Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
T
Tafuta hela uache makasiriko.Yes angalau sio hizi za leo yani mtoto afundishwa English kwa kiswahili.
"Watoto leo tunajifunza kuhusu tense.
Zipo tense za aina tatu. Kuna past tense, present tense na future tense"
Ndo nikalipe milioni hivi kweli? Tuheshimiane tafadhal
Yani mzazi ni mjinga anataka na vizazi vyake vibaki kwenye ujinga.Maskini mnafarijiana au sio. Waza madogo upate kidogo waza makubwa upate makubwa. Somesheni watoto shule bora ni haki yao ya msingi.
Sitaki povu