Mrejesho FIFA, I need help

they report yearly sport reviews globally. wewe una simba na yanga mentality. tumetoka huko. wengine. also naona hujui kitu out of ligi kuu
Usingekuwa na huo usimba na uyanga usingeamka leo ukalivaa hili kwa sababu ligi yetu haya tumeyaona sana msimu uliopita, ulikuwa wapi kuyakemea? Wengine tulishasema huu ni msimu wa kumatch uhuni wa Yanga ili kwenda nao sambamba.

Kama nia yako Simba itajwe kwenye ripoti ya UN usisahau kuwaambia ilimteka mchezaji airport!

Mpira wetu kivyetuvyetu
 
Jamaa kuna kitu anataka kukitengeneza hasa ni kitu positive hasa ila tatizo tumechanganyikiwa na usimba na uyanga ni ngumu sana kumuelewa. Ila hii ndio ilikuwa ni fursa kwa wapenzi wa soka la haki kuungana na huyu mwamba aliyeamua kujitolea muda wake. Maamuzi mabaya hayakuanzia jana tu bali tokea muda mrefu tu, na haikufaidisha Simba pekee hata timu zingine zimenufaika ikiwepo Yanga. Ni swala la kushirikiana nae kwa kumpa vielezo kwa kuanzia tukio la jana kisha kurudi nyuma na kuonesha matukio mengine kwa timu zinginezo pia. Hilo litasaidia kuonesha kuwa hayo matukio hayakuanzia jana na wala hakuanzia kwa timu moja

Ila kuna ugumu nauona mahali, hizi tuhuma zinatakiwa kutolewa na ushahidi wa nje wa uwanja. Mfano mawasiliano ya baina hao wapangaji matokeo, video zao za hao wapangaji wakiwa wanajadiliana kuhusu kupanga, na vielezo vingine. Ishu tuliona jana ni ya ndani ya uwanja ni ngumu sana wao kuhitimisha kuwa ni match fixing kwasababu hayo yanaonekana kama makosa ya mwamuzi jambo ambalo sio jipya kwenye mpira wa miguu hata huko ulaya tunayashuhudia.
 
I have never seen such a bad match in ligi kuu ever .
 
they report yearly sport reviews globally. wewe una simba na yanga mentality. tumetoka huko. wengine. also naona hujui kitu out of ligi kuu
Huna lolote wewe ni shabiki oyaoya wa Yanga otherwise matokeo ya jana yasingekupagawisha kiasi hiki. Mlitegemea Simba afungwe ili mpate kitonga j2 na ilivyofika kwenye matuta ndiyo kabisa mkajihakikishia kuwa tayari mumeshachukua ngao,matokeo ya mwisho ndiyo mkapata wazimu kabisa. Na ninajua hii harakati siyo yako peke yako bali ni uongozi mzima wa Yanga.
 
Lets wait and see .
 
Ongea hoja bro . Acha kupiga kelele . Am not reading non sense
 
Huyu utopolo anatupotezea muda tu.Ana mihemko tu ya ushabiki wala hana nia ya dhati ya kukomesha maamuzi mabovu ya marefa. Mechi ya Namungo vs Yanga kule Mtwara ile penati waliyopewa utopolo ni moja ya maamuzi ya hovyo na huyu utopolo ukimpa hiyo video hatawasilisha. Kiufupi ni mihemko ya kiutopolo ndio inamwendesha.
 
Thats not true . You have to be stupid asf kutokuona match fixing ya jana . Sio kitu cha ushabiki ni serious matter . Aina ushabiki unless ni shabiki mjinga
 
Kwa hiyo mmegeuka wanaharakati baada ya kuona mwaka unaenda kuwa mgumu? Msidhani mnaongea na watoto wadogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…