Mrejesho: Baada ya kusex na muathrika wa HIV, haya ndiyo majibu baada ya mwezi mmoja

[emoji23][emoji23][emoji23]hata mm baada ya kusoma comment ya mdau nimeona niangalie profile picture Yako aise n kwel madam una mzigo alafu inaoneka black beauty flan hv wakung'aa[emoji39]
Mkuu akikupa vipi utavaa au utapiga kavu.
Mikalio hio ndio inayoua watu.
 
Mkuu akikupa vipi utavaa au utapiga kavu.
Mikalio hio ndio inayoua watu.
Mkuu ntaendaa na ndomu siuzi mechii km mdau alivyofanyaa mpk akapataa magonjwa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mdada nisex nae jana,hapa hata kibaruani sijaenda nimenunua vipimo kumsubiri aje tupime naona ananipiga chenga mapaka nahisi anao. Kwasabu mara hajarudi kazini mara sijui nini,yaani kiufupi haeleweki.

Hivi inafaa muda gani wa kuripoti tukio kama hili hospital ase?
 

Attachments

  • 17019549743637969837981592088554.jpg
    689.7 KB · Views: 15
UMEPEWA SH NGAPI KUJA KITISHA WATU? ETI UKIMWI NI UGONJWA!! FIKIRISHA AKILI NDG KABLA HUJALETA MABANDIKO HAPA. TOFAUTISHA
1 KIRUSI
2 UKIMWI na
3 UGONJWA

Usiamini kila asemalo mzungu
 
yaani ukamuona na dalili ambazo siyo kwenye ngozi yake na bado ukapiga tena..!!?

Wewe ni jasiri mno bruh..!🙌
 

Mbona hujasema ni vipi ulinenepa!
 

Usimwambie unahitaj kumpima we muite kawaida tuu akifika ndo mpange kiupole mpime
 
yaani ukamuona na dalili ambazo siyo kwenye ngozi yake na bado ukapiga tena..!!?

Wewe ni jasiri mno bruh..!🙌
Kwa heka heka za ule usiku najua tayar niliukwaa kwaiyo nikaamua kula nikiwa timamu then nikadaka pep chap Kwa haraka
 
Unaweza kuwa ulikwepa UKIMWI ukavivaa virusi vinavyo sababisha saratani ya shingo ya uzazi (cervix Cancer) ukamwambukiza mkeo.
Hii hujionesha kwa mkeo baada ya muda mrefu sana.
 
Hebu kunywa kofta kwanza..... Naomba tusitishane
Pole mkuu.
Sikuwa na nia ya kukutisha.
Wengi huogopa na kujilinda na HIV wanapokunywa PEP wanashindwa kujua kuna HPV.
Hivyo viwanja ulivyo vitaja vya Buza jamaa yetu mmoja kapatia HIV na HPV hapo akaota vinyama kwenye dushelele.
 
We Jamaa habari za uzinzi wako usituletee hapa.
Tamaa mbele mauti nyuma,
We kwanza unaendaje kugonga hovyo wake za watu?
Na unaingia kavu,
Hayo mambo watu tuliacha zamani.
Ukikosa ngoma U.T.I. Inafuata
Mshukuru hajakuambukiza hayo na gono au kaswende.
Acha zinaa.
Kuwa na mpenzi unayemuamini basi ukishindwa vaa gozi upige Goli.
Nyie mnakaa mnakamia wake za watu kumbe washaunguzwa.
Mtakufa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…