Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Wengine pesa wanazo kuna sehemu nilikaa nikashangaa mzazi ana hela anadomesha mtoto kayumba kisa anasema bataka mwisho wa siku mtoto akimaliza form six aje apate mkopo bodi ya elimu ya juu bila shida

Mtoto akamsomesha shule ya msingi ya kayumba Darasa zima wakafaulu kwenda shule ya kata ya Kayumba Form one⁹7

Form four shule haikuwa na division one wala two wote waliishia division three ,four na zero na hakuna ambaye combination ya kwenda Form five ilikubali

Ndoto za mwanae za ohh akasome high.school.ya serikali ili.mwisho.wa siku apate mkopo bodi ya mikopo zikayeyuka hewani.Sababu hata hiyo form five hakuiona

Mzazi kama kipo usiwe na vi theory vya kiajabu ajabu utaumiza mtoto.Somesha shule nzuri
N A K A Z I A [emoji419]
 
acha kuleta mambo ya vyama kwenye mada isiyo ya kisiasa. Kuna shule nyingi tu za serikali ziko vizuri. Ilboru, Kibaha, Tabora, Mzumbe, Kilakala, Msalato na nyinginezo.
Hizo shule za maana za serikali hazina umaana wowote. Ni kwa sababu tu zinapangiwa wale wanafunzi vipanga ndiyo maana zinaonekana ni bora. Zikipelekewa wanafunzi wenye DCC au DDC au hata CCC zitashika mkia
 
upo sawa watoto wangu wa kwanza na wapili kayumba mpaka chuo kikuu. wa tatu mwezi huu form 5 kayumba huko huko.. wa nne yupo la 7 anamaliza muda mfupi ujao maendeleo yake sio mabaya na inshallah atafaulu. huko medium sitaki hata kusikia!
Kila mtu anajikuna anapoweza. Kama wewe ni wa baby walker baki huko huko, ukijidai kutafuta ligi na wenye fortuner, range rover sports, land cruiser lx 200 etc utaumbuka.
 
Nimesoma government chekechea hadi chuo ila kiukweli mchamgo wa English medium ni kingereza tu,olevel nilisoma shule ambayo tulikua tunakutana na watoto waliotoka medium sikuona maajabu yao labda ile miezi ya kwanza form one baada ya apo wote tulikua sawa tu make hata kingereza sio kwamba walikua wanajua sana sema tu confidence walituzidi
 
Nimesoma government chekechea hadi chuo ila kiukweli mchamgo wa English medium ni kingereza tu,olevel nilisoma shule ambayo tulikua tunakutana na watoto waliotoka medium sikuona maajabu yao labda ile miezi ya kwanza form one baada ya apo wote tulikua sawa tu make hata kingereza sio kwamba walikua wanajua sana sema tu confidence walituzidi
True dat mkuu ni kweli kabisa
 
upo sawa watoto wangu wa kwanza na wapili kayumba mpaka chuo kikuu. wa tatu mwezi huu form 5 kayumba huko huko.. wa nne yupo la 7 anamaliza muda mfupi ujao maendeleo yake sio mabaya na inshallah atafaulu. huko medium sitaki hata kusikia!
Safi sana mkuu hizi English Medium ni ubabaishaji tu. . Wanao wapeleka watoto huko acha waendelee kupigwa
 
Ndugu yangu nakuunga mkono ila watu bado wanakazana kujifanya hawaelewi ila urithi wa nyumba unaharibu vijana.
Sahihi kijana jenga kichwa chake sana kikijengeka atajenga nyumba mwenyewe tena siyo nyumba bali ghorofa au apartments za kufa mtu ndani au nje ya nchi

Jenga kichwa chake kwa elimu bora sio kumjengea nyumba Kichwa chake kikiwa bora hahitaji wa kumjengea nyumba bora atajenga mwenyewe
 
upo sawa watoto wangu wa kwanza na wapili kayumba mpaka chuo kikuu. wa tatu mwezi huu form 5 kayumba huko huko.. wa nne yupo la 7 anamaliza muda mfupi ujao maendeleo yake sio mabaya na inshallah atafaulu. huko medium sitaki hata kusikia!
Hongera sana mkuu... mambo ya stress za ada siyataki tena aisee. Maisha yenyewe ndio haya haya
 
Nimesoma government chekechea hadi chuo ila kiukweli mchamgo wa English medium ni kingereza tu,olevel nilisoma shule ambayo tulikua tunakutana na watoto waliotoka medium sikuona maajabu yao labda ile miezi ya kwanza form one baada ya apo wote tulikua sawa tu make hata kingereza sio kwamba walikua wanajua sana sema tu confidence walituzidi
Upo sahihi mkuu
 
Miezi michache iliyopita nilianzisha Uzi hapa jf wenye title" Tunaowatoa watoto wetu shule za English Medium na kuwarejesha kayumba njooni tufarijiane hapa"

Soma: Tunaowatoa watoto wetu shule za kiingereza njooni hapa tufarijiane

Lengo la Uzi lilikuwa kupata watu watakao nipa "faida" nitakazozipata kwa kuwarejesha watoto wangu Kayumba plus maneno ya kunifariji ambayo yatasaidia kujustify uamuzi wangu.

