Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Umezaliwa mwaka gani? Kipindi cha uongozi wa Kikwete shirika la "hakielimu'(sijui ni la serikali au binafsi) walikuwa wanapublish matangazo kwenye redio na TV.Hivi hili jina la saint kayumba lilianzia wapi
Matangazo hayo yalikuws na dhumuni moja tu la kukosoa mfumo na mazingira ya shule za serikali. Wahusika wakuu walikuwa vijana wawili wa kike( jina nimelisahau) huyu alikuwa anasoma shule ya private na wa kiume alikuwa anaitwa Kayumba alikuwa anasoma shule ya serikali.