Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

[emoji23][emoji23][emoji23]
Dah. Ila wazazi wengi ni wafanya biashara
Sema kuna wale wadada wadangaji pia nao huwa hawataki kubaki nyuma kwenye hilo. Kama nakuelewa hivi. Unakuja kuja[emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣 usinielewe kwanini sasa
 
2. Kuhusu somo la kiingereza nimenunua vitabu na CDs ambayo madogo watakuwa wanajifunza wakiwa home plus tuition ya nguvu ya kiingereza.

Mkuu hapa ndo pa kukazania zaidi,kama hauna muda unaweza tafuta hata mwl wa kiingereza wa 100,000 kwa mwezi kila siku akawa anawapigisha kitabu wanapokuwa nyumbani
 

hizo English Medium walimu wake :
1. Wamesoma kayumba.

2. English sio lugha yao ya kwanza

3. English sio lugha yao ya mawasiliano ya kila siku ( kwa maana ni watanzania ambao huwasiliana kwa kiswahili)


Unaweza vipi kulipa mamilioni ili mtoto wako afundishwe kwa KIINGEREZA na mtu ambae KIINGEREZA sio lugha yake ya kwanza? Wala sio lugha yake ya mawasiliano?
 
Nakazia . Na walimu wapo wengi sana...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo mwalimu siyo mseng* kweli? Asije kuwa analawiti watoto. Kwann anampa chocolate. Katika vitu sipendi ni hizi vitu za kula kula za kutoka viwandani. Aisee. Naimba umakini uzidishwe hapo. Nimepata hofu na hiyo mwalimu. Hakuna wa kumuamini hata kidogo.

Namshukuru Mungu hakika kwa experience nilizopitia. Hizo shule 2 kamwe sitokaa nijutie. Hiyo ya primary kuna shamba liko Mandaka huko. Basi tulikua tunachaguliwa wale wa grades 5 mpk 7 tunaambiwa tuvae tracksuit zetu, tunakwea fuso na wafanyakazi mpk shamba kuvuna mahindi na kurudi. Tunawashwaaa[emoji23][emoji23] sema sisi tulikua tunaenjoy. Hatukuwahi kuona shida.
It was superb kwa kweli.

Kama ni viatu vya watoto basi kuna kazi ya kuvibrash kama matron hayupo. Wale wa baby class na kinder kwa ujumla. Pia uniform zilikua tunanyoosha na maton. Zoote yaani. Usafi wa kudeki ni wafanyakazi ila kufagia daily ni wenyewe. Sema kipengele cha kuogesha watoto wa watu ndo sikukipenda na hata wazazi waligoma. Kuna vitoto vidogo vya mpk 2yrs jamani. Vingine havijatimiza. Kuna wamama wana moyo wa jiwe aisee.
Unakuta mzazi anaona sifa mwanae kula maprestige na masoseji na machips akidhani its health kisa yeye hakuzila udogoni kwa dhiki na umaskini basi anaona wanae wale unakuta mtoto wa kiume amenenepa mpaka makalio. Inashangaza sana. Hapo ni primary. Na wanabembelezewa na simu maaaninaa sana. Mtoto asipewe simu. Wazazi wanaharibu sana watoto. Mimi sitaki mazoea ya vitu kama hivyo na watoto. Tuanze nao hukuhuku chini. Kuanzia lishe, masomo, nidhamu, etc. English medium zilizo moderate ni kama akina diamond, olimpio etc. Ziko shule nzuri tu.
 
Word
 
Hongera sana mkuu
 
Pale masikini wanapojifariji kwa umasikini wao,we have no choice but to let you dogs sleep!

Masikini hakosi sababu cha chochote kile alichoshindwa kuki-afford!

Hakosi sababu!
 
Hata kama una pesa lazima ujifunze kubana matumizi.
Sio busara kulipa milioni4 ili mtoto afundishwe A for Apple. Mwisho wa siku maisha ndo haya haya
Pale mzazi unapojitia unajua fani ya ualimu zaidi ya walimu wenyewe ndio haya unayoongea yanatokea

Masikini hutakosa sababu yeyote ile kutetea financial choices zako

Eti A for Apple,na ni kweli wanafundishwa hicho tu?

Yaani masikini wanajua ku sensationalize kitu ku justfy their choices!
 
Tuambie wanafundishwa nini mkuu?
 
Tuambie wanafundishwa nini mkuu?
Wewe uliona ni A for Apple tu?

Fact is,wanafundishwa vitu chungu nzima according to IB framework,wewe na matongotongo yako umeona A for Apple and ran away with it just to justify umasikini wako wa kutoweza hizo ada!

Wewe umeshindwa hizo ada,just admit,pangusa matako saka hela urudi hewani uwape watoto haki yao,hizi shenanigans hazisadii
 
Kwa mfano vitu gani hivyo wanavyo fundishwa. Ambayo vina justify mamilioni ya shilingi kama malipo ya ada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…