Sababu ya kuwarejesha kayumba wanangu ni kuyumba kiuchumi. Nilipata maoni mengi mazuri. Miongoni mwa maoni niliyopata hapa JF ni pamoja na:

1. Itanisaidia kuokoa pesa ambayo ninaweza ku invest katika maeneo mengine muhimu kama vile kuwanunulia viwanja na kuwajengea nyumba watoto wangu so that wanapofika level ya chuo at least kila mtu awe na nyumba yake moja.

2. Sitokuwa na stress za ada plus mbaya kuliko zote ile stress maalumu ambayo mzazi unaipata wakati mtoto wako amerudishwa nyumbani ada, wakati wenzake plus jirani zako wanaosoma kayumba wanaenda shule.

Nje ya JF nilipata ushauri kutoka kwa

1. Binti yangu; yeye yupo form three shule ya kayumba pia. Nilimsomesha English Medium kuanzia la kwanza. Anasema daddy kuna watoto wamesoma shule za kiswahili lakini wapo vizuri sana darasani kuliko waliosoma shule za kiingereza.

2. Brother wangu wa mtaani ambaye na yeye kawarudisha watoto wake kayumba. (huyu kasomesha hadi chuo but still bado ana watoto wa primary). Alikuwaga kichaa wa shule za English medium.

Anasema mdogo wangu mtoto wako umsomeshe kayumba au English Medium mwisho wa siku wote watakufa watazikwa…(anataja jina la makaburi ya mtaani kwetu)

Akaongeza: Tofauti ya kayumba na English Medium ni lugha tu lakini mwisho wa siku wote wanaandaliwa kuajiriwa..

Kingine siku hizi watoto wanaharibika sana so hakuna guarantee mtoto wako atakuja kuwa nani hapo baadae.

Akaongeza "shule nyingi za English Medium zinawafanya wanafunzi hasa watoto wa kiume kuwa watoto walaini laini (ana experience na watoto wake mwenyewe na rafiki zake). Halafu haziwafundishi watoto kuhusu uhalisia wa maisha zaidi ya kuwakaririsha masomo so bora umpeleke kayumba akapambane na kukomaa huko.


MIEZI MIWILI BAADA YA KUFANYA UAMUZI.

1. Nimenunua kiwanja nje ya mji ( ilala rural/ mvuti) kwa Tsh. laki tisa na mwezi ujao Insha'allah nitapiga msingi( fundi wangu yupo Kinondoni ambae alinijengea nyumba yangu ya kwanza utaratibu wake wa kazi huwaga ni wewe ukiwa na hela yoyote hata laki tano niite kwa lako tano hiyo hiyo nitafanya kitu. Next time ukipata laki tatu niite. Hadi nyumba yako itakamilika. Huyu ndo alinifanya nikajenga nyumba yangu ya kwanza. Tukiwa Kinondoni shamba au Hananasif tunaangalia ndondo anapokea simu za watu anaowajengea nyumba anasema “huyu anauza mchicha, huyu mama lishe etc”. Nikawa inspired.

2. Kuhusu somo la kiingereza nimenunua vitabu na CDs ambayo madogo watakuwa wanajifunza wakiwa home plus tuition ya nguvu ya kiingereza.

Mungu akinipa uhai nitafanya vitu vikubwa sana kwenye familia yangu.

Kama uwezo wako mdogo, unaishi nyumba ya kupanga uswahilini, uchumi wako umeyumba, sikushauri uhangaike na English medium.

Mpeleke mwanao kayumba wewe upambane kutafuta hela.
Huku ni kuyumba kiuchumi tu hakuna kingine.
 
Mkuu ni a nice story,kama wewe ni mtu wa kujifunza unaweza kujifunza kitu.My own story kwa watoto wangu is as follows:
1.STD I-VII-Shule za kawaida.
2.Form I-IV -Private Schools
3.Form V-VI-Government Schools
4.Katika watoto wangu ambao nimewapitisha Shule hizo,Wawili wamemaliza MSc.Mmoja Mzumbe University yuko Bank,na mwingine UDSM naye yupo Bank.Mtoto mwingine
amemaliza Muhimbili ni Surgeon.Watoto wengine wawili wamemaliza SUA wana BSc.Agri.Business na wote ni employed,mmoja yuko Bank,mwingine yupo World Vision.Mtoto mwingine amemaliza Second Year IFM anakwenda Third Year,huyu anachukua Economics and Finance.Wa mwisho amefaulu kwenda Form V atachukua CBG(Chemistry,Biology and Geography).So you see,obviously kutopitia Shule za English Medium haijawaathiri kabisa,na wameniambia categorically,baba,it is wastage of resources kuwapeleka watoto English Medium Schools,na nime-prove it first hand.
Ahsante
 
Hata kama una pesa lazima ujifunze kubana matumizi.
Sio busara kulipa milioni4 ili mtoto afundishwe A for Apple. Mwisho wa siku maisha ndo haya haya
Tatizo suala la pesa halijawahi kuwa fair chief, kuna watu kwa mwezi wanavuta hadi 6M Sasa mtu km uyu ukimwambia siyo fair kulipa 4M tena kwa mwaka hawezi kukuelea
 
