Mrejesho: Biashara ya madini aina ya dhahabu

Mrejesho: Biashara ya madini aina ya dhahabu

Macho mdiliko na wangari naomba kuwajibu kwa namna ambavyo mmetafsiri ninyi na nilitakiwa nisiwajibu chochote kwa sababu ya ufinyu wa mawazo yenu ila kwa sababu leo ni jumapili nimepoz ngoja nipoteze mda kuwajibu hili.

Kwanza kabisa mdau aliweka uzi kutoa ushuhuda wa kile anachokifanya naweza kusema uzi huu haukuwa na lengo la kumpiga mtu kwa sababu tayari aliwahi omba kupata utaratibu namna ya yeye kwenda huko kufanya biashara hii,

Biashara hii kwa wale walioko maeneo ya migodin wataelewa nini naongea na hasa kwa upande wa dhahabu ni biashara ambayo ukiwa makini na ukabahatika kulenga eneo lina dhahabu unaweza amka kwenda chimbo huna hata mia na ukarudi una mamilioni hili sio hadithi na tumeshudia wengi, lakini biashara hii ukiingia kichwa kichwa hata kama ungekuwa unamiliki ndege sita unaweza poteza zote na ukabaki masikini.

Kwa maelezo ya mleta uzi kuwa yeye ananunua tayari ikiwa imechomwa na kuiuza kwa makota na wao wanapeleka sokoni hili lipo wazi kuna faida tena ya wazi bila kificho ila ni mbaya kununua ile haijachomwa hapo unaweza nunua udongo.

Hivyo kwa mtaji wake wa milioni tano na kusema kwa mwezi kaingiza faida ya milioni moja mbona ni ndogo sana hiyo kwa biashara ya dhahabu tena hapo anaenda taratibu na kwa umakini mkubwa asije kupigwa.

Kuhusu mimi ndama dume kuomba mtu mwenye machine na sio pesa hili kwa akili yenu fupi mkadhani mtu atapigiwa wapi labda kwa sababu sisi hatuendi kuchimba sisi tunaenda kuwapimia watu maeneo na kulipwa chetu,
Pili unaweza kujiuliza kuwa kma machine hii ingekuwa na faida kiasi hicho watu wengi si wangekuwa nayo? Naomba nikujibu hivi kuwa asilimia kubwa ya wachimbaji hawana shule hapa nazungumzia wachimbaji wadogo na hivi vifaa kwao hawana utaalamu navyo hivyo wanachimba kwa kubuni na kudhani lakini hawana uhakika na kile kilichopo so hapa ndio sehemu geologist hupiga pesa ukipima eneo na mchimbaji akaja kuchimba kapata kitu basi juwa wote watahamia kwako kwa gharama yeyote ili ukawapimie maeneo.

Lakini kama hujui mazingira ya migodin yakoje na hukawahi kufika na kuona na haiba ya watu au wachimbaji wadogo wanahitaji nini basi unaweza dhani ni uongo ila ukweli ni kwamba watu wametoka na kunawiri zaidi nyie endeeleeni kucheza forex tu .


Nadhani umejimix...mie sijamsema mtu tapeli...! Nioneshe wapi nimesema Kuna utapeli ..kila la heri mkuu...! ..
 
Nadhani umejimix...mie sijamsema mtu tapeli...! Nioneshe wapi nimesema Kuna utapeli ..kila la heri mkuu...! ..
Haukufafanua hiyo hatari mheshimiwa.
Na ukasema maisha yangekuwa rahisi watu wangehamia Geita.
Hapo mkuu umetoa tahadhari ya kukatisha tamaa kuliko kujenga.
Atleast basi ungeenda kuisoma hiyo mashine mtandaoni ulete shortcomings zake.

Binafsi namshukuru ndama kwa kuonyesha part ya biashara ya dhahabu ambayo kidogo hauwi katika risk kubwa ya operation costs n.k

Nchi ina dhahabu nyingi hii.Sasa wazawa kama tunaendelea kubaki nyuma inakuwa aibu,kila siku tubaki kuuza nguo reja reja,nyanya,sijui kuwa bank teller access/crdb...

Mara mashine za popcorn.....halafu hizi deal muhimu pia tunazipita kushoto,sio poa.
 
