Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Hivi hili jina la saint kayumba lilianzia wapi
Umezaliwa mwaka gani? Kipindi cha uongozi wa Kikwete shirika la "hakielimu'(sijui ni la serikali au binafsi) walikuwa wanapublish matangazo kwenye redio na TV.
Matangazo hayo yalikuws na dhumuni moja tu la kukosoa mfumo na mazingira ya shule za serikali. Wahusika wakuu walikuwa vijana wawili wa kike( jina nimelisahau) huyu alikuwa anasoma shule ya private na wa kiume alikuwa anaitwa Kayumba alikuwa anasoma shule ya serikali.
 
Una program subconscious mind yake kuwa wa kusukumwa ,ama kuelekezwa kila kitu,yaani unamtengenezea behavior ya kusimamiwa ama kulishwa like spoon feeding.
Sasa njoo Hali halisi ya maisha ,he maisha yako Kama huko saint English ama Kama saint kayumba. Kuwa atasimamiwa na kuelekezwa how to fight in the jungle full if wolves, wild dogs, bulls and Black mamba. Binafsi napenda mwanangu afundishwe shule ya kijeshi,yaani Ni mchakamchaka baadaye akuja kuwa automatic kufanya Mambo ya kijeshi bila ya kusukumwa. Alime bustani,apapalie,atengeneze fanicha,ajenge nyumba,atengeneze gari,ajue kutengeneza sabuni etc,Kama anapena mchezo fulani akomae nayo,atoke huko anajua kuchora ramani za nyumba,anajua kutumia vifaa vya saveya,awe anajua vitu vingi ama awe na skills za maisha na sio eti kufaulu na kuongea English Basi kuwa ndio amefaulu maisha.

Yaani when mental and physical are trained or exposed under stress and pressure then they grow stronger than how they were before.
Ikiwekazana atembee kwenda shule, what I trust Ni kuwa binadamu huwa haihangaiki Kama hapati any hardship.
Am a student of mind and brain. Yaani we're always driven by either pleasure or pains.
Yaani mtu anafanya kitu kukwepa maumivu ama kupata Raha Basi. Na ubongo kazi yake Ni kukwepesha kutoka kwenye habari ama kitu ambacho kinakupa maumivu ya kimwili na mentally
 
Hakuna namna unayoweza kujitetea wakati ushahidi uko wazi. Saa nyingine kuwa muungwana kwa kurekebisha ulipoteleza. Unaweza ukawa umepata B au A ila kwenye kuongea ukawa hovyo tu. Unajitutumua wakati ni wewe uliyeandika sentensi yenye makosa.
 
Best students wengi ni mabingwa wa kukariri wala hawana maajabu
 
Huo ndo ukweli watu wengi wanaanza familia pasipo kuwa na mpango mkakati wa kiuchumi wa miaka isiyopungua 30

Shule ya za serekali kidogo zaman sasa hivi zinahali mbaya sana
 
Kuna shule mbagala ina wanafunzi elfu 7000 hapo kuna elimu sasa
 
Hakuna namna unayoweza kujitetea wakati ushahidi uko wazi. Saa nyingine kuwa muungwana kwa kurekebisha ulipoteleza. Unaweza ukawa umepata B au A ila kwenye kuongea ukawa hovyo tu. Unajitutumua wakati ni wewe uliyeandika sentensi yenye makosa.
Kuongea naongea vizuri mno yaani nikiwa chuoni nilikuwa naongea English muda wote ,hata kutongoza kwangu urahisi Ni English mpaka watu Wana doubt kuwa ivi kweli mie Ni mtanzania na wananiuliza the way navyo flow mkuu.
Na uelewe nimeingia la kwanza sijui kiswahili,kidato Cha Pili naongea English,nikiwa chuoni nikasoma kwa kirusi natongoza demu wa kirashia anavua chupi kwa Russian na lugha ambayo nimejifunza Niko above 23.
Ishu kuwa kwenye maisha nayoiheshimu na ambayo inatakiwa uombe mwanao awe nayo Ni Ile desire , willingness, commitment, discipline,courage, warrior mindset,greed and determination of Successful, kuwa mtu fulani. Hii huwa haina kuwa upo wapi,unaongea lugha gani,ama wewe kabila ,dini,rangi gani

Kwa maneno ya Greek or Roman empiror philosophy ngoja nikupe alisemaje.
 
Mzazi mwenye hela huitaji kuangaika na maswala ya bodi ya mikopo unaweza ukawa una hela ila ukawa na mentality za kimaskini
 
Hakuna namna unayoweza kujitetea wakati ushahidi uko wazi. Saa nyingine kuwa muungwana kwa kurekebisha ulipoteleza. Unaweza ukawa umepata B au A ila kwenye kuongea ukawa hovyo tu. Unajitutumua wakati ni wewe uliyeandika sentensi yenye makosa.
Yaani nimeingia la kwanza naongea my mother tongue pekee Sasa shangaa tunaingia la Pili nakuwa wa kwanza na shule nimetoka bush nikaenda kusomea town ,yaani lugha is of immaterial linapokuja suala la kichwa kuelewa kitu. Unaweza ukafundishwa kwa kabila yako ukawa daktari mzuri mno. Yaani wachina wanasoma kwa lugha yao Ni Engineers na leo nilikuwa nao wanaseti foundation ya road underpass,yaani technical drawings anaisoma na anaweka vipimo. Yaani hufanyi kazi kwa kuongea Bali kwa vitendo na uelewa wako
 
Dunia nzima matajiri wenye lengo la uendelezaji wa mali lazima wasomeshe kwenye shule kubwa na za ghali ili kujenga connection.

Matajiri wote Tz watoto wao wapo IST, hapo hutamkosa mtoto wa MO, GSM, Azam, Cello, Camel
umeongea bonge la point ambayo ni wachache sana wanaweza iona
Connection na exposure ni muhimu zaid hata ya cheti kizuri
 
Mkuu ur the true son of ur father. Asante kwa madini. Nimejifunza kitu kikubwa sana kaka
 
Ruka ruka lakini hii elimu yetu ya awali Hadi form 4 inatosha mtoto kuingia katika fani aitakayo awe kayumba au ushuani! Hizi form 5 & 6 ni kupoteza muda. Muhimu ni determination ya mtoto mwenyewe bila kujali ukayumba au ushua
 
Ruka ruka lakini hii elimu yetu ya awali Hadi form 4 inatosha mtoto kuingia katika fani aitakayo awe kayumba au ushuani! Hizi form 5 & 6 ni kupoteza muda. Muhimu ni determination ya mtoto mwenyewe bila kujali ukayumba au ushua
mkuu big up umeongea point kubwa sana
 
Hakuna cha mambo ya dad mommy halafu Toto la kiume
Daddy & Mummy maana yake ni baba na mama. Sasa shida ipo wapi? Hivi unajua ya kuwa asilimia kubwa ya tabia za hovyo mtoto anajifunza katika hizi shule za Swahili medium? Mimi ninashauri kila mmoja afanye jambo kulingana na hali yake ya uchumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…