Mrejesho: Baada ya kelele nyingi kuhusu Kilimanjaro, niliamua kufanya utalii wa ndani dakika za mwisho

Sasa Mchaga kamzidi Mhaya misifa kila Mtu anajua wachaga ni watafutaji pia watu wa maendeleo punguzeni basi Misifa mkujimwambafa kumezidi tunajua uko mbali .
 
Bakuli iyo inaitwa KIDEWA
 
Ooh jamani... nimepajua sana kwasababu ya marehemu Sr. Maria Antoni jamani. Napenda zile source zenu za majii. Rombo hatuna mpk kule juu msituni
Sr. Maria? Kama namjua vile..kafariki mwaka jana?
Rombo nimefika miaka mingi sana nikiwa mdogo hata sipakumbuki. Rombo Mkuu, Mamsera nilishafika
 
Kila sehemu na mazuri yake na mabaya pia. 2019 angalichungulia darini huko kibosho akaona hayo mafuvu si angalikuwa na story ingine? Sie wagogo tunaweza kuwa na yetu mazuri pamoja na madhambi ya tembele!!!
Kajengeni nyumba nzuri kwanza huko dodoma kwenu achen kuishi vijumba vya tembe vya karne ya 12
 
Sema kuna kitu nilishangaa luambo makiadi na Dilek mbona hakuna viwanja vya kununua? Niliuza kila sehemu lakini sikupata eneo linalouzwa afu nikaambiwa huko migombani bei ni kubwa sana kuliko hata maeneo mengine ya Dar ni kweli?
Ni kweli kabisa ardhi ya UCHAGANI huwez kuinunua Ina bei kubwa,kiuchumi ukiona sehemu ardhi Ina bei kubwa ujue kuwa sehemu hiyo ilishaendelea tangu zamani
Alafu mipango miji UCHAGANI ipo vijijin ,yaani nyumba vijijin zimepanguliwa utadhani ulaya
 
Hayo mambo yapo kwa makabila mengi. Ila uzuri wa mandhari vijiji vya Moshi huwezi linganisha na mikoa mingine. Ni ukweli usiopingika
Ni kweli ndio maana ripoti ya serikali inatuonyesha Kilimanjaro Ni mkoa wa pili watu wake kuishi maisha bora,makaz, miundombinu kwa 90%
 
Tatizo kubwa tunapenda kugeneralise, si wote humu nyumbani ni bora vijijini au hata mijini. Asilimia kubwa hapa wanaotamba wanatambia za majirani pengine hata wewe mrembo
Ripoti ya serikali inatuonyesha 90% ya watu wa killinanjaro wanaishi maisha bora
Hii ni ripoti ya kitaalamu ya nbs
Tembea Tanzania nzima,Hakuna vijiji unaweza fananisha na UCHAGANI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…