Mkuu Wangari Maathai, umefanya vema kutoa tahadhari kwani kivyovyote hii ni mitandao ya kijamii, hupaswi kumuamini MTU akiomba umtumie pesa! Tatizo la ukosoaji wako ni kuwa unawapa tahadhari watu wawe makini juu ya nini! Kuna mtu ameombwa pesa? Au unaweza kuonyesha sehemu inayoashiria ulaghai kwenye Uzi huu?

Jibu ni kwamba watanzania tumekuwa much knows wa kupindukia hata kwenye hamna!

Labda nikujulishe tu kuwa Uzi huu nilianzisha mimi mwenyewe link ipo hapo juu, nilifurahi kuona uzi umekuwa mkubwa, lengo lilikuwa kupatiwa msaada na wazoefu juu ya biashara ya dhahabu. Cha kushangaza siyo tu mimi niliyefaidika na uzi huu, wapo wengi walijifunza mengi na huenda saivi wanayafanyia kazi.

Nilichogundua kupitia ushuhuda huu ni kuwa, watanzania tulio wengi hatuamini mtu kufanikiwa kupitia biashara fulani. Zaidi tumezoea kuona mtu alianza biashara akaanguka. Ila akija anayetoa ushuda wa kufanikiwa tunamwona kama tapeli! This is shame on us!

Mimi nimeanza biashara hii, saiv July hii naenda mwezi wa pili, maendeleo ni mazuri guys you can't believe. Mimi sijakushikia panga uniamini, ila ninachokifanya ni kuwafunulia watu wengine fursa wajitose kwenye ulingo huu wa biashara za madini.

Namshukuru memba ndama dume amekujibu ipasavyo. He is correct, na nilichoelewa yeye anaweza kuwa ni kada mzoefu wa hii biashara.

Chondechonde, tusikatishe wengine tamaa, Wewe kama unahisi kuna utapeli unakausha, tena uzuri hakuna mtu ameombwa afanye hii biashara, ila kama jukwaa tuna share kile tunachokutana nacho huko masiloni! Mwisho tu niseme hii ni mitandao, hivyo hupaswi kumwamini mtu yeyote!

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji119]! Hatari Sana!..huu Uzi muwe makini jamani
 
Mkuu Wangari Maathai, umefanya vema kutoa tahadhari kwani kivyovyote hii ni mitandao ya kijamii, hupaswi kumuamini MTU akiomba umtumie pesa! Tatizo la ukosoaji wako ni kuwa unawapa tahadhari watu wawe makini juu ya nini! Kuna mtu ameombwa pesa? Au unaweza kuonyesha sehemu inayoashiria ulaghai kwenye Uzi huu?

Jibu ni kwamba watanzania tumekuwa much knows wa kupindukia hata kwenye hamna!

Labda nikujulishe tu kuwa Uzi huu nilianzisha mimi mwenyewe link ipo hapo juu, nilifurahi kuona uzi umekuwa mkubwa, lengo lilikuwa kupatiwa msaada na wazoefu juu ya biashara ya dhahabu. Cha kushangaza siyo tu mimi niliyefaidika na uzi huu, wapo wengi walijifunza mengi na huenda saivi wanayafanyia kazi.

Nilichogundua kupitia ushuhuda huu ni kuwa, watanzania tulio wengi hatuamini mtu kufanikiwa kupitia biashara fulani. Zaidi tumezoea kuona mtu alianza biashara akaanguka. Ila akija anayetoa ushuda wa kufanikiwa tunamwona kama tapeli! This is shame on us!

Mimi nimeanza biashara hii, saiv July hii naenda mwezi wa pili, maendeleo ni mazuri guys you can't believe. Mimi sijakushikia panga uniamini, ila ninachokifanya ni kuwafunulia watu wengine fursa wajitose kwenye ulingo huu wa biashara za madini.

Namshukuru memba mmoja amekujibu ipasavyo. He is correct, na nilichoelewa yeye anaweza kuwa ni kada mzoefu wa hii biashara.

Chondechonde, tusikatishe wengine tamaa, Wewe kama unahisi kuna utapeli unakausha, tena uzuri hakuna mtu ameombwa afanye hii biashara, ila kama jukwaa tuna share kile tunachokutana nacho huko masiloni! Mwisho tu niseme hii ni mitandao, hivyo hupaswi kumwamini mtu yeyote!

