Aisee pep sio poa halaf ukitumia lazima ufumuke balaa(mwili unanenepa)
Nakumbuka ni mwaka huu mwanzoni pale buza maeneo ya savoy niliokota Pepo mmoja... Nikamchukua had mahala Fulani nikapaki gari nkavuta kiti Kwa nyuma dada wa wate kaniwekea kuchuma mboga NAMI nikamfumua, kama unavyojua pombe na condom havipatani hata siku Moja, nilienda mwendo mrefu bila kumaliza ikanibid nivue niende kavu napo Bado mwendo ukawa ni ulele, basi ikanilazimu niongeze speed Ili kuongeza msuguano utakao nifanya niwah kumaliza(nilimaliza ila Kwa mbinde sana). Bas tulivyomaliza nikamrudisha pale bar na mm nikahamia bar nyingne,,, mungu sio athumani nikamuona Tena kwenye Ile bar nyingne(sweet cona) yupo anadanga na wanapangana dau na mshikaj mwingine (hapo kimoyomoyo nikajisemea nimekwisha)
Nilimsubiri had arud nikachukua namba yake halaf asubuhi nikamtafuta Tena Ili Nile vizur bila kujilaumu( hapo ndo nilizid kuchanganyikiwa) . Ngozi yake ilikua inaonesha huyu mtu tayari amewaka(Kwa wadau ni rahs kuzitambua hizi ngozi za waathirika,, note nimesema wadau sio nyinyi msokuwa na experience ya kutosha
Nilipiga Tena then Kuna mwanangu nikampanga akaniletea pep, na nikaanza kuzitumia on the spot (Mimi nilianza ndani ya masaa nane baada ya mtifuano)
Kimbembe kilikuwa Kwa wife, akawa anashangaa sitaki kumuingilia na wakati sio kawaida yangu, Mimi ni wale watu tukiona tu mwanamke amejibinua kidogo lazma tule mzigo, nilijitahid kumkwepa mpaka nikamaliza dozi na nilivopima nikajikuta msafi