Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Umezaliwa mwaka gani? Kipindi cha uongozi wa Kikwete shirika la "hakielimu'(sijui ni la serikali au binafsi) walikuwa wanapublish matangazo kwenye redio na TV.Hivi hili jina la saint kayumba lilianzia wapi
Una program subconscious mind yake kuwa wa kusukumwa ,ama kuelekezwa kila kitu,yaani unamtengenezea behavior ya kusimamiwa ama kulishwa like spoon feeding.Shule nzuri ni shule ambayo ina utilize uwezo wa mtoto.
St Kayumba sio good option kwa mtoto unless kipato sio kizuri. Nimesoma st kayumba from p' to o'level kwahiyo najua kitu nachokizungumza hapa so you better pay attention!
Watoto wanao excel shule za kayumba academically mostly wana biological advantage (wamezaliwa na uwezo mkubwa wa akili wa kuhifadhi kumbukumbu vizuri). Na wachache sana wanafaulu kwa jitihada binafsi za wazazi kama kuwapeleka tuition na ufuatiliaji wa karibu wa maendeleo ya mtoto shuleni (kuangalia kama anafanya homework vizuri n.k). Ila watoto wengi wa Kayumba wapo kwenye hatari kubwa sana ya kuharibikiwa. Nina mifano hai ya kutosha, so you better listen careful.
Anyday of the week, nitapigia kura International/English Medium over Kayumba kwa sababu ya utofauti mkubwa wa mifumo yao ya uendeshaji. Yes you heard me well, SYSTEM!
Mdogo wangu alibahatika kusomeshwa English medium, wakati yupo std 6 nilikua napiga naye story za hapa na pale nikagundua anajua vitu vingi ambavyo laiti angesimamishwa na hawa form four wengi wa kata kwenye debate, kwa kweli ingekua ni aibu.
Sasa shida iko wapi?
Kayumba hakuna ufuatiliaji wa karibu kwa watoto. At least hata English Medium za mchongo wanamrudisha mtoto mpaka nyumbani na wanampitia tena Ahsubuhi. Kila siku mtoto lazima aachiwe homework za kutosha kumpunguzia muda wa kucheza mtaani hovyo (Aliyocheza shuleni inatosha!).
Ila Kayumba mzazi huna uhakika kama mtoto kafika shule, huna uhakika kama mtoto atarudi nyumbani salama, huna uhakika kama muda aliofika nyumbani ndio wenyewe au kuna mahali kapitia, huna uhakika kama hajaachiwa homework au kaachiwa, hujui marafiki zake ni kina nani, hujui kama anahudhuria vipindi vyote au lah... na ikitokea siku umeitwa Shule ujue kabisa kuna kosa kubwa sana kafanya maana haya mengine ya ufaulu walimu sio shida zao, utajua mwenyewe na mtoto wako!
Hakuna namna unayoweza kujitetea wakati ushahidi uko wazi. Saa nyingine kuwa muungwana kwa kurekebisha ulipoteleza. Unaweza ukawa umepata B au A ila kwenye kuongea ukawa hovyo tu. Unajitutumua wakati ni wewe uliyeandika sentensi yenye makosa.Ni kawaida ya brain kutafuta faults, errors,mistakes, blunders etc. Sikuoni Kama una kosa Bali Ni nature ilichokuzawadia sema inatakiwa upambane ufanye recoding Kama sio reprogramming ili uweze kuushinda ubongo wako dhiidi ya reptile brain,tumia cortex achana na limbic and amygdaly brains zitakupoteza
Nimemjibu aliyesema anajua kiingereza kuliko waliosoma English medium huku yeye akiwa kaandika sentensi ya kiingereza yenye makosa.Upo obsessed sana na KIINGEREZA wewe. Unadhani kujua kiingereza ndio kipimo cha akili?
Pole sana ndugu yanguSababu ya kuwarejesha kayumba wanangu ni kuyumba kiuchumi.
Best students wengi ni mabingwa wa kukariri wala hawana maajabuHongera sana.
Mtoto akilelewa vizuri na akapata mahitaji ya lazima kwa binadamu basic needs kwa wakati na mental health nzuri, usimamizi wa kimasomo mzuri, Hata akisoma kayumba lazima afanye vizuri
Chuo kikuu cha dsm, ama Udsm best students wao kwenye graduations kila mwaka mara nyingi ni waliosoma kayumba primary.
Huo ndo ukweli watu wengi wanaanza familia pasipo kuwa na mpango mkakati wa kiuchumi wa miaka isiyopungua 30Huo ndo ukweli kwamba mtu kafika kiwango ambacho vipaumbele vinashindana (apeleke mtoto shule nzuri ya ada kubwa au apeleke ya kawaida na pesa inayobaki afanyie mengine) maana kipato cha familia kidogo. Kingine kilicho wazi ni maandaliz kwa mzazi ambaye alijiandaa toka hajapata watoto na akatafuta kipato kizuri toka mapema ina maana uchumi wake unaweza kuhimili kupeleka watoto hizo shule, kufanya uwekezaji, n.k kifupi kujikuna kunaendana na urefu wa mkono. Haya mengine ni ya kujipa moyo tu!
Kuna shule mbagala ina wanafunzi elfu 7000 hapo kuna elimu sasaKwa dunia ya leo hakuna sehemu salama kwa watoto ila kusema kweli Kayumba ni hatari zaidi jamani.
Kwanza shule nyingi za Kayumba zina watoto wengi kiasi kwamba kuna watoto wanatoa makwao ila wanaishia vyooni na njiani darasani hawafiki na mwalimu hajui.Mtoto anaweza kaa mwaka hajaingia class.
Kayumba watoto wanafanyana vitu vibaya chooni na njiani.
