Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba


hata English Medium hakuna connection. Connection unazo zizungumzia wewe zipo international kama IST. Hata hivyo kiuhalisia hazipo kwa sababu wanao soma huko wengi wametoka familia zinazo ishi kizungu ( kibepari) na ubinafsi.

St. Kayumba utapata network kubwa kwa sababu mnasoma watu wengi. Unlike English Medium darasa moja watu wanane hakuna connection yoyote ya maana.

Usisahau mkuu asilimia kubwa ya wazazi wanao somesha watoto wao hizo English Medium ni mahohehahe tu wenye hela za mawazo ambao hufuata mkumbo na kujionyesha kwamba na wao wanaweza kusomesha watoto English Medium lakini kiuhakika hawana lolote la maana kwenye maisha yao..

Wanaosomesha watoto English Medium ni masikini tu ambao wameamua kujipa matumizi ya sio ya lazima sawa na mfanyakazi mwenye mshahara wa laki nne ambae amenunua iPhone ya milioni mbili baada ya kujibana kwa miezi mitano.


English Medium ni Kayumba ambazo zinafundisha kwa KIINGEREZA.
 
Conection zako zote zipo zina fanya kazi kwenye viwanda na Makampuni yaliopo Pugu Road😂
 
Numeipenda hii comment. miss pablo ila walimu wenye bora bachelor hapo no. ujue Walimu wa diploma before 2010 wako vzr kuliko bachelor 10 wa leo
 
Acha blaa blaa wewe sema umefikisika.

Kuwatoa huko means unawaandaa kuwa wapiga kura tuu sio zaidi ya hapo maana hata Nje wataogopa kwenda Kwa sababu za lugha nk.
 
Pole sana mkuu,nimepita huko kote,mateso yake sio ya nchi hii,yani hawanaga huruma hata kidogo,nashukuru huyu wangu aliyebakia sasa hivi yuko A level na anapiga Kayumba vizuri tu...
 
Faida ya mtoto kusoma shule bora ni kumjengea kujiamini

But the evidence says no. Uhalisia unaonyesha watoto walio soma kayumba ndio wanajiamini zaidi kwenye maisha kuliko hao wa st. English Medium.

Akina Diamond, Konde Boy, Shilole wote wamesoma kayumba ila wana confidence kuliko.

Halafu hivi sio nyie mnaosemaga watu ambao hawajasoma kabisa ndio wana uthubutu kuliko wasomi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] say no more. Yaaan hapa ndo tatizo linapoanzia. Yaan hiyo kayumba yangu pumbavu sana. Wengi bado wana mawazo ya kimaskini. Kwanza wanapenda mambo elf 5 kwa rambi rambi. Na wengine wasitoe.
Haya, jamani, hebu tuwe na kikundi rasmi, haya mambo ya kutandika mikeka yamepitwa na wakati, wao hawako tayari. Na wanataka per month iwe elf 5. How are u gonna grow? Si kwamba labda wengine hawawezi hapana. Ila hawana mawazo mapana majority. Watu wa asili ya huo mkoa ni changamoto sana watani zangu. Wapo wachache sana wameamka. Inabidi mtumie ubabe kwenda sawa. Connections ndo kabisaaa hakunaa aisee. Hakunaa. Labda hizo special.schools. kwangu mimi walikuwepo japo wachache sana na si wa mkoa huo pia. Wengi watoto wa wakulima na wafugaji huko. Wanapiga jembe kama hawana akili nzuri. Lakini connection ya mazao unaipata mkuu[emoji23][emoji23] walikua wanaluja na pocket money mzigo umeshibaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Dah. Ila wazazi wengi ni wafanya biashara
Sema kuna wale wadada wadangaji pia nao huwa hawataki kubaki nyuma kwenye hilo. Kama nakuelewa hivi. Unakuja kuja[emoji23][emoji23]
 
Numeipenda hii comment. miss pablo ila walimu wenye bora bachelor hapo no. ujue Walimu wa diploma before 2010 wako vzr kuliko bachelor 10 wa leo
Yawezekana kbs. Diploma wengi walisoma kwa vitendo. Na Elimu ilikua haijawa biashara sana kwa wakati huo. Siku hizi ni kichefuchefu. Na ndo maana serikali inawapenda sana diploma[emoji23][emoji23]
 
Safi sana dada ake. Very inspiring. Suala la malezi ya kitanzania kwenye English Medium wamefeli sana. Yani wanataka kuwalea watoto kama wazungu eti.

Wakati mtoto wangu wa kike yupo darasa la saba kwenye shule ya KIINGEREZA kuna siku nilienda shulenj kwao . Sehemu ya wageni kusubiria ilikuwa karibu na darasa la saba. Nikasikia mwalimu anamuomba msamaha dogo wa kiume anampa na chocolate . Jioni namuuliza dogo ananiambia eti jana yake mwalimu alimfokea dogo, dogo akakskrika ndio maana siku hiyo ticha akawa anamuomba msamaha. Say what?
Kama asingekuwa la saba ningemrudisha kayumba siku hiyo hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…