Mjukuu wa taifa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 489
- 458
Kwahiyo mkuu wewe na huyo single mother...ulipata hadi mchubuko??Ndani ya masaa 72 mkuu, kama humuelewi na anapiga chenga kuja kupima bora ukachukue PEP tu...
Ila kama mlisex kawaida siyo rahisi kuupata. Mimi nilikuwa kwenye tension kubwa kwa sababu nilizama mzima mzima, piga sana deki, kimsingi hakuna uchafu hatukufanya kasoro anal sex tu...
Ila kama mlifanya tuu kawaida, hamjachubuana basi ondoa wasiwasi..
...Wewe Uliruhusu Nyege Zikuendeshe ??...Nilileta uzi huu last month nikiwa kwenye lindi kubwa la mawazo baada ya kusex na mwanamke aliyeathirika.
Nimeyatimba: Nimesex na mtu mwenye HIV, ni kipindi kigumu sana maishani mwangu
Ni single mother mmoja ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kwa muda kidogo. Tulishaingiza issues za kusex siku nyingi tuu sema kwenye kukutana ni kama kuna kakitu kanatuzuia. Siku kadhaa zilizopita siku ikatimia tukaonana na kufanya yetu ya kikubwa. Tulikuwa tumejiandaa kabisa kwamba tutacheki...www.jamiiforums.com
Sasa baada ya mwezi mzima wa kutumia PEP, haya ndiyo majibu.
View attachment 2835557
Japo wanashauri upime siku 28 baada ya kumaliza PEP ila uvumilivu umenishinda nimeamua nicheki tuu, baada ya siku 28 zingine nitacheki tena.
Kama nilivyosema lengo la kuleta huu mkasa ni kuwapa fundisho watu kwamba UKIMWI upo na unaua, na mara nyingi watu wanaambukizwa kutoka kwa wale wanaowaamini sana kama ilivyonitokea mimi.
Jambo moja ambalo nimepata funzo baada ya huu mkasa ni hili: Maisha baada ya kuwa muathirika yatakuwaje?.
Hilo jambo ndilo ambalo huwa linatesa sana kuliko hata UKIMWI wenyewe. Imagine kama ulikuwa umeoa au kuolewa, stress ya kwanza kukupata ni je mwenzio itakuwaje? Umuambie ama usimuambie? Je usipomuambia na ukamuambukiza itakuwaje? Ukimuambia then akasema muachane itakuwaje?
Kama una watoto utaanza kuwawaza wanao maisha yao baada ya hapo yatakuwaje? Ukianza kuumwa na angali bado wadogo utawaweka katika situation gani? Au ukifa utawaacha wakiwa wameshasimama kimaisha au laah?
Kama ulikuwa hujaoa au kuolewa itakuwaje? Ina maana ndiyo mpango wa kuzaa umeishia hapo? Na kama ukampata mwenza ambaye wote mmeathirika mkaamua kuzaa huyo mtoto akizaliwa ameambukizwa itakuwaje? Si mnazidi kujiongezea mzigo na nafsi zitakuwa zinawasuta maana ni kama mmemleta huyo mtoto aje kuteseka tuu duniani?
Hivyo kinachotesa siyo UKIMWI wenyewe, ni mawazo ya maisha baada ya kuathirika yatakuwaje maana mambo mengi ya kijamii yanaparanganyika. Kama ulikuwa na watoto tayari inaweza isikupe stress sana, ila kama bado huna watoto amini usiamini itakutesa sana sana..
Hivyo ndugu zangu tuchukue tahadhari kabla ya hatari, usiruhusu nyege zikuendeshe kwani mwisho wa siku majuto ndiyo yatakayofuatia..
View attachment 2835574
Wameungua wadau kibao hapo ni incubator ya HIV.savoy
Ramani inaonesha Kigoma ndio pamepoa, sawa.Nilileta uzi huu last month nikiwa kwenye lindi kubwa la mawazo baada ya kusex na mwanamke aliyeathirika.
Nimeyatimba: Nimesex na mtu mwenye HIV, ni kipindi kigumu sana maishani mwangu
Ni single mother mmoja ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kwa muda kidogo. Tulishaingiza issues za kusex siku nyingi tuu sema kwenye kukutana ni kama kuna kakitu kanatuzuia. Siku kadhaa zilizopita siku ikatimia tukaonana na kufanya yetu ya kikubwa. Tulikuwa tumejiandaa kabisa kwamba tutacheki...www.jamiiforums.com
Sasa baada ya mwezi mzima wa kutumia PEP, haya ndiyo majibu.
