Usingekuwa na huo usimba na uyanga usingeamka leo ukalivaa hili kwa sababu ligi yetu haya tumeyaona sana msimu uliopita, ulikuwa wapi kuyakemea? Wengine tulishasema huu ni msimu wa kumatch uhuni wa Yanga ili kwenda nao sambamba.they report yearly sport reviews globally. wewe una simba na yanga mentality. tumetoka huko. wengine. also naona hujui kitu out of ligi kuu
Jamaa kuna kitu anataka kukitengeneza hasa ni kitu positive hasa ila tatizo tumechanganyikiwa na usimba na uyanga ni ngumu sana kumuelewa. Ila hii ndio ilikuwa ni fursa kwa wapenzi wa soka la haki kuungana na huyu mwamba aliyeamua kujitolea muda wake. Maamuzi mabaya hayakuanzia jana tu bali tokea muda mrefu tu, na haikufaidisha Simba pekee hata timu zingine zimenufaika ikiwepo Yanga. Ni swala la kushirikiana nae kwa kumpa vielezo kwa kuanzia tukio la jana kisha kurudi nyuma na kuonesha matukio mengine kwa timu zinginezo pia. Hilo litasaidia kuonesha kuwa hayo matukio hayakuanzia jana na wala hakuanzia kwa timu mojaKumbe unajitafutia ujiko binafsi. Halafu UN wanahusikaje au unadhani FIFA iko chini ya UN? Nadhani utakuwa mgeni kwenye mambo ya mpira. Yanga tuliyoona inashinda mechi zake katika mazingira ya kutatanisha, bila kupambana nayo kihuni watachukua makombe hadi wachoke wenyewe.
Simba waendelee na energy hii hii mpaka kwenye ligi hadi hapo timu zote zitakapokubali kucheza mpira wa haki.
Barua yangu mbona ipo humu ichekiKama kuandika Kiswahili tu HUJUI,huko FIFA utaandika UHARO gani??
Unawareness kazi sana . Najua hata hujui beyond ligi kuuHilarious!
I have never seen such a bad match in ligi kuu ever .Usingekuwa na huo usimba na uyanga usingeamka leo ukalivaa hili kwa sababu ligi yetu haya tumeyaona sana msimu uliopita, ulikuwa wapi kuyakemea? Wengine tulishasema huu ni msimu wa kumatch uhuni wa Yanga ili kwenda nao sambamba.
Kama nia yako Simba itajwe kwenye ripoti ya UN usisahau kuwaambia ilimteka mchezaji airport!
Mpira wetu kivyetuvyetu
Huna lolote wewe ni shabiki oyaoya wa Yanga otherwise matokeo ya jana yasingekupagawisha kiasi hiki. Mlitegemea Simba afungwe ili mpate kitonga j2 na ilivyofika kwenye matuta ndiyo kabisa mkajihakikishia kuwa tayari mumeshachukua ngao,matokeo ya mwisho ndiyo mkapata wazimu kabisa. Na ninajua hii harakati siyo yako peke yako bali ni uongozi mzima wa Yanga.they report yearly sport reviews globally. wewe una simba na yanga mentality. tumetoka huko. wengine. also naona hujui kitu out of ligi kuu
Lets wait and see .Jamaa kuna kitu anataka kukitengeneza hasa ni kitu positive hasa ila tatizo tumechanganyikiwa na usimba na uyanga ni ngumu sana kumuelewa. Ila hii ndio ilikuwa ni fursa kwa wapenzi wa soka la haki kuungana na huyu mwamba aliyeamua kujitolea muda wake. Maamuzi mabaya hayakuanzia jana tu bali tokea muda mrefu tu, na haikufaidisha Simba pekee hata timu zingine zimenufaika ikiwepo Yanga. Ni swala la kushirikiana nae kwa kumpa vielezo kwa kuanzia tukio la jana kisha kurudi nyuma na kuonesha matukio mengine kwa timu zinginezo pia. Hilo litasaidia kuonesha kuwa hayo matukio hayakuanzia jana na wala hakuanzia kwa timu moja
Ila kuna ugumu nauona mahali, hizi tuhuma zinatakiwa kutolewa na ushahidi wa nje wa uwanja. Mfano mawasiliano ya baina hao wapangaji matokeo, video zao za hao wapangaji wakiwa wanajadiliana kuhusu kupanga, na vielezo vingine. Ishu tuliona jana ni ya ndani ya uwanja ni ngumu sana wao kuhitimisha kuwa ni match fixing kwasababu hayo yanaonekana kama makosa ya mwamuzi jambo ambalo sio jipya kwenye mpira wa miguu hata huko ulaya tunayashuhudia.
Ongea hoja bro . Acha kupiga kelele . Am not reading non senseHuna lolote wewe ni shabiki oyaoya wa Yanga otherwise matokeo ya jana yasingekupagawisha kiasi hiki. Mlitegemea Simba afungwe ili mpate kitonga j2 na ilivyofika kwenye matuta ndiyo kabisa mkajihakikishia kuwa tayari mumeshachukua ngao,matokeo ya mwisho ndiyo mkapata wazimu kabisa. Na ninajua hii harakati siyo yako peke yako bali ni uongozi mzima wa Yanga.
But you're writing non sense. Umevurugwa mbaya.Ongea hoja bro . Acha kupiga kelele . Am not reading non sense
Am not . The letter was sent yesterday to interpol and fifa commitee . Mimi na post tu ,But you're writing non sense. Umevurugwa mbaya.
Thats not true . You have to be stupid asf kutokuona match fixing ya jana . Sio kitu cha ushabiki ni serious matter . Aina ushabiki unless ni shabiki mjingaHuyu utopolo anatupotezea muda tu.Ana mihemko tu ya ushabiki wala hana nia ya dhati ya kukomesha maamuzi mabovu ya marefa. Mechi ya Namungo vs Yanga kule Mtwara ile penati waliyopewa utopolo ni moja ya maamuzi ya hovyo na huyu utopolo ukimpa hiyo video hatawasilisha. Kiufupi ni mihemko ya kiutopolo ndio inamwendesha.
Eti interpol, hahahah we jamaaAm not . The letter was sent yesterday to interpol and fifa commitee . Mimi na post tu ,
Yeap . ππ am dealing with dumb people . I should ignore you for sureEti interpol, hahahah we jamaa
Kwa hiyo mmegeuka wanaharakati baada ya kuona mwaka unaenda kuwa mgumu? Msidhani mnaongea na watoto wadogo.Jamaa kuna kitu anataka kukitengeneza hasa ni kitu positive hasa ila tatizo tumechanganyikiwa na usimba na uyanga ni ngumu sana kumuelewa. Ila hii ndio ilikuwa ni fursa kwa wapenzi wa soka la haki kuungana na huyu mwamba aliyeamua kujitolea muda wake. Maamuzi mabaya hayakuanzia jana tu bali tokea muda mrefu tu, na haikufaidisha Simba pekee hata timu zingine zimenufaika ikiwepo Yanga. Ni swala la kushirikiana nae kwa kumpa vielezo kwa kuanzia tukio la jana kisha kurudi nyuma na kuonesha matukio mengine kwa timu zinginezo pia. Hilo litasaidia kuonesha kuwa hayo matukio hayakuanzia jana na wala hakuanzia kwa timu moja
Ila kuna ugumu nauona mahali, hizi tuhuma zinatakiwa kutolewa na ushahidi wa nje wa uwanja. Mfano mawasiliano ya baina hao wapangaji matokeo, video zao za hao wapangaji wakiwa wanajadiliana kuhusu kupanga, na vielezo vingine. Ishu tuliona jana ni ya ndani ya uwanja ni ngumu sana wao kuhitimisha kuwa ni match fixing kwasababu hayo yanaonekana kama makosa ya mwamuzi jambo ambalo sio jipya kwenye mpira wa miguu hata huko ulaya tunayashuhudia.
Usisahau kuwaCC CIA pia hahahahYeap . ππ am dealing with dumb people . I should ignore you for sure
Ulibet kiasi gani mwanaharakati?Ni 5 mins job mzee hata mda wa break fast unafanya. sio kazi ya mwaka. unless una small IQ.