wewe.
Andunje mpenda wadudu. Mbilikimo una shida.... Mi nitakugonga tu kila ukileta upuuzi. Viandunje vina makelele sana na kupenda attention. Kiandunje boya...
 
Back
Top Bottom