View attachment 2835557
Japo wanashauri upime siku 28 baada ya kumaliza PEP ila uvumilivu umenishinda nimeamua nicheki tuu, baada ya siku 28 zingine nitacheki tena.
Kama nilivyosema lengo la kuleta huu mkasa ni kuwapa fundisho watu kwamba UKIMWI upo na unaua, na mara nyingi watu wanaambukizwa kutoka kwa wale wanaowaamini sana kama ilivyonitokea mimi.
Jambo moja ambalo nimepata funzo baada ya huu mkasa ni hili: Maisha baada ya kuwa muathirika yatakuwaje?.
Hilo jambo ndilo ambalo huwa linatesa sana kuliko hata UKIMWI wenyewe. Imagine kama ulikuwa umeoa au kuolewa, stress ya kwanza kukupata ni je mwenzio itakuwaje? Umuambie ama usimuambie? Je usipomuambia na ukamuambukiza itakuwaje? Ukimuambia then akasema muachane itakuwaje?
Kama una watoto utaanza kuwawaza wanao maisha yao baada ya hapo yatakuwaje? Ukianza kuumwa na angali bado wadogo utawaweka katika situation gani? Au ukifa utawaacha wakiwa wameshasimama kimaisha au laah?
Kama ulikuwa hujaoa au kuolewa itakuwaje? Ina maana ndiyo mpango wa kuzaa umeishia hapo? Na kama ukampata mwenza ambaye wote mmeathirika mkaamua kuzaa huyo mtoto akizaliwa ameambukizwa itakuwaje? Si mnazidi kujiongezea mzigo na nafsi zitakuwa zinawasuta maana ni kama mmemleta huyo mtoto aje kuteseka tuu duniani?
Hivyo kinachotesa siyo UKIMWI wenyewe, ni mawazo ya maisha baada ya kuathirika yatakuwaje maana mambo mengi ya kijamii yanaparanganyika. Kama ulikuwa na watoto tayari inaweza isikupe stress sana, ila kama bado huna watoto amini usiamini itakutesa sana sana..
Hivyo ndugu zangu tuchukue tahadhari kabla ya hatari, usiruhusu nyege zikuendeshe kwani mwisho wa siku majuto ndiyo yatakayofuatia..
View attachment 2835574
Hii pep tuelezeane vizuri wadau!! maana mitungi huwa inatufanya turukie vitu hatari sana.Aisee pep sio poa halaf ukitumia lazima ufumuke balaa(mwili unanenepa)
Nakumbuka ni mwaka huu mwanzoni pale buza maeneo ya savoy niliokota Pepo mmoja... Nikamchukua had mahala Fulani nikapaki gari nkavuta kiti Kwa nyuma dada wa wate kaniwekea kuchuma mboga NAMI nikamfumua, kama unavyojua pombe na condom havipatani hata siku Moja, nilienda mwendo mrefu bila kumaliza ikanibid nivue niende kavu napo Bado mwendo ukawa ni ulele, basi ikanilazimu niongeze speed Ili kuongeza msuguano utakao nifanya niwah kumaliza(nilimaliza ila Kwa mbinde sana). Bas tulivyomaliza nikamrudisha pale bar na mm nikahamia bar nyingne,,, mungu sio athumani nikamuona Tena kwenye Ile bar nyingne(sweet cona) yupo anadanga na wanapangana dau na mshikaj mwingine (hapo kimoyomoyo nikajisemea nimekwisha)
Nilimsubiri had arud nikachukua namba yake halaf asubuhi nikamtafuta Tena Ili Nile vizur bila kujilaumu( hapo ndo nilizid kuchanganyikiwa) . Ngozi yake ilikua inaonesha huyu mtu tayari amewaka(Kwa wadau ni rahs kuzitambua hizi ngozi za waathirika,, note nimesema wadau sio nyinyi msokuwa na experience ya kutosha
Nilipiga Tena then Kuna mwanangu nikampanga akaniletea pep, na nikaanza kuzitumia on the spot (Mimi nilianza ndani ya masaa nane baada ya mtifuano)
Kimbembe kilikuwa Kwa wife, akawa anashangaa sitaki kumuingilia na wakati sio kawaida yangu, Mimi ni wale watu tukiona tu mwanamke amejibinua kidogo lazma tule mzigo, nilijitahid kumkwepa mpaka nikamaliza dozi na nilivopima nikajikuta msafi
Kwahiyo mkuu wewe na huyo single mother...ulipata hadi mchubuko??