Kipindi naanza maisha, nilimshirikisha jamaa yangu nilitaka kununua kisabufa. Bajeti ilikuwa 150k. Akaniambia acha kupoteza hela nunua sabufa ya 60k tu inatosha. Hakuna shida
Tv basi nikawaambia nataka nchi 32, akaniambia acha kupoteza hela, chukua ya nchi 15 au 21 tu inatosha.
Kuna baadhi ya marafiki ukiwa nao ndiyo kinakuwa chanzo chako cha umasikini. Nishakoma kushirikisha marafiki wenye mawazo ya kimasikini. Nilitegemea angeniambia, tatafuta hela uchukue muziki wa 800k. Ule maisha
 
Miezi michache iliyopita nilianzisha Uzi hapa jf wenye title" Tunaowatoa watoto wetu shule za English Medium na kuwarejesha kayumba njooni tufarijiane hapa"

Soma: Tunaowatoa watoto wetu shule za kiingereza njooni hapa tufarijiane

Lengo la Uzi lilikuwa kupata watu watakao nipa "faida" nitakazozipata kwa kuwarejesha watoto wangu Kayumba plus maneno ya kunifariji ambayo yatasaidia kujustify uamuzi wangu.

Sababu ya kuwarejesha kayumba wanangu ni kuyumba kiuchumi. Nilipata maoni mengi mazuri. Miongoni mwa maoni niliyopata hapa JF ni pamoja na:

1. Itanisaidia kuokoa pesa ambayo ninaweza ku invest katika maeneo mengine muhimu kama vile kuwanunulia viwanja na kuwajengea nyumba watoto wangu so that wanapofika level ya chuo at least kila mtu awe na nyumba yake moja.

2. Sitokuwa na stress za ada plus mbaya kuliko zote ile stress maalumu ambayo mzazi unaipata wakati mtoto wako amerudishwa nyumbani ada, wakati wenzake plus jirani zako wanaosoma kayumba wanaenda shule.

Nje ya JF nilipata ushauri kutoka kwa

1. Binti yangu; yeye yupo form three shule ya kayumba pia. Nilimsomesha English Medium kuanzia la kwanza. Anasema daddy kuna watoto wamesoma shule za kiswahili lakini wapo vizuri sana darasani kuliko waliosoma shule za kiingereza.

2. Brother wangu wa mtaani ambaye na yeye kawarudisha watoto wake kayumba. (huyu kasomesha hadi chuo but still bado ana watoto wa primary). Alikuwaga kichaa wa shule za English medium.

Anasema mdogo wangu mtoto wako umsomeshe kayumba au English Medium mwisho wa siku wote watakufa watazikwa…(anataja jina la makaburi ya mtaani kwetu)

Akaongeza: Tofauti ya kayumba na English Medium ni lugha tu lakini mwisho wa siku wote wanaandaliwa kuajiriwa..

Kingine siku hizi watoto wanaharibika sana so hakuna guarantee mtoto wako atakuja kuwa nani hapo baadae.

Akaongeza "shule nyingi za English Medium zinawafanya wanafunzi hasa watoto wa kiume kuwa watoto walaini laini (ana experience na watoto wake mwenyewe na rafiki zake). Halafu haziwafundishi watoto kuhusu uhalisia wa maisha zaidi ya kuwakaririsha masomo so bora umpeleke kayumba akapambane na kukomaa huko.


MIEZI MIWILI BAADA YA KUFANYA UAMUZI.

1. Nimenunua kiwanja nje ya mji ( ilala rural/ mvuti) kwa Tsh. laki tisa na mwezi ujao Insha'allah nitapiga msingi( fundi wangu yupo Kinondoni ambae alinijengea nyumba yangu ya kwanza utaratibu wake wa kazi huwaga ni wewe ukiwa na hela yoyote hata laki tano niite kwa lako tano hiyo hiyo nitafanya kitu. Next time ukipata laki tatu niite. Hadi nyumba yako itakamilika. Huyu ndo alinifanya nikajenga nyumba yangu ya kwanza. Tukiwa Kinondoni shamba au Hananasif tunaangalia ndondo anapokea simu za watu anaowajengea nyumba anasema “huyu anauza mchicha, huyu mama lishe etc”. Nikawa inspired.

2. Kuhusu somo la kiingereza nimenunua vitabu na CDs ambayo madogo watakuwa wanajifunza wakiwa home plus tuition ya nguvu ya kiingereza.

Mungu akinipa uhai nitafanya vitu vikubwa sana kwenye familia yangu.

Kama uwezo wako mdogo, unaishi nyumba ya kupanga uswahilini, uchumi wako umeyumba, sikushauri uhangaike na English medium.

Mpeleke mwanao kayumba wewe upambane kutafuta hela.
HAUNA HELA MKUU..

NIMESOMA SERIKALI MSINGI HADI CHUO.

ILA NILIAPA MWANANGU HATASOMA HIZI SHULE.

UNATUMIA NGUVU NYINGI KUTOBOA.
 
Back
Top Bottom