Mrejesho: Baada ya kusex na muathrika wa HIV, haya ndiyo majibu baada ya mwezi mmoja

Yes ni kweli kabisa kwa wadau ukitazama ngozi ya muathirika tu unajua, huwa wana spots special.

Huyu wangu naye anavyo, ila sijui ni nini kilinizubaisha mpaka nikamla bila kupima...

PEP zinatesa sana mwanzoni, ila inafika muda unazizoea. Na zinafanya mwili unaongezeka na unakuwa mchovuchovu kiaina..
 
Ndani ya masaa 72 mkuu, kama humuelewi na anapiga chenga kuja kupima bora ukachukue PEP tu...

Ila kama mlisex kawaida siyo rahisi kuupata. Mimi nilikuwa kwenye tension kubwa kwa sababu nilizama mzima mzima, piga sana deki, kimsingi hakuna uchafu hatukufanya kasoro anal sex tu...

Ila kama mlifanya tuu kawaida, hamjachubuana basi ondoa wasiwasi..
 
Naomba kujua Bei ya PEP tafadhali,hii ni muhimu kuwa nayo kwenye Bag kwa sie wasafiri wa kila siku
PEP haziuzwi, na wala hazitolewi kama njugu, inabidi uwe na strong reason ya kuzipewa.... Huwezi ukapewa ukawa unatembea nazo..
 
Hiyo kitu isikie tu kwa watu.
Nyege ni mbaya sana
 
Asee watu wa kubeti wakiona Neno "Pep" wanaumia mno.

Anyway Jina Ukimwi ndio waya unaowaunguza watu wengi.
Kupewa sifa za Ukimwi na kuliskia Jina Hilo Mzinzi anakwisha taratiiiibu.
 
Kuna paka pori moja ivi inajiuza nilienda kuiokota nilikuwa nimelewa nikapga na condom baada ya game tukabadilishana namba
Kesho yake kumekucha nakuja kumuona nikawa nahisi amewaka huyu dem jinsi alivo nikaona sio kesi maana nilitumia mpira

Baada ya wiki kupita akanicheki kuomba tuonane nae nilivofika ananiambia nataka tusex ila tusitumie condom nimemiss kula pipi bila maganda
Akasema kama simuamini yeye anacho kipimo tupime, baada ya kupima demu hana ngoma ila mimi nilikataa kabisa kupiga kavu kila nikitaka kujaribu kuna roho inagoma kabisa nikatoka nduki [emoji3]
 
Amini usiamini, hakuna watu salama kama hao... Mars nyingi huwa tunaambukizwa na watu ambao tunawaamini sana..

Hata huyu ni mtu ambaye huwezi kumdhania, hajiuzi na ana kazi yake nzuri tu yenye take home 1.2M plus kwa mwezi, tena yupo field ya afya ana access zote za kujikinga, ila ndo kama ivo... Assume ningesema "huyu yupo medical field namuamini acha tusifanye checkup" ingekuwaje?

Hivyo hao wanaojiuza wana usalama kushinda wote...
 
Hii Hali ni mbaya sana kautaratibu nilikiweka nikikamata utumbo nikucheki afya kwanza📌🦠
 
Majibu yanasemaje hapa....
 
Vipimo baada ya tendo?!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…