Kwahiyo mkuu hizo dawa hata kwa mtu aliyepata mchubuko kwenye uume wake huwa zinamkinga?Hakukuwa na michubuko mkuu, sema kuzama chumvini kulihusika..
Angalia mkuu utauvaaUna bonge la tako
Mungu akusaidie, uhakika subiri hadi miezi si chini ya 3. huwa unajificha. Ukifanikiwa kupona safari hii nakushauri chukua jiwe rusha nyuma, USITENDE DHAMBI TENA, usipoteze opportunity Mungu atakupatia ya second chance, Okoka. na ikitokea mistari miwili ikatokea, usikate tamaa, anza kujiandaa maisha ya baada ya kufa, uzima wa milele au moto wa milele, ni chaguo lako.Nilileta uzi huu last month nikiwa kwenye lindi kubwa la mawazo baada ya kusex na mwanamke aliyeathirika.
Nimeyatimba: Nimesex na mtu mwenye HIV, ni kipindi kigumu sana maishani mwangu
Ni single mother mmoja ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kwa muda kidogo. Tulishaingiza issues za kusex siku nyingi tuu sema kwenye kukutana ni kama kuna kakitu kanatuzuia. Siku kadhaa zilizopita siku ikatimia tukaonana na kufanya yetu ya kikubwa. Tulikuwa tumejiandaa kabisa kwamba tutacheki...www.jamiiforums.com
Sasa baada ya mwezi mzima wa kutumia PEP, haya ndiyo majibu.
View attachment 2835557
Japo wanashauri upime siku 28 baada ya kumaliza PEP ila uvumilivu umenishinda nimeamua nicheki tuu, baada ya siku 28 zingine nitacheki tena.
Kama nilivyosema lengo la kuleta huu mkasa ni kuwapa fundisho watu kwamba UKIMWI upo na unaua, na mara nyingi watu wanaambukizwa kutoka kwa wale wanaowaamini sana kama ilivyonitokea mimi.
Jambo moja ambalo nimepata funzo baada ya huu mkasa ni hili: Maisha baada ya kuwa muathirika yatakuwaje?.
Hilo jambo ndilo ambalo huwa linatesa sana kuliko hata UKIMWI wenyewe. Imagine kama ulikuwa umeoa au kuolewa, stress ya kwanza kukupata ni je mwenzio itakuwaje? Umuambie ama usimuambie? Je usipomuambia na ukamuambukiza itakuwaje? Ukimuambia then akasema muachane itakuwaje?
Kama una watoto utaanza kuwawaza wanao maisha yao baada ya hapo yatakuwaje? Ukianza kuumwa na angali bado wadogo utawaweka katika situation gani? Au ukifa utawaacha wakiwa wameshasimama kimaisha au laah?
Kama ulikuwa hujaoa au kuolewa itakuwaje? Ina maana ndiyo mpango wa kuzaa umeishia hapo? Na kama ukampata mwenza ambaye wote mmeathirika mkaamua kuzaa huyo mtoto akizaliwa ameambukizwa itakuwaje? Si mnazidi kujiongezea mzigo na nafsi zitakuwa zinawasuta maana ni kama mmemleta huyo mtoto aje kuteseka tuu duniani?
Hivyo kinachotesa siyo UKIMWI wenyewe, ni mawazo ya maisha baada ya kuathirika yatakuwaje maana mambo mengi ya kijamii yanaparanganyika. Kama ulikuwa na watoto tayari inaweza isikupe stress sana, ila kama bado huna watoto amini usiamini itakutesa sana sana..
Hivyo ndugu zangu tuchukue tahadhari kabla ya hatari, usiruhusu nyege zikuendeshe kwani mwisho wa siku majuto ndiyo yatakayofuatia..
