Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Ukishasema kutumia kizembe hasa inapokuja swala la Elimu ni kwamba hauna hela.
Tafuta hela itosheleze mahitaji siyo ujibane bane ili mahitaji yafit kwenye hela [emoji23][emoji23]

Elimu ni nini?.Tuanzie hapo kwanza. Kwa sababu ninacho jua Tanzania hakuna 'elimu' iwe English Medium iwe Swahili medium.
 
Humpangii mtu maisha, mpe haki yake ikiwemo elimu bora, mengineyo ni maamuzi yake.
 
naona unachanganya race na economic status.
 
naona unachanganya race na economic status.

Katika maeneo mengi huwezi kuvitofautisha. Mifano mizuri ni hapa hapa bongo. Mitaa wanayo ishi wenye kipato kikubwa inaitwa uzunguni, uhindini. Mitaa wanayo ishi masikini huitwa" uswahilini "
 
Katika maeneo mengi huwezi kuvitofautisha. Mifano mizuri ni hapa hapa bongo. Mitaa wanayo ishi wenye kipato kikubwa inaitwa uzunguni, uhindini. Mitaa wanayo ishi masikini huitwa" uswahilini "

comment yako inataka kusema kwamba majority ya watoto weusi waliopo shule za gharama ni maskini. Unadhani ni sahihi?
 
Wewe unaonaje?

comment yako ilikuwa inaongelea kuhusu ubaguzi wa tajiri kwa maskini lakini mifano yako inaongelea ubaguzi wa race.

That is to say weusi wote walioshule za gharama ni maskini which is absolutely not true.
 
Endelea kujifariji
Hata Madudu ya DP world yanawahusu product ya kayumba
 
Hata yule bodaboda alielawitiwa na Mzungu alisoma English Medium.

Malezi ya mtoto sio kumfundisha kuongea kiingereza tu mkuu anatakiwa pia aandaliwe na kufundishwa namna ya kuishi kwa kuyatawala mazingira yake
Hapo kwenye malezi nakuunga mkono hizo English Medium wanalelewa kimama mno, mbu akiingia darasani mtoto yote inaanza kulia. Na hap no darasa la saba ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…