Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
tukacheki afya zetu,sikuamini kuwa wote tulikuwa salama
huwa nasikia wataalam wa afya wanashari upime mara 3 mkuu, sijui kama nakosea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tukacheki afya zetu,sikuamini kuwa wote tulikuwa salama
Kama kawaida mzee. Akija mkoani kwako tupe tena mrejeshoMkuu nimeamua kuleta mrejesho baada ya kuingia humu nikaona wanamemba wanahitaji mrejesho pia wengine wakiandika breaking news akutwa amekufa,wengine jamaa sasa hivi atakuwa mochwari,nimeamua kurudi na mrejesho bado ni mzima narejea kwangu now
Wanawake wanaenda kulima nyinyi mpo vilabuni mnasubiri warudi mfanye mchezo mbaya. Fanyeni kazi mtaendelea kua nyuma kuchangia pato la Taifa hadi lini?Hongera japo ungeendelea kumpa dozi week nzima hii ndo heshima ya mwanaume wa mkoani.
Ooh. Hapo sawa.[emoji23][emoji23][emoji23]
unaenda wapi sasa,, umempa ushauri makini sana
Mpangilio wa stori mkuu, saa 4 na nusu.Thibitisha mkuu
angalia avatar hiyo itakuletea shida mkuu!Mwanaume bro Avatar isikuchanganye
Mkuu.kwahiyo na wewe una amini hizi abunuasi "" mixer u shigongo... mtoa mada bado yupo usingizini " akishamaliza kuota hicho anachokiota "" atakuja kujicheka yeye mwenyewe
Hahhahaha,hata nimecheka sana,nini kigeni hapo mkuuSiku nyingine ukiwa unasafiri chukua vitu vyako muhimu sio unasafiri huna hata mafuta ya kupaka!!
Basi lilifika saa 4:30 usiku,baada ya nusu saa mkafika kwake,yaani mlifika ikiwa saa 5:00 akaenda kukupikia chakula jikoni usiku huo huo! ukala chakula,kisha mkapiga story mbili tatu,halafu ukaenda kuoga,saa 12 asubuhi unasikia mlango unagongwa! Aisee!
Sasa huko rombo na dar wanaume wake wametofautiana nini..?Wanawake wa Rombo wakati wanakodi wanaume Kenya nyinyi mlikua wapi?
kwani wa mkoa wanazo mbili zinasaidiana auu?Wanaume wa dar muone sasa. Wanaume hamna dar hadi wanawake wanachukua wanaume mikoani.