View attachment 2835574
Nilishaepuka hilo mkuu.Mungu akusaidie, uhakika subiri hadi miezi si chini ya 3. huwa unajificha. Ukifanikiwa kupona safari hii nakushauri chukua jiwe rusha nyuma, USITENDE DHAMBI TENA, usipoteze opportunity Mungu atakupatia ya second chance, Okoka. na ikitokea mistari miwili ikatokea, usikate tamaa, anza kujiandaa maisha ya baada ya kufa, uzima wa milele au moto wa milele, ni chaguo lako.
lakini kupima mwezi mmoja sio guarantee, usisherehekee mapema hivi, una miezi 2 mbele, na pengine hadi 6 kabisa. naamini ukipona hili utakuwa mwalimu wa wengine.Nilishaepuka hilo mkuu.
Na sasa umakini umeongezeka mara 2..
Hakuna kuuza mechi, maana ku abstain ni jambo gumu sana..
Kaka mi mwenyewe nmekoma nlilala na bint positive na baadae ndo ananiambia na kuchek ikawa kweli🤦🏻 kaka acha tu yan nlitaka kufa, ila nashukuru mungu nliwahi kwenda bugando kuchukua pep ndan ya masaa 13, nkaanza dawa na mpaka hapa leo ni siku 32 toka nmalize pep na nmecheki niko clean ila mwez wa 6 natak nichek tena af nioe kabisa au nitulie mazima, nkizidiwa najichua kwa kuangalia vdeo za ngono kuliko hawa wanawakeNilileta uzi huu last month nikiwa kwenye lindi kubwa la mawazo baada ya kusex na mwanamke aliyeathirika.
Nimeyatimba: Nimesex na mtu mwenye HIV, ni kipindi kigumu sana maishani mwangu
Ni single mother mmoja ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kwa muda kidogo. Tulishaingiza issues za kusex siku nyingi tuu sema kwenye kukutana ni kama kuna kakitu kanatuzuia. Siku kadhaa zilizopita siku ikatimia tukaonana na kufanya yetu ya kikubwa. Tulikuwa tumejiandaa kabisa kwamba tutacheki...www.jamiiforums.com
Sasa baada ya mwezi mzima wa kutumia PEP, haya ndiyo majibu.
View attachment 2835557
Japo wanashauri upime siku 28 baada ya kumaliza PEP ila uvumilivu umenishinda nimeamua nicheki tuu, baada ya siku 28 zingine nitacheki tena.
Kama nilivyosema lengo la kuleta huu mkasa ni kuwapa fundisho watu kwamba UKIMWI upo na unaua, na mara nyingi watu wanaambukizwa kutoka kwa wale wanaowaamini sana kama ilivyonitokea mimi.
Jambo moja ambalo nimepata funzo baada ya huu mkasa ni hili: Maisha baada ya kuwa muathirika yatakuwaje?.
Hilo jambo ndilo ambalo huwa linatesa sana kuliko hata UKIMWI wenyewe. Imagine kama ulikuwa umeoa au kuolewa, stress ya kwanza kukupata ni je mwenzio itakuwaje? Umuambie ama usimuambie? Je usipomuambia na ukamuambukiza itakuwaje? Ukimuambia then akasema muachane itakuwaje?
Kama una watoto utaanza kuwawaza wanao maisha yao baada ya hapo yatakuwaje? Ukianza kuumwa na angali bado wadogo utawaweka katika situation gani? Au ukifa utawaacha wakiwa wameshasimama kimaisha au laah?
Kama ulikuwa hujaoa au kuolewa itakuwaje? Ina maana ndiyo mpango wa kuzaa umeishia hapo? Na kama ukampata mwenza ambaye wote mmeathirika mkaamua kuzaa huyo mtoto akizaliwa ameambukizwa itakuwaje? Si mnazidi kujiongezea mzigo na nafsi zitakuwa zinawasuta maana ni kama mmemleta huyo mtoto aje kuteseka tuu duniani?
Hivyo kinachotesa siyo UKIMWI wenyewe, ni mawazo ya maisha baada ya kuathirika yatakuwaje maana mambo mengi ya kijamii yanaparanganyika. Kama ulikuwa na watoto tayari inaweza isikupe stress sana, ila kama bado huna watoto amini usiamini itakutesa sana sana..
Hivyo ndugu zangu tuchukue tahadhari kabla ya hatari, usiruhusu nyege zikuendeshe kwani mwisho wa siku majuto ndiyo yatakayofuatia..
View attachment 2835574