Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
- Thread starter
- #441
Hili jambo ni gumu Kwa startup businessman wengiHilo ndio kosa kubwa ambalo watu wanalifanya. Usiitegemee biashara ikawa ndio inaanza bali biashara ikutegemee wewe
Ukifatilia vizuri, business failures nyingi unaweza kukuta baadhi walitegemea biashara zao kuendesha maisha yao ya Kila Siku bila kuwa na cashbook record zao vizuri
Unakuta umekula hadi mtaji