Yaani wewe naye una shida...hebu soma toka of ya 1 had last comment...! Nadhan humu Kuna mmoja tu ndo alinielewa...! Mbona mie nimechangia vzr tu. Kwani we unalalamika Nini hapa??

Kaa kimya fanya biashara zako mkuu...mie sijakukosoa auww umehis wapi nimekusema!!..hebu fanya yako mkuu kuwa na amani!...kila mtu afanye kazi usitafite pakuangukia....! Yaan we ndo umevamia mada hata huelewi niliandika nn....! Mwenzako siko hivyo..bye
 
Yaani wewe naye una shida...hebu soma toka of ya 1 had last comment...! Nadhan humu Kuna mmoja tu ndo alinielewa...! Mbona mie nimechangia vzr tu. Kwani we unalalamika Nini hapa??..kaa kimya fanya biashara zako mkuu...mie sijakukosoa auww umehis wapi nimekusema!!..hebu fanya yako mkuu kuwa na amani!...kila mtu afanye kazi usitafite pakuangukia....! Yaan we ndo umevamia mada hata huelewi niliandika nn....! Mwenzako siko hivyo..bye
Una shida sana we dem
 
Namba elimu wadau, nimeona gold detector zinauzwa pia AliExpress Bei kuanza laki mbili. Kwenye maelezo unakuta zinapima mpaka 25m. Je hizi za Bei ndogo hazifanyi kazi Kama hizo za million 15? Tatizo lake ni Nini?
1859815845.jpeg
 
Namba elimu wadau, nimeona gold detector zinauzwa pia AliExpress Bei kuanza laki mbili. Kwenye maelezo unakuta zinapima mpaka 25m. Je hizi za Bei ndogo hazifanyi kazi Kama hizo za million 15? Tatizo lake ni Nini?View attachment 1501533
Mkuu najuwa unamfahamu vizuri mchina, hii haina uwezo huo ndugu zaidi sana itakuwa inakamata mawe tu kwa sababu kuna zile gold detector ndogo tu ambazo zinauwezo kupima depth 25cm had 1m nazo bado bei yake haipungui 4m sasa huoni kuwa hii wanadanganya kabisa.

Alafu hii sio digital kama zile ninazozitaka mimi ile inakuchorea hadi mwamba jinsi ulivyolala na hizo bei zake ndio ghali sana japo siku nikimiliki basi tutakuwa na hesabu nyingine
 
Mkuu najuwa unamfahamu vizuri mchina, hii haina uwezo huo ndugu zaidi sana itakuwa inakamata mawe tu kwa sababu kuna zile gold detector ndogo tu ambazo zinauwezo kupima depth 25cm had 1m nazo bado bei yake haipungui 4m sasa huoni kuwa hii wanadanganya kabisa.

Alafu hii sio digital kama zile ninazozitaka mimi ile inakuchorea hadi mwamba jinsi ulivyolala na hizo bei zake ndio ghali sana japo siku nikimiliki basi tutakuwa na hesabu nyingine
Mkuu hizo mashine ni famba!
Utatapeliwa kwa kiu yako ya kuwa bilionea.
 
Namba elimu wadau, nimeona gold detector zinauzwa pia AliExpress Bei kuanza laki mbili. Kwenye maelezo unakuta zinapima mpaka 25m. Je hizi za Bei ndogo hazifanyi kazi Kama hizo za million 15? Tatizo lake ni Nini?View attachment 1501533
Mm ninavyo fikiri hiyo ya million 25 ni ya migodi mikubwa ambayo inatuma usumaku mbali na uso wa dunia lakini Kama ni jirani tu hiyo ya laki tatu inafaa
 
Nimefanya utafiti mkuu naelewa ninachokisema
Imani yako inaenda kukuliza soon.
Hayo ni makopokopo tu yameunganishwa na vi circuit vya electronics mfano wa calculator.

Kutoka kwenye 9v vina transmit wave weak ku detect hata pete ya dhahabu mkononi achilia mbali chini ya ardhi kunakohitaji strong waves kutoka kwenye high current device.

Mungu akusaidie uelewe nilichokwambia.
 
Back
Top Bottom