Ukitaka ona ukweli kaangalie huku uswazi, wengi wamesoma na kumaliza shule ila hawajikomboi kuhama maeneo hayo, hivyo maisha yao yanaendelea kuwa vile vile. Mtu anaona ni sawa kuishi stooYaani brother.. Inatia huruma sana, kuna shule mtu akisoma anakutana na exposure na connections za kutosha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] daaah. But why?Kuna shule mtu anamaliza wote wanakuwa bodaboda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] say no more. Yaaan hapa ndo tatizo linapoanzia. Yaan hiyo kayumba yangu pumbavu sana. Wengi bado wana mawazo ya kimaskini. Kwanza wanapenda mambo elf 5 kwa rambi rambi. Na wengine wasitoe.
Haya, jamani, hebu tuwe na kikundi rasmi, haya mambo ya kutandika mikeka yamepitwa na wakati, wao hawako tayari. Na wanataka per month iwe elf 5. How are u gonna grow? Si kwamba labda wengine hawawezi hapana. Ila hawana mawazo mapana majority. Watu wa asili ya huo mkoa ni changamoto sana watani zangu. Wapo wachache sana wameamka. Inabidi mtumie ubabe kwenda sawa. Connections ndo kabisaaa hakunaa aisee. Hakunaa. Labda hizo special.schools. kwangu mimi walikuwepo japo wachache sana na si wa mkoa huo pia. Wengi watoto wa wakulima na wafugaji huko. Wanapiga jembe kama hawana akili nzuri. Lakini connection ya mazao unaipata mkuu[emoji23][emoji23] walikua wanaluja na pocket money mzigo umeshibaa
Kuna rafiki yangu kipindi ndo niko mgeni Dar bado hali ya kiuchumi sio nzuri akaniambia tudamke saa 11 twende sokoni Ilala huwa zinauzwa jeans kali sana kwa bei nafuu. Tulivyofika tukakuta jamaa wanauza jeans za mtumba watu wanazigombania ili kwenda kuziuza tena... mimi bila kujua nikawa nasubiri hizo jeans kali alizosema jamaa kumbe ndo zile mtumba watu wanazonunua. Nikamwambia jamaa iwe mwanzo na mwisho kuniitia vitu kama hivyo hata kama hali yangu sio nzuri kifedhaKipindi naanza maisha, nilimshirikisha jamaa yangu nilitaka kununua kisabufa. Bajeti ilikuwa 150k. Akaniambia acha kupoteza hela nunua sabufa ya 60k tu inatosha. Hakuna shida
Tv basi nikawaambia nataka nchi 32, akaniambia acha kupoteza hela, chukua ya nchi 15 au 21 tu inatosha.
Kuna baadhi ya marafiki ukiwa nao ndiyo kinakuwa chanzo chako cha umasikini. Nishakoma kushirikisha marafiki wenye mawazo ya kimasikini. Nilitegemea angeniambia, tatafuta hela uchukue muziki wa 800k. Ule maisha
Ada ya international ni ndefu aisee. Sema kwa mzazi mwenye pesa za kutosha anakua anaandaa mroto wake kuongoza miradi. Watoto wa huko huwa akili zao katika kuwekeza ziko level ingine kabisa ya kidunia.Mi mtoto wangu atasoma shule bora zisizo karirisha kufaulu.
Huwezi kuta hizi shule za International zikitoa ranking baina ya wanafunzi
Ishu sio lugha changamoto ni mazingira ya shule za kayumba ni magumu kuanzia kwa wanafunzi mpka kwa walimu unakta darsa lina wanafunz 100 mpka wengine wanakaa chini hapo unadhani mwalimu atajitoa au kupata muda kwa wale wenye uwezo mdogo....Elimu ya Msingi yafaa kutolewa kwa lugha mama
Hoja zako za kitoto sana mkuu.Algore shule za private walimu huwa wanapika matokeo ili kuwa brain wash wazazi.
pride darasa linapo kuwa na watoto wengi inasaidia pia kumchallenge mtoto kwa sababu huo ndio uhalisia katika maisha halisi. Darasa lenye watoto wachache mfano watoto 10 au 20 mtoto hapati changamoto kwa watoto wenzake.
Plus private school watoto wanakuwa spoon fed.
Kumbuka Lengo pekee la kumpeleka mtoto shule ya Msingi sio tu ili afaulu kwenda secondary lakini pia ajifunze kuhusu maisha.
Kumpeleka mtoto kwenye shule ambayo darasani wanakaa watoto watano tu kwanza atakuwa selfish, atakosa network ya watu ( kujuana na watu wengi: It is a proven fact that ur network is ur networth)..
Mtoto aliesoma kwenye shule yenye watoto wengi hawezi kutishwa na uwingi wa candidates lets say kwenye interview ambayo wamekuwa shortlisted watu elfu moja. Jambo hilo linaweza kumu intimidate mtoto alie soma kwenye shule ambayo darasa moja wanakaa watoto8
Kuhusu kujiamini kwenye maisha experience inaonyesha watoto walio soma kayumba hujiamini mara mia ya wale walio soma English Medium.
Wana uthubutu wa kufanya na kujaribu mambo mengi kwa sababu mazingira magumu " tough environment" ya st kayumba yamewashape,tofauti na wa English Medium ambao hawana uthubutu wa kujaribu kwa sababu walizoea kuwa spoon fed na kurahisishiwa mambo.
Mifano: Diamond, Shilole, Mobetto etc.
Mwisho: ni ujinga kumpeleka English Medium mtoto ako akafundishwe na mwalimu ambae amesoma kayumba.
International nyingi ni milioni 20 kwa mwaka ukiwa na watoto 3 utatumia Bilioni tu.Ada ya international ni ndefu aisee. Sema kwa mzazi mwenye pesa za kutosha anakua anaandaa mroto wake kuongoza miradi. Watoto wa huko huwa akili zao katika kuwekeza ziko level ingine kabisa ya kidunia.
As of me natamani waende shule ziwe medium. Isiwe jina kuubwaa. Just average schools zenye maadili mazuri na ajichanganye na maisha yote. Sitaki awe na maisha ya anasaaa sana ama ya dhikiii. Hapana. Awe middle hapo ila akili ikae katika kutafuta pesa
Ana akili za kimasikini na huenda anafurahia umasikiniHoja zako za kitoto sana mkuu.
Nenda uswahilini utaelewa, wengi wanaishi maeneo hayo hayo sababu ya fikea walizojengewa makwao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] daaah. But why?
Watu wanajipa tu moyo kijinga. Hata shule za serikali siku hizi zina matabaka. Kuna shule zinaitwa za kitaifa yaani hizo ni kali kuliko hata za private. Tena kwa jinsi JPM alivyoziboresha zimekuwa hatari. High school za kitaifa zina watoto wa kishua waliotoka private ndo maana zinapasua sana form six.Mkuu watu hawaelewi, hao wanaowaona laini ndio wana connections na akili za kuishi soft life zaidi. Imagine mtu kasoma na watoto wa mawaziri, diplomats, businessmen yaani circle nzima ipo loaded. Ndio ulinganishe na mtu kasoma na watoto wa wakulima na wafugaji
Halafu humu watu wanajitoa akili, yaani unawatumia kina Nyerere, Mkapa au Pinda leo hii kama successful stories na wakati dunia yao na yetu ni mbingu na ardhi..
Kiukweli hata kama primary ntawasomesha shule za kawaida ila kuanzia o level acha wakapambane na kutengeneza future connections na exposure
Ili uache kuwachanganya watoto kisakolojia,leo wapo Medium kesho saint kayumba.Ili tuje tushinde hapa jf kama wewe eti?
100%Big up mkuu kulifahamu hili mapema.
Tusomeshe watoto kulingana na vipato vyetu kama una pesa peleka wanao International school mitaala ya Cambridge, kipato cha kati peleka wanao english medium, kama ni mgonga ulimbo kama mimi mpeleke mwanao Kayumba.
Halafu suala la mtoto kufanya vizuri shuleni asilimia kubwa ni kumfuatilia mtoto kama humfuatilii mtoto imekula kwako.
Sawa mama.watotoIli uache kuwachanganya watoto kisakolojia,leo wapo Medium kesho saint kayumba.
TAFUTA HELA.
Kama shule zipi mkuu?Watu wanajipa tu moyo kijinga. Hata shule za serikali siku hizi zina matabaka. Kuna shule zinaitwa za kitaifa yaani hizo ni kali kuliko hata za private. Tena kwa jinsi JPM alivyoziboresha zimekuwa hatari. High school za kitaifa zina watoto wa kishua waliotoka private ndo maana zinapasua sana form six.
Ha ha ha hatari saana mkuu. Ama kwa hakika kila kitu kina faida na hasara zake. Kila mtu aainishe hasara na faida za jambo lake analotaka kufanya kabla ya yote. Hakuna lenye faida lisilo na hasara.Mkuu watu hawaelewi, hao wanaowaona laini ndio wana connections na akili za kuishi soft life zaidi. Imagine mtu kasoma na watoto wa mawaziri, diplomats, businessmen yaani circle nzima ipo loaded. Ndio ulinganishe na mtu kasoma na watoto wa wakulima na wafugaji
Halafu humu watu wanajitoa akili, yaani unawatumia kina Nyerere, Mkapa au Pinda leo hii kama successful stories na wakati dunia yao na yetu ni mbingu na ardhi..
Kiukweli hata kama primary ntawasomesha shule za kawaida ila kuanzia o level acha wakapambane na kutengeneza future connections na exposure
Wewe jamaa ni mtupu mno kichwani. Unajua Mange kwa sasa anaingiza pesa nyingi kuliko makampuni mengi ya media? Dah uko nyuma ya wakati.Diamond alisoma Feza?.. Konde Boy?. Connection ni akili na ujanja wa mtu mwenyewe binafsi wala haina uhusiano wowote na lugha aliyo tumia kusoma shule.
Wema alisoma Academy ila company yake ni kina Aunty Ezekiel na Gigy Money walioishia form two Kayumba.
Hamisa Mobetto kasoma st.kayumba tena form four leaver lakini ana connection na viongozi wakubwa nchini plus Artists wakubwa duniani akina Rick Ross etc.
Mange Kimambi kasoma Arusha school plus international schools ila kazi yake ni umbea ambao ulitakiwq kufanywa na akina Mwajuma wa Tandale pale.
Usiishi kwa kukariri mkuu.
Ishi kulingana na uhalisia wa nyakati zilizopo
Ilboru, Tabora, MsalatoKama shule zipi mkuu?