BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
mlejesho.Yeap . 💀💀 am dealing with dumb people . I should ignore you for sure
fifa .
Yaani mtu akiandika hivi sijui namuonaje...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mlejesho.Yeap . 💀💀 am dealing with dumb people . I should ignore you for sure
Full Determination....Tumuombee Afike mbali avae Beji za CAF na FIFAOngezea na hii picha ya huyo refa akiwa na jezi ya makoloView attachment 2714327
naomba mtu ambaye na clip zote za referee au a complete match, anipe link ya youtube, nitatuma email referee committee Niombe review ya refa kama nitapata. I need evidences za kutosha. kama zipo nipeni.
Tafuta mchezo mwingine ushabikie. Ukiweza hata draft au bao la kete. Hiyo ndiyo football dunia nzima na hapo ndipo penye utamu wenyewe.Ata kama alitakiwa manyema, mpira au mchezo uwe wa haki...!
Kusiwe na janja janja...! Kila leo mna tengeneza ujanja ujanja wa kutimiza malengo yenu kupitia michezo
Mwisho mna poteza ladha ya mchezo wenyewe na ata kupoteza ubora wa michuano husika!
Timu zina bebwa ata kama zime vunja sheria, ujanja ujanja mwingi kwenye Ligi
Huyu dish limeyumba hata hajui anataka nini.Eti interpol, hahahah we jamaa
Wewe ni shabiki kilaza kabisa hata hujui maana ya match fixing.Thats not true . You have to be stupid asf kutokuona match fixing ya jana . Sio kitu cha ushabiki ni serious matter . Aina ushabiki unless ni shabiki mjinga
Unachofanya ni sawa na kupaka rangi upepo.Am not . The letter was sent yesterday to interpol and fifa commitee . Mimi na post tu ,
Sema FIFA watakuuliza maswali ya mtego
Mbona kwenye tukio hilo hukuwahi kututumia barua ya kuripoti kuwa ni match fixing?
Sijui utavyo wajibu
Sema FIFA watakuuliza maswali ya mtego
Mbona kwenye tukio hilo hukuwahi kututumia barua ya kuripoti kuwa ni match fixing?
Sijui utavyo wajibu
Hoja yako haina msingi, kushindwa kutoa taarifa ya matukio yaliyopita siyo sababu ya kukataa tukio linalolalamikiwa, kikubwa uwepo ushahidi wa kutosha.Sema FIFA watakuuliza maswali ya mtego
Mbona kwenye tukio hilo hukuwahi kututumia barua ya kuripoti kuwa ni match fixing?
Sijui utavyo wajibu
Ishu ni hukumu juu ya kosa hilo endapo FIFA wakasema watoe hukumu je ni nani ambaye atayewajibishwa?Hoja yako haina msingi, kushindwa kutoa taarifa ya matukio yaliyopita siyo sababu ya kukataa tukio linalolalamikiwa, kikubwa uwepo ushahidi wa kutosha.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Simba wana historia ndefu ya rushwa kwenye kupanga matokeo ya mechi. Kuna wakati Ulimboka alikamatwa akipeleka rushwa Mtibwa ili Simba ipate matokeo.Usingekuwa na huo usimba na uyanga usingeamka leo ukalivaa hili kwa sababu ligi yetu haya tumeyaona sana msimu uliopita, ulikuwa wapi kuyakemea? Wengine tulishasema huu ni msimu wa kumatch uhuni wa Yanga ili kwenda nao sambamba.
Kama nia yako Simba itajwe kwenye ripoti ya UN usisahau kuwaambia ilimteka mchezaji airport!
Mpira wetu kivyetuvyetu
Ndio maana nikasema ushahidi ndio muhimu. Kama aliboronga kutokana na uwezo, hii ni hoja nyingine ambayo inamhusu refa na wasaidizi wake. Ila ikionekana kuwa Simba walitumia rushwa katika hii mechi basi itashughulikiwa kama club.Ishu ni hukumu juu ya kosa hilo endapo FIFA wakasema watoe hukumu je ni nani ambaye atayewajibishwa?
Bodi yetu ya ligi imekuwa ikitoa hukumu kwa marefa pale inapotokea wameharibu mechi.
Huyo Frolentina tayari alikwisha adhibiwa na mamlaka za ndani.
Lakini huyu wa juzi watu hamjataka kusubiri Bodi ifanye maamuzi mmeamua kwenda moja kwa moja FIFA.
Sasa unaripoti hili tatizo ukiwa na mategemeo kuwa atayekwenda kuadhibiwa ni nani?
Unafikiri ni Simba?
Unafikiri ni TFF na Bodi ya ligi?
UTOPOLO wanajizima data sana
Na zile ambiguity scenario kwenye mechi zenu ambapo mwamuzi alikuwa anawanufaisha nyinyi ikionekana ni rushwa?Ndio maana nikasema ushahidi ndio muhimu. Kama aliboronga kutokana na uwezo, hii ni hoja nyingine ambayo inamhusu refa na wasaidizi wake. Ila ikionekana kuwa Simba walitumia rushwa katika hii mechi basi itashughulikiwa kama club.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Utarudi kwenye hoja ya msingi, ushahidi upo wa rushwa au refa kuzidiwa na tempo ya mchezo?.Na zile ambiguity scenario kwenye mechi zenu ambapo mwamuzi alikuwa anawanufaisha nyinyi ikionekana ni rushwa?
Hivi ushahidi wa rushwa utaweza kuuthibisha vipi?Utarudi kwenye hoja ya msingi, ushahidi upo wa rushwa au refa kuzidiwa na tempo ya mchezo?.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Well evidence sent . I have some one looking for moreHivi ushahidi wa rushwa utaweza kuuthibisha vipi?
Kwamba utapekua account yake kuangalia miamala yake kabla ya mechi?
Kwani hukujiandaa? Tafuta mwenyewenipe link mzee