Algore shule za private walimu huwa wanapika matokeo ili kuwa brain wash wazazi.
pride darasa linapo kuwa na watoto wengi inasaidia pia kumchallenge mtoto kwa sababu huo ndio uhalisia katika maisha halisi. Darasa lenye watoto wachache mfano watoto 10 au 20 mtoto hapati changamoto kwa watoto wenzake.
Plus private school watoto wanakuwa spoon fed.
Kumbuka Lengo pekee la kumpeleka mtoto shule ya Msingi sio tu ili afaulu kwenda secondary lakini pia ajifunze kuhusu maisha.
Kumpeleka mtoto kwenye shule ambayo darasani wanakaa watoto watano tu kwanza atakuwa selfish, atakosa network ya watu ( kujuana na watu wengi: It is a proven fact that ur network is ur networth)..
Mtoto aliesoma kwenye shule yenye watoto wengi hawezi kutishwa na uwingi wa candidates lets say kwenye interview ambayo wamekuwa shortlisted watu elfu moja. Jambo hilo linaweza kumu intimidate mtoto alie soma kwenye shule ambayo darasa moja wanakaa watoto8
Kuhusu kujiamini kwenye maisha experience inaonyesha watoto walio soma kayumba hujiamini mara mia ya wale walio soma English Medium.
Wana uthubutu wa kufanya na kujaribu mambo mengi kwa sababu mazingira magumu " tough environment" ya st kayumba yamewashape,tofauti na wa English Medium ambao hawana uthubutu wa kujaribu kwa sababu walizoea kuwa spoon fed na kurahisishiwa mambo.
Mifano: Diamond, Shilole, Mobetto etc.
Mwisho: ni ujinga kumpeleka English Medium mtoto ako akafundishwe na mwalimu ambae amesoma kayumba.