Kayumba mwanao anacheza na watoto wanaotembea umbali mrefu kwenda na kurudi shule na huko njiani wanajifunza mambo mengi mabaya.
Kayumba tupeleke watoto ikiwa hakuna namna ila kama ka uwezo kapo tafuta shule nzuri ya kulipia fanyia research tabia za watoto wa hapo ukiridhika mtoto asome hapo.
Kama hana hela atampeleka vp huko Kayumba. Ulipaswa kusema "kama hana hela za kutosha"Mpeleke mwanao kayumba kama huna hela, ila usimpeleke huko ili ujenge.
Kuongea naongea vizuri mno yaani nikiwa chuoni nilikuwa naongea English muda wote ,hata kutongoza kwangu urahisi Ni English mpaka watu Wana doubt kuwa ivi kweli mie Ni mtanzania na wananiuliza the way navyo flow mkuu.Hakuna namna unayoweza kujitetea wakati ushahidi uko wazi. Saa nyingine kuwa muungwana kwa kurekebisha ulipoteleza. Unaweza ukawa umepata B au A ila kwenye kuongea ukawa hovyo tu. Unajitutumua wakati ni wewe uliyeandika sentensi yenye makosa.
Mzazi mwenye hela huitaji kuangaika na maswala ya bodi ya mikopo unaweza ukawa una hela ila ukawa na mentality za kimaskiniWengine pesa wanazo kuna sehemu nilikaa nikashangaa mzazi ana hela anasomesha mtoto kayumba kisa anasema anataka mwisho wa siku mtoto akimaliza form six aje apate mkopo bodi ya elimu ya juu bila shida
Mtoto akamsomesha shule ya msingi ya kayumba Darasa zima wakafaulu kwenda shule ya kata ya Kayumba Form one
Form four shule haikuwa na division one wala two wote waliishia division three ,four na zero na hakuna ambaye combination ya kwenda Form five ilikubali
Ndoto za mwanae za ohh akasome high.school ya serikali form five iliishia mwisho cha ohh apate mkopo bodi ya mikopo zikayeyuka hewani.Sababu hata hiyo form five hakuiona
Mzazi kama kipo usiwe na vi theory vya kiajabu ajabu utaumiza mtoto.Somesha shule nzuri
Mwanao pambana naye mwenyewe na kamwe usisubirie utashi wa wanasiasa kwa maana wao wanasomesha watoto wao nje kwa kodi za watanzania.Muhimu hapa tupamgane SoMo la kiingereza lifundishwe kuazia awali hukuhuku kayumba
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Yaani nimeingia la kwanza naongea my mother tongue pekee Sasa shangaa tunaingia la Pili nakuwa wa kwanza na shule nimetoka bush nikaenda kusomea town ,yaani lugha is of immaterial linapokuja suala la kichwa kuelewa kitu. Unaweza ukafundishwa kwa kabila yako ukawa daktari mzuri mno. Yaani wachina wanasoma kwa lugha yao Ni Engineers na leo nilikuwa nao wanaseti foundation ya road underpass,yaani technical drawings anaisoma na anaweka vipimo. Yaani hufanyi kazi kwa kuongea Bali kwa vitendo na uelewa wakoHakuna namna unayoweza kujitetea wakati ushahidi uko wazi. Saa nyingine kuwa muungwana kwa kurekebisha ulipoteleza. Unaweza ukawa umepata B au A ila kwenye kuongea ukawa hovyo tu. Unajitutumua wakati ni wewe uliyeandika sentensi yenye makosa.
umeongea bonge la point ambayo ni wachache sana wanaweza ionaDunia nzima matajiri wenye lengo la uendelezaji wa mali lazima wasomeshe kwenye shule kubwa na za ghali ili kujenga connection.
Matajiri wote Tz watoto wao wapo IST, hapo hutamkosa mtoto wa MO, GSM, Azam, Cello, Camel
Mkuu ur the true son of ur father. Asante kwa madini. Nimejifunza kitu kikubwa sana kakaKuongea naongea vizuri mno yaani nikiwa chuoni nilikuwa naongea English muda wote ,hata kutongoza kwangu urahisi Ni English mpaka watu Wana doubt kuwa ivi kweli mie Ni mtanzania na wananiuliza the way navyo flow mkuu.
Na uelewe nimeingia la kwanza sijui kiswahili,kidato Cha Pili naongea English,nikiwa chuoni nikasoma kwa kirusi natongoza demu wa kirashia anavua chupi kwa Russian na lugha ambayo nimejifunza Niko above 23.
Ishu kuwa kwenye maisha nayoiheshimu na ambayo inatakiwa uombe mwanao awe nayo Ni Ile desire , willingness, commitment, discipline,courage, warrior mindset,greed and determination of Successful, kuwa mtu fulani. Hii huwa haina kuwa upo wapi,unaongea lugha gani,ama wewe kabila ,dini,rangi gani
Kwa maneno ya Greek or Roman empiror philosophy ngoja nikupe alisemaje.
View attachment 2711383View attachment 2711389
mkuu big up umeongea point kubwa sanaRuka ruka lakini hii elimu yetu ya awali Hadi form 4 inatosha mtoto kuingia katika fani aitakayo awe kayumba au ushuani! Hizi form 5 & 6 ni kupoteza muda. Muhimu ni determination ya mtoto mwenyewe bila kujali ukayumba au ushua
Daddy & Mummy maana yake ni baba na mama. Sasa shida ipo wapi? Hivi unajua ya kuwa asilimia kubwa ya tabia za hovyo mtoto anajifunza katika hizi shule za Swahili medium? Mimi ninashauri kila mmoja afanye jambo kulingana na hali yake ya uchumi.Hakuna cha mambo ya dad mommy halafu Toto la kiume
Best students wengi ni mabingwa wa kukariri wala